Iko hivi, kwenye hizi kazi za kuteuliwa au kazi za serikalini, kila mtu anaangalia jinsi ya kutumia fursa vizuri, sasa sometimes hio fursa inaweza ku-backfire kama ilivyotokea kwa wale askari halafu ikawa fursa kwa yule Boss wa Uhamiaji kujiuza kwenye media kuwa anatenda haki na ni msikilizaji mzuri....hicho tu.
The Gambler "Secret to survive is knowing what to throw away and what to keep, because every hand is a winner and every hand is a looser, the best you can hope for is to die in your sleep"