TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 2,345
- 6,970
- Thread starter
-
- #81
Kinachoniuma ni namna naona watanzania wenzetu ambavyo wanataabika huko nje wakati wenzao Tina maisha mazuri tu hapa nyumbaniThd yako imejawa na wivu zaidi kuliko uhalisia,
Haya tuambie hao wabeba box wamekufanya nini? coz ni ajabu kwa mtu kuumia kwa maisha ya watu wengine.
Ndio ni kichekesho lakini ni maisha mazuri tofauti na yale tuliyokuwa tunaishi hukoTv kubwa nchi 65 .Umenichekesha.Mimi nikajua labda una kiwanda hata cha kutengeneza vifungashio na umeajiri watu 30.Sasa TV nayo ya kulingia jamani.
Mafanikio ni juhudi binafsi 100% punguza jazba ndugu.Hii ni kwa wote ukiwemo na wewe
Sina hasira hata kidogo ndugu yangu. Uwe Ujerumani au Tanzania au Japani, mfano ulioutoa una-relation gani na hoja ya mwanzisha thread? Ku-save vs matumizi ni tatizo lililopo kila sehemu na sioni kipya!Punguza hasira nipo Ujerumani anachokiongea mtoa mada ni ukweli mtupu. Kuna waafrika wakifika huku wanajisahau. Mtu unamaliza chuo unapata kazi unalipwa 4000 Euros. Unatafuta apartment kubwa halafu huna mke . Unaanza kuiga wazungu unatumia madawa na kusafiri kila summer.Mwisho wa siku unakuta hio hela unabakia kusave Euro 6000 kwa mwaka. Ukirudi Bongo Hohe hahe. Nasoma masters ila nimekutana na watanzania analipwa vizuri. Lakini matumizi yao kama wamezaliwa ulaya. Yaani hadi unga wanavuta na wanafanya kazi kama kawaida. It is a huge culture shock, I don't judge. Lakini ni vigumu watu kama hawa kufanya vitu vikubwa nyumbani.
Juhudi binafsi hizo onyesheni kivitendo siyo mnarudi bongo mmechoka na kupauka kama wavuna chumviM
Mafanikio ni juhudi binafsi 100% punguza jazba ndugu.
Mkuu kwa namna wanavyoficha atathubutu kukwambia shughuli anayoifanya huko?
Na haya ndiyo maisha ya wabongo wengi waishio hukoNi rahisi kujua earnings za mtu aliye US kwa walau kujua shughuli anazofanya...
Mimi nadhani wengi wa waliopigika inatokana na kufanya shughuli zenye kipato kidogo kuendekeza starehe na kutotaka kujiendeleza...
US ni mahali ukiwa na akili ya maisha na bidii, unatoboa na ukibweteka ukitegemea kuflip burgers utaishia kupata pesa ya kucover bills tu...
Wengi wanarudi wamechoka sio uongo,nina mjomba wangu sasa hivi ni marehemu na alienda akiwa msomi wa Cpa,alikiri kuwa wengi wanawadanganya kuwa maisha ni mazuri sana!Uhalisia hauko hivyo ndo maana mmoja wa mabondia maarufu kutoka ukrine katika wale mapacha(Krichko)ni,daktari bingwa wa magonjwa hela haitoshi kaamua kuwa bondia!sasa wewe utoke bongo ndo utoboe ndo maana mnarudi sura zimekosa nuru!Labda upelekwe na serikali hata uwe mtunza bustani.Ahahaha mkuu ukweli lazima usemwe ili mbadirike muwajali wazazi wenu,acha kujifariji na hoja za kipumbavu!
Hiyo reasoning ni ya msomi wa master, watanzania wana wadudu kichwani trust me, na hapo bado anasema Marekani ina maisha magumu kuliko Ujerumani. Sijui hiyo case study kafanyia wapi?Sasa unga wanaovuta hapa Bongo ni wazungu ?
Kwani nyie omba omba mpka mpewe misaada? Wabongo mna vituko sanaKuna mtu tulisoma naye kaenda us, kaja likizo Cha maana Hamna Cha kushangaza, kutwa kutafuta classmate kupiga nao picha hatuoni Cha msaada alichowapa Wala Nini, michango yenyewe tunayosaidiana anayotoa Kama tunayotoa sisi tuliokuwa huku tu na Kuna watu wapo huku wanamzidi dau la utoaji, ulichoongea kweli.
