Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
- Thread starter
-
- #61
Haya ni kwakuwa Simba kashinda. Ngoja tusubiri siku nyingine mgungwe kwa style hii ndio tutajua mnachosimamiq.Kasome Sheria Namba SABA (Duration of the match) yaani muda wa mchezo, ambao kifungu cha tatu kinazungumzia muda uliopotezwa, yaani Fidia ya Muda, ambapo hutolewa kwa sababu mbalimbali ikiwemo upotezaji muda bila sababu, na mliopo uwanjani mliona namna gani Sfaxien walikuwa wanakumbushwa kuhusu hilo suala na Fourth Official.
Kwahiyo dakika saba zilipoisha, Refa alikuwa na dakika za ziada kutokana na tabia za Sfaxien, hapo ndipo shida ilipoanza na ndio dhahama yote kutokea.
Simba ina ubora gani?Yanga ni wabovu hilo liko wazi
Mmmh, sasa si wangekuwa wakiongeza dk mtu anajiumiza au anajilaza mpaka zinaisha... Common sense!Dakika za nyongeza azinaga nyongeza Babu,,dakika zilishakwisha za kawaida na nyongeza sasa zile nyingine alitaka kitu Gani!
Mpumbavu NI wewe Kwa sababu mashabiki wa Simba walikuwa wanajibu mashambulizi walioanzisha waarabu. Kwani shabiki wa waarabu aliyekuwa ameshika bendera alikuwa anazozana na shabiki wa Simba kila mtu Kwa lugha yake, hatimae mwarabu akachomoa mti kumpiga mswahili, na hapo ndipo vurugi zilipoanza. Hapo Nani NI mchokozi?Simba wapumbavu wanawarushia mashabiki viti kisa nini
Inabidi waanze na muda wa jana.
Hakuna Simba aliyebebwa labda ww umepakatwaMi ni simba ila tumebebwa ukweli usemwe.
Sheria ya mwaka gani?Dakika za nyongeza azinaga nyongeza Babu,,dakika zilishakwisha za kawaida na nyongeza sasa zile nyingine alitaka kitu Gani!
We ndio umeona kasoroHapa ndipo naposhaangaa hawa wachambuzi yaani ni kama hiyo kasoro hawajaiona.
Yaani hao saa ya kocha hawaioni japo Camera inaionyesha vizuri?
Jamaa wanashangaza sana,halafu wanajiita wakubwa na kumbukumbu hawanaKwani jana goli lilitungwa dak ya ngapi vile na ktk mazingira yapi
Kaangalie muda uliotumika kati ya Bravos na Constantine...hapa ndo utaelewa kuwa CAF washaupata muarobaini wa waarabu...Hawa wajinga usipokuwa makini unaweza kuchezesha tu dk 60 au 70....nyingine zote ni kupoteza muda tu...Sasa marefa nao wameamua wawakabie kwa juu Ili somo liwaingieMpira ni mchezo wa malengo. Kuna upande utahitaji dakika nyingi na kuna upande utahitaji dakika chache.
Wale jamaa ni kweli walikuwa wanapoteza muda na ndio maana zikaomgezwa dakika saba
. Ndani ya dakika saba za nyongeza hawajapoteza muda kabisa, nafikiri refa ameamua tu kuwakomoa.
Kwani muda waliongezewa Simba tu?Achana na huyo dunga dunga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
wangeshambulia wapate gori waoWakiongelea ndio itabadilika iwe moja moja,,utopolo mshaanza kuwa wehu