Kuugua kwa muda mfupi!
Huyo fundi wa kufanya hivyo atakuwa ni fundi kweli kweli!

Lakini nimeyaona matangazo ya tanzia ya vifo hivyo. Sijaona uhusiano unaounganisha mnyororo wa kuanza kujengea stori hapa.
Au tuseme basi kuna habari ambayo haijaelezwa vizuri kuwahusu marehemu.
 
Ngoja tuone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…