Brig General Carlitos Way
JF-Expert Member
- Apr 27, 2009
- 1,601
- 3,658
nyokoo zako; hapa tunaongelea mambo ya msingi wewe unaleta ujinga. Shut you fu@:<$%^&*** mouth !!!hivi mbona mbowe naye anaiba sana tu mbona huwaga hamsemi kuwa ni kama samak na shombo hebu muulizeni hela million miamoja aliyopewa na sabodo kujenga ofisi aliipeleka wapi mpaka leo mpo ufipa? acheni kunanga watu hali na nyie mnaliwa kimyakimya
Kwani ilisha kuwa aibu Kwa mwana chukua chako mapema 🤔 kufanya jambo la aibu,lakijinga😜Ndo unachowaza. Je we mkeo au mumeo akiwa serious utakuwa wapi? Why always negativity. Hawezi kuwa mpumbavu kiasi hicho kupokea Rushwa ya kijinga.
Hii ilipaswa kuwa habari MPASUKO, 😆😁DKT.MUSUKUMA AJIUZULU
Mhe. Joseph Musukuma amejiuzulu nafasi yake ya ubalozi wa mazingira baada ya kutokuridhishwa kwake na ripoti ya uchafuzi mto Mara.Amelishauri bunge liikatae ripoti kwa sababu ni proffesorial rubish, "magugu Maji hayauwi samaki,wala hayazalishi mafuta"
Kwa akili yako ya kuweza kusoma na kuandika unaona hiyo report iko sawa kwa hiyo tuaminitatizo hapa si kuchafuka kwa mto mara, ila wa Tanzania wengi mna majibu yenu ambayo tayari mmeisha yapigia mstari, haya basi kwanza andaeni data za uongo kama alivyo fanya jiwe kwenye makinikia, ndiyo mumtie hatian yuho 'mtuhumiwa' wenu, vinginevyo mtachezeshwa root reggae ……………..
Unataka ushahidi gan?? Yaan hata ungekua na akili ya chekechea tu inatosha kukuambia, JAFO KALA RUSHWA.Leteni ushahidi
Huu ni msema wa kijinga kabisa. Kila mtu Tanzania ni mwizi??Mkuu kila mtu Tanzania ni mwizi katika nafasi yake. Temana na Jaffo
Profesa Mnyele avuliwe u profesa wake.Wawajibishwe hao walioinjinia hiyo Professorial rubbish!
Jiwe alikuwa mkali lakini akapigwa na kina Osoro, shithole nations tuna safari ndefu sana!
JESUS IS LORD
PCCB waliingilie kati suala hili.Baada ya kuwasilishwa bungeni leo ripoti ya Uchafuzi wa Mto Mara, wabunge wameikataa na kutaka kuundwe tume huru ya uchunguzi.
"Ripoti ya Kamati ya Kitaifa kuhusu Uchafuzi wa Mto Mara ina upotoshaji. Isiwekwe hata kwenye tovuti ya wizara. Hakuna mafuta Ziwa Victoria. Ikiwekwa kwenye tovuti, UNESCO watanishangaa mimi mtaalamu wa eneo hili," Prof. Muhongo.
Chanzo: Nipashe
Pia soma
- Madai ya sumu Mto Mara kutoka migodini, wananchi wazuiwa kutumia maji, kula samaki, uvuvi, Serikali yatoa tamko
- Kamati: Kinyesi na Mikojo ya Mifugo ndiyo chanzo cha kufa samaki mto Mara, sio sumu ya maji ya Migodini
PCCB watamfanya nini Jafo bila tamko la Rais?PCCB waliingilie kati suala hili.
Kuna kila dzlili ryshwa imerembea na rushwa huwa inaonekana kwa matokeo tu.
Si rahisi kuona pesa ilivyotembea lakini tunaona matokeo ya rushwa hiyo.
Ripoti fake.
Bunge likiwa serious,JAFO ANATOLEWA MCHANA KWEUPE.
Ni wakati wa kuchukua hatua sasa.PCCB watamfanya nini Jafo bila tamko la Rais?
Utachukua hatua gani anawajibika kwa Rais na siyo kwa wananchi?Ni wakati wa kuchukua hatua sasa.
Jama si tulikubaliana kila moja ale kwa urefu wa kamba yake?atenguliwe, ushahidi wa kutosha upatikane apelekwe mahakama ya mafisadi, sheria ichukue mkondo wake. No one is above the law.
YESU NI BWANA