Wadada siku hizi wanatongoza, hawana aibu tena

Me mwenyewe huku nimebanwa na bidada nakula mtongozo balaa,hadi nashangaa.

Bahati mbaya amenikuta kwenye wakati mgumuuuu mambo yangu financially yameharibika sana.Hapa nawaza tu kupambana yakae sawa na siwazi kabisa mapenzi.

Kingine ni kwamba si pisi kali kabisa na hayupo vizuri financially japo amejiwekeza kidogo.

Nawaza hata nikiomba assistance ya M10 hawezi nipa hata kama ni kuniazima.

Ila kama ana dawa vile,maana anachokitaka cha kukojozwa me ndo Gardiner Jr sasa.
 
Hii ndo nzuri sasa ! Kusubiria mtu amfuate inachosha sana , sasa akae benchi mwaka wakati anaona kabisa kuna muhuni pembeni kamuelewa !! Na wanaomfata hawaelewi ! Na wahuni wengine ni wazito analetewa hadi gheto anajifanya haoni πŸ˜‚πŸ˜‚ Na wanaume tuondoe hofu sio kila demu anayekutaka ana tabia mbaya !πŸ˜‚ Nyonyoa kuku huyo ,kienyeji ni tamu sana.
Wasalaam
 
Umenikumbusha hawa vijana wanaoshinda kwenye ofisi za kubeti wapo ukiwaona wanavyoandaa mkeka utazani wapo kwenye paper la UE
 
Na ukiingia hapo, huchomoki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…