Vyuo Vikuu 2 vya Tanzania ndani ya Top 10 kwa Ubora wa Elimu Kusini mwa Jangwa la Sahara. UDSM haimo

Vyuo Vikuu 2 vya Tanzania ndani ya Top 10 kwa Ubora wa Elimu Kusini mwa Jangwa la Sahara. UDSM haimo

Ubora Africa:

Kumbe ndiyo maana product zao zina kasoro nyingi

UDSM ya 37, - viongozi mafisadi

SUA ya 79 - graduates hawawezi hata kuwa na bustani

Muhimbili ya 89 - wagonjwa hawathaminiwi

UDOM ya 123 - walimu wanavaa kata K,

 

Ubora Africa:

Kumbe ndiyo maana product zao zina kasoro nyingi

UDSM ya 37, - viongozi mafisadi

SUA ya 79 - graduates hawawezi hata kuwa na bustani

Muhimbili ya 89 - wagonjwa hawathaminiwi

UDOM ya 123 - walimu wanavaa kata K,


Duh
 

Ubora Africa:

Kumbe ndiyo maana product zao zina kasoro nyingi

UDSM ya 37, - viongozi mafisadi

SUA ya 79 - graduates hawawezi hata kuwa na bustani

Muhimbili ya 89 - wagonjwa hawathaminiwi

UDOM ya 123 - walimu wanavaa kata K,

Kazi kweli kweli
 
Yaani UDSM imekuwa ya hovyo Sana siku hizi,Generali Ulimwengu alisema "sikuhizi UDSM imekuwa form ten" yaani chuo kinampangia mtu namba ya kugikiri.
UDSM miaka hiyo mambo sensitive ya nchi Yalikuwa yananzia pale kupingwa au kuungwa mkono kwa hoja,rejea kipindi Cha Akina Samweli Sita waanzilishi wa Revolution Square darajani kwenda hall 5.
Tangu Prof Mkandala aachie ngazi chuo kimeendelea kudolola.No research za maana,no hot discussion,kupungua kwa idadi ya waandamizi(senior academician) kama akina Prof Shivji,Mbonile n.k,,,siku hizi wanaopiga lecture ni vijana wanaosomea masters,na Hawa ndio wanaendekeza sana ngono na wadada ilikupata maksi.
Jitihada za Makusudi zifanyike kuokoa chuo hiki,binafsi nilijivunia kusoma UDSM ilivyokuwa na hadhi yake,miaka hiyo wanachuo wanaargue kweli na migomo Kwa kwenda mbele.
 
CCM WAMEHARIBU NCHI VYUONI HAKUNA MIJADALA MMOJA WA WAPUMBAVU WALIOHUSIKA KUFUNGA MIJADALA NI KITILA MKUMBO
 
Vyuoni tumeshuhudia mabinti wanatoka na malecturer usiku wa kuamkia U.E wanapewa possible wanasolve na wenzao wa karibu na kesho yake wanapasua paper.

Vyuoni tumeshuhudia wale machawa wa malecturer wakipewa favor za kutosha na kupelekea kua na ufaulu mkubwa.

Chuoni nimeshuhudia classmate anakula supplementary somo ambalo yupo very competent. Eti kisa wakati wa oral exam alikua anajibu maswali kwa confidence mpaka lecturer akachukia! Yani unachukiwa kwasababu una akili!

Chuoni nimeshuhudia rafiki yangu akiwa discontinued, na alikua among the best in class eti kisa kuna binti lecturer anamtaka na jamaa alikua na ukaribu nae. Akaundiwa zengwe na mwishoe hakumaliza chuo!

Kwa hali hii hatutaweza compete at the highest level na mataifa mengine labda hiki kizazi cha sasa kipite!!!
Umeongea points sana mkuu, heshima kwako
 
Nimeshangaa sana UDSM kuwa mamba 37 barani Africa

Udsm hii hii iliyosomesha Viongozi Maarufu barani Africa inakuwa namba 37?!🐼

Basi Elimu yetu imevamiwa na tatizo ni kubwa kuliko tunavyofikiri
vijana endeleeni kusoma na kujifunza kwa bidii zaidi, UDSM bado ni chuo kikuu bora zaidi barani Africa katika maeneo mengine mathalani katika Tafiti.

maboresho makubwa zaidi yanaendelea na yanakuja katika masuala ya science na technolojia achilia mbali mitaala na kwahiyo ile yetu namba MOJA tutairejesha soon....
 
vijana endeleeni kusoma na kujifunza kwa bidii zaidi, UDSM bado ni chuo kikuu bora zaidi barani Africa katika maeneo mengine mathalani katika Tafiti.

maboresho makubwa zaidi yanaendelea na yanakuja katika masuala ya science na technolojia achilia mbali mitaala na kwahiyo ile yetu namba MOJA tutairejesha soon....
Ngoja tuone 🐼
 
Yaani UDSM imekuwa ya hovyo Sana siku hizi,Generali Ulimwengu alisema "sikuhizi UDSM imekuwa form ten" yaani chuo kinampangia mtu namba ya kugikiri.
UDSM miaka hiyo mambo sensitive ya nchi Yalikuwa yananzia pale kupingwa au kuungwa mkono kwa hoja,rejea kipindi Cha Akina Samweli Sita waanzilishi wa Revolution Square darajani kwenda hall 5.
Tangu Prof Mkandala aachie ngazi chuo kimeendelea kudolola.No research za maana,no hot discussion,kupungua kwa idadi ya waandamizi(senior academician) kama akina Prof Shivji,Mbonile n.k,,,siku hizi wanaopiga lecture ni vijana wanaosomea masters,na Hawa ndio wanaendekeza sana ngono na wadada ilikupata maksi.
Jitihada za Makusudi zifanyike kuokoa chuo hiki,binafsi nilijivunia kusoma UDSM ilivyokuwa na hadhi yake,miaka hiyo wanachuo wanaargue kweli na migomo Kwa kwenda mbele.
Tangu aondoke Prof. Mathew Luhanga ndipo UDSM ikawa "extended high school".
 
UDSM imeharibiwa na siasa za JPM. Between 2015-2020 elimu ya vyuo vikuu na tasnia ya habari vilivamiwa na siasa za uchawa. Wasomi na wanahabari wakaanza kulamba teuzi kama hisani ya uchawa na upotoshaji. UDSM ikiaanza kuwa kichaka cha kulinda maslahi ya wanasiasa huku waandishi wa habari nao wakipoteza mwelekeo kwa vitisho na uchawa. Hadi leo hii wasomi wa nchi yetu hawana uhuru baada kuuza taaluma zao na utu wao kwa vipande vya mkate. Tumebaki kuzalisha machawa badala ya wasomi wanaoweza kutoa mawazo huru ya kusaidia nchi kupiga hatua. Sahizi hata serikali za wanafunzi vyuoni hazina uwezo wa kuzalisha viongozi wa maana zaidi ya machawa. Uwezo wa wanafunzi kitaalama umeshuka sana (mawazo ya kichawa) hawako independent katika kufikiri mana wanafundishwa na machawa. Ukiona mtu yuko independent ujue huyo anaakili ya kuzaliwa (kipaji) siyo ya kufundishwa. Mbaya zaidi serikali ya kichawa haina uwezo wa kuzalisha ajira (wasomi waliowengi wananjaa muda wote) hata waliopo kwenye ajira hawafaidi matunda ya kazi zao pasina uchawa . Sasa kwa hali hiyo ulitegemea UDSM ishike nafasi ya ngapi?.
 
Back
Top Bottom