Volkswagen yafikiria kufunga viwanda vyake nchini Ujerumani, moja ya sababu ni ushindani kutoka China

Volkswagen yafikiria kufunga viwanda vyake nchini Ujerumani, moja ya sababu ni ushindani kutoka China

Tukizungumzia drones kampuni bora na kubwa ya kutengeneza drones ni DJI ya China imeshika 70% ya soko la dunia
Kwenye drones za kurekodi wakata viuno huko ni China kaachiwa gape.

Kwenye military drones China inazo zimenunuliwa na UAE na Iraq hazina performance kubwa kivile. China level sawa na Israel na Uturuki, haikaribii Marekani.

Kwenye ndege sasa ndio kwanza China ameanza anakuja. Market share ya ndege ni 40% Boeing ya Marekani, 60% Airbus consortium ya Ulaya.
 
Kila kitu kinatengenezwa. Mexico iko pua na mdomo na Marekani, India ni hasimu wa China kiulinzi na kidiplomasia. Ukiinua India ambayo ina workforce na mishahara midogo zaidi kuliko China unapunguza kuihitaji China.

Population ya India ni kubwa zaidi ya China, elimu ipo hukosi watu ukifungua hata viwanda vya aeronautics. Soko lipo. Unabaki na vitu kama kuongeza umeme wa kutosha, bandari, reli vitu ambavyo investors wanaweza ingia miaka michache tu vikawepo.

Wateja wakubwa wa China hawa hapa. Ukiachana na Urusi, nani rafiki wa China kidiplomasia hapa? ASEAN wenyewe ndio hao kuna Philippines na Vietnam wanagombea bahari na China. Wengine kina Singapore wana mikopo kibao na investments kubwa za EU na MarekaniView attachment 3088151

Marekani ndio mwekezaji mkubwa kwa China, na ndio mteja mkubwa, na ndio mtoaji mkubwa wa teknojia kwa China. Ni kitendo cha kuhamisha influence wakiona mlinganyo sio kwa maslahi yao. Yaani unacheza na Marekani aliyeipiga Ujerumani ikachakaa kisha akaisimamisha iko top 5 kiuchumi? Akaipiga Japan ikachakaa kisha akairudisha top 5 kiuchumi duniani? Akaikuta South Korea haina hata bajeti ya kulipa mishahara wafanyakazi, akaanza kutoa hela hata za kuendeshea serikali leo hii South Korea inashindana GDP na Urusi?

Hapo ni fair game anayeona hana maslahi anatoka ila wakiamua kufungiana vioo kuna mtu ataumia zaidi.
Marekani sio muwekezaji mkubwa China.
 
Kwenye drones za kurekodi wakata viuno huko ni China kaachiwa gape.

Kwenye military drones China inazo zimenunuliwa na UAE na Iraq hazina performance kubwa kivile. China level sawa na Israel na Uturuki, haikaribii Marekani.

Kwenye ndege sasa ndio kwanza China ameanza anakuja. Market share ya ndege ni 40% Boeing ya Marekani, 60% Airbus consortium ya Ulaya.
Matumizi makubwa ya drones ni za commercial uses na hapo ndipo Mchina alipowapiga gap wengine na DJI
 
Kwenye drones za kurekodi wakata viuno huko ni China kaachiwa gape.

Kwenye military drones China inazo zimenunuliwa na UAE na Iraq hazina performance kubwa kivile. China level sawa na Israel na Uturuki, haikaribii Marekani.

Kwenye ndege sasa ndio kwanza China ameanza anakuja. Market share ya ndege ni 40% Boeing ya Marekani, 60% Airbus consortium ya Ulaya.
Drones za kimarekani zina performance kubwa ?
 
Kwenye ndege sasa ndio kwanza China ameanza anakuja. Market share ya ndege ni 40% Boeing ya Marekani, 60% Airbus consortium ya Ulaya
Kwa hiyo tatizo liko wapi ikiwa China ana kampuni yake ya ndani ya kutengeneza ndege? Huoni kama wamefikia malengo yao?

Suala la kuwa na small global market share kwa kampuni mpya ni kawaida

Ilikuwa hivyohivyo pia alipoanza na EVs kwa sasa wameshika sehemu kubwa ya global market share

Ni suala la muda tu nchi zitaanza kuagiza COMAC
 
Kwa hiyo tatizo liko wapi ikiwa China ana kampuni yake ya ndani ya kutengeneza ndege? Huoni kama wamefikia malengo yao?

Suala la kuwa na small global market share kwa kampuni mpya ni kawaida

Ilikuwa hivyohivyo pia alipoanza na EVs kwa sasa wameshika sehemu kubwa ya global market share

Ni suala la muda tu nchi zitaanza kuagiza COMAC
Sijasema ni tatizo China kuchelewa, na si tatizo Marekani akiongoza kuuza drones za kijeshi na China akaongoza kuuza drones za kufanyia video shoot.