Ndio culture shock niliyoikuta huku yaani Berlin mtu anavuta cocaine na anafanya kazi fresh. Kuna mavitu kama ketamine na kadhalika. Nilishangaa sana nilienda huko two weeks ago nilialikwa. Aisee huku Ulaya ukiwa haujielewi ni rahisi kupotea mazima. Kwenye Maclub watu wanaenda vyooni kutumia madawa. Kuna wengine ni malecturer, majaji na ma Engineer wakubwa tu. Sasa unakuta waafrika wamejitahidi wamepata kazi nzuri wanaingia kwenye mfumo huu. Hawa wazungu wakifia kwenye kiapartment ni kawaida kwao. Mwisho unakuta miaka inaenda haujajenga back home 🏠 unaishi kwenye apartment ulaya.Sasa unga wanaovuta hapa Bongo ni wazungu ?
Mkuu wewe utakuwa na matatizo ya akili!Hiyo reasoning ni ya msomi wa master, watanzania wana wadudu kichwani trust me, na hapo bado anasema Marekani ina maisha magumu kuliko Ujerumani. Sijui hiyo case study kafanyia wapi?
Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
Marekani ya leo unaweza ukafanya kazi zaidi ya tatu na ukashindwa make ends meet. Do your own research. Ukiumwa ulipelekwa hospitali na ambulance ni dola 10000. Kama hauna bima ya afya inayoweza kucover matibabu yako unawekwa kwa life support lakini hautibiwi. Leta uthibitisho kubwa niliyoyasema ni ya uongo !!Hiyo reasoning ni ya msomi wa master, watanzania wana wadudu kichwani trust me, na hapo bado anasema Marekani ina maisha magumu kuliko Ujerumani. Sijui hiyo case study kafanyia wapi?
Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
Hata hapa Dar watu wanatumia madawa ya kulevya na ni ma Dr,mawaziri maenigneer n.kNdio culture shock niliyoikuta huku yaani Berlin mtu anavuta cocaine na anafanya kazi fresh. Kuna mavitu kama ketamine na kadhalika. Nilishangaa sana nilienda huko two weeks ago nilialikwa. Aisee huku Ulaya ukiwa haujielewi ni rahisi kupotea mazima. Kwenye Maclub watu wanaenda vyooni kutumia madawa. Kuna wengine ni malecturer, majaji na ma Engineer wakubwa tu. Sasa unakuta waafrika wamejitahidi wamepata kazi nzuri wanaingia kwenye mfumo huu. Hawa wazungu wakifia kwenye kiapartment ni kawaida kwao. Mwisho unakuta miaka inaenda haujajenga back home 🏠 unaishi kwenye apartment ulaya.
Ushauri mzuriHao unaosema wengi wao amekurupuka, mbona kuna wengi sana wanaishi maisha mazuri tu.
Ujitqkankuish8 vizuri nchi uizo wachana kabisa kuwa karibu na wabongo na magenge yasiyo na maana.
Nawashauri wanaokwenda huko,.kama hawana mipango thabiti na ya uhakika basi wakaanzie maisha miji midogo midogo ambayo haina wabongo.
Sasa kama ndivyo!,unawezaje kuishi huko?,Kwanini wasirudi Bongo nchi yenye Maziwa na Asali?Marekani ya leo unaweza ukafanya kazi zaidi ya tatu na ukashindwa make ends meet. Do your own research. Ukiumwa ulipelekwa hospitali na ambulance ni dola 10000. Kama hauna bima ya afya inayoweza kucover matibabu yako unawekwa kwa life support lakini hautibiwi. Leta uthibitisho kubwa niliyoyasema ni ya uongo !!
Marekani kutoboa ni vigumu watu wanadanganywa. Marekani ya 2023 sio kama ya zamani. Kuna mambo mengi sana ningeweza kuongea lakini ukikaa na kufanya research utagundua.Hiyo reasoning ni ya msomi wa master, watanzania wana wadudu kichwani trust me, na hapo bado anasema Marekani ina maisha magumu kuliko Ujerumani. Sijui hiyo case study kafanyia wapi?
Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
Wewe utakuwa mchawi , wewe amba hata umeme na maji shida umamuonea huruma mtu aliyeko marekani?Kinachoniuma ni namna naona watanzania wenzetu ambavyo wanataabika huko nje wakati wenzao Tina maisha mazuri tu hapa nyumbani