Huyo fundi wa kufanya hivyo atakuwa ni fundi kweli kweli!Kuugua kwa muda mfupi!
Hii wiki kumekuwa na matukio tata sana kuanzia Dr Dugange hadi Jenereta la Lupaso kuzimika!Huyo fundi wa kufanya hivyo atakuwa ni fundi kweli kweli!
Lakini nimeyaona matangazo ya tanzia ya vifo hivyo. Sijaona uhusiano unaounganisha mnyororo wa kuanza kujengea stori hapa.
Hivi waziri wa michezo ni nani vile?Hii wiki kumekuwa na matukio tata sana kuanzia Dr Dugange hadi Jenereta la Lupaso kuzimika!
Dr Pindi Chana akisaidiwa na mwanaFAHivi waziri wa michezo ni nani vile?
Sawa.Dr Pindi Chana akisaidiwa na mwanaFA
Ngoja tuoneKifo cha huyu Bwana kina utata, TANGAZO la kifo alijaeleza kafariki lini!
Je, ameletwa nchini kutoka Cameroon?
Postmortem ilifanyika huko nje? Kama ilifanyika report inasemaje?
Nadhani haya maswali yakijibiwa tunaweza kujua utata au mazingira ya kifo
KWANINI WANAWAUA HAWA WATU WOTE SHIDA NINI REPORT YA CAG MNAUA HADI DOBI ? HII NCHI VIPI HII ?Mola awafanyie wepesi katika kipindi hiki kigumu.
View attachment 2605338
View attachment 2605339
Poleni kwa misiba.
Mwendo wameumaliza.
Wapumzike kwa amani.
Hio November huyo Kichere mwenyewe asipokua makini anaweza asiwepo, wanawafyeka mmoja mmojamara ripoti itajadiliwa mwezi November
WATAWAUA WOTE NDIO WANACHOENDA KUKIFANYALi nchi la ajabu hili. Watawamaliza wote.
WANAWAUA KISA RIPOTI HII NCHI FYOKO SANAMmeanza kuwapiga vipapai wakaguzi au tumerudi zama zile za akina Mwakyembe kulishwa sumu na kunyonyoka nywele kisa wamegusa mirija.