Nilichotaka kukuonyesha ni kama Marekani inaunda ndege za kiraia jets tangu 1960s, na China imeweza 2023 basi si tatizo kwa Marekani kuunda drones za kurekodia vigodoro. Ni priorities tu
 
Nilichotaka kukuonyesha ni kama Marekani inaunda ndege za kiraia jets tangu 1960s, na China imeweza 2023 basi si tatizo kwa Marekani kuunda drones za kurekodia vigodoro. Ni priorities tu
Ni sawa Marekani wameanza kutengeneza ndege za kiraia tangu 1960s

Lakini sasa hivi Boeing imepigwa gap na Airbus kwenye soko la dunia. Na Boeing ni kampuni ya mapema kuliko Airbus kwenye utengenezsji wa ndege

Na kama haitoshi Boeing zimekuwa na hitilafu sana mpaka wanafikia hatua ya kuwaua wakosoaji wa Boeing

Kwa hiyo kutangulia sio tija muda wowote meza inaweza kupinduliwa.

Mifano ni mingi ya makampuni ambayo yalikuwa waanzilishi wa kutengeneza bidhaa fulani baadaye wakaja kupigwa gap na kupoteana kabisa
 
Sijasema ni tatizo China kuchelewa, na si tatizo Marekani akiongoza kuuza drones za kijeshi na China akaongoza kuuza drones za kufanyia video shoot.
Nani alikwambia drones for commercial uses ni kwa ajili ya video shoot tu?

China wanatengeneza drones kwa ajili ya matumizi mbalimbali kuna drones kwa ajili ya kilimo, kuzima moto kwenye majengo, kusafirisha bidhaa maeneo ambayo ni remote areas n.k

Hapo sijazungumzia military drones
 
India ikipigwa investments inakuwa manufacturing hub kama China.
India haiwezi kuja kuwa industrial hub kama China bado sana na haitakuja kutokea.

Level za India ni Vietnam na Indonesia.

Tunarudi palepale China ana chain supply na manufacturing ecosytem bora kuliko taifa lolote
 
Kwa hiyo tatizo liko wapi ikiwa China ana kampuni yake ya ndani ya kutengeneza ndege? Huoni kama wamefikia malengo yao?

Suala la kuwa na small global market share kwa kampuni mpya ni kawaida

Ilikuwa hivyohivyo pia alipoanza na EVs kwa sasa wameshika sehemu kubwa ya global market share

Ni suala la muda tu nchi zitaanza kuagiza COMAC
Ndo hivi kuna watu watabisha ..boing ana shrink hata kabla ya China kuingiza miguu yote ..ni ni mjinga pekee atakayeagiza ndege kutoka marekani kww dolla 200m ili hali ndege kama hiyo kutoka China inapatikana kwa dollar 100 hadi 110
 
Ndo hivi kuna watu watabisha ..boing ana shrink hata kabla ya China kuingiza miguu yote ..ni ni mjinga pekee atakayeagiza ndege kutoka marekani kww dolla 200m ili hali ndege kama hiyo kutoka China inapatikana kwa dollar 100 hadi 110
Ni suala la muda tu

Kuna nchi kama Brunei wameshafanya order ya C919 kama 30

China ni soko kubwa la ndege, sasa hivi COMAC wana order ya ndege 1000+ ndani ya China peke yake
 
Kwani imechukua miaka gani Mexico kuipiku China kuwa trade partner mkubwa zaidi wa Marekani?
Wewe uwezo wako katika kuchambua masuala ya kiuchumi ni mdogo sana

Marekani imeruka jivu imekanyaga moto

Bidhaa nyingi wanazonunua Mexico ni za makampuni ya Kichina yaliyowekeza Mexico

Soma hizi article ambazo ni za Marekani uelewe, New York Times na Bloomberg


20240906_035128.jpg
 
Tena Trump akiwa Rais ndio kabisa yule bwana anapenda vya Marekani.
Unamaanisha Trump huyuhuyu anayeionea wivu Mexico kwa sababu ya jinsi China imewekeza sana hapo Mexico?

Bidhaa nyingi za China zinaingia Marekani kupitia Mexico ikiwa kama third party.

BYD kampuni ya China ya kutengeneza EVs ina mpango wa kufungua kiwanda Mexico, Trump kwenye kampeni zake anasema hayo magari ikiwa yataingia Marekani kutoka Mexico atayawekea tariffs kubwa

La sivyo hizo kampuni za Kichina zikafungue factories Marekani ili zisikumbane na hilo rungu la tariffs atakapokuwa raisi


20240729_012402 (1).png


My take: T14 Armata endelea kuchambua vita na silaha huku kwenye intl business na uchumi pamekupita kushoto
 
Back
Top Bottom