Wakati magari mengine yakitupwa na kutelekezwa, Tamisemi waomba magari ya Bil 16, kununua magari 81

Hivi ni kweli kuwa hawa RC,DC, RAS, wabunge na wengineo ...ni lazima sana kila mmoja apate gari? ....gari hizi za gharama kubwa ni kwa matumizi gani? Kama shida ni usafiri kwa nini wasiombe mikopo binafsi benki ? Serikalini huko kumejaa wezi ambao hata mkaguzi mkuu wa Serikali haoni kama ni ubadhirifu.
Haya magari yanayonunuliwa haijulikani yapotelea wapi baada ya miaka.... Ni haya yaliyoegeshwa Mitaa ya Kitumbini?....
 

Kikubwa uhuru wa kutoa maoni na nchi imefunguliwa.
Hayomengine sio muhimu sana.
 
Magari mazima kabisa yameegeshwa ili wauziane land cruiser bei ya bajaji. Nchi hii bila CCM kutoka madarakani tutaendelea kuumizwa sana.

Tuliza kalio weww,adui yako si alikuwa JPM??ccm wameingiaje hapa!!

Umesharuhusiwa kufanha siasa na kutoa maoni,jipe shughuli acha watu wafanye yao.
 
Tuliza kalio weww,adui yako si alikuwa JPM??ccm wameingiaje hapa!!

Umesharuhusiwa kufanha siasa na kutoa maoni,jipe shughuli acha watu wafanye yao.
Wewe matako CCM ndiyo yenye Serikali inayofisadi nchi.
 
Wewe matako CCM ndiyo yenye Serikali inayofisadi nchi.

Jifunze kuwa na lengo vitani,vinginevyo utakuwa kama bendera.

Jpm kafariki bado unafilika,toka mwanzo ilipaswa ujue adui yako hakuwa jpm bali ccm.
 
Huko ndiko wanakopatiamo ziel 20%
 
Unadhani mbinguni ni ufipa??kwamba taarifa zinavuja kwa michepuko wa mwenyekiti mpaka machawa wanazipata[emoji1787][emoji1787]
Tuliza kijambio hicho wewe fala usinikasirikie mimi siyo niliyekutatua marinda tamaa zako ndiyo zimeyaponza marinda yako
 
Tuliza kijambio hicho wewe fala usinikasirikie mimi siyo niliyekutatua marinda tamaa zako ndiyo zimeyaponza marinda yako

Nani akukasiriki mtu uliyejikatia tamaa kama weww[emoji28][emoji28]

Wakati wa jpm ulikuwa unanyanduliwa,na sasa bado unanayanduliwa,lini utakuwa na bahati??
 
Nani akukasiriki mtu uliyejikatia tamaa kama weww[emoji28][emoji28]

Wakati wa jpm ulikuwa unanyanduliwa,na sasa bado unanayanduliwa,lini utakuwa na bahati??
Wacha makasiriko wewe mchicha mwiba. Mkasirikie aliyekata hiyo seal, bwege wewe. Eti sina bahati,wewe unaishi kwa kubahatisha ndiyo maana wanakubokoa
 
Uthibitisho wa hio gari kutupwa ni upi hapo sasa huyo jamaa anayechukua vid sidhan kama anatosha kudhibitisha hilo
Ukiangalia anasema imekaa miezi 3 sawa lkn haina hata vumbi ina maana kuna mtu anaingalia
Je hiyo ndo garage ya magari ya serikali?
 
Wacha makasiriko wewe mchicha mwiba. Mkasirikie aliyekata hiyo seal, bwege wewe. Eti sina bahati,wewe unaishi kwa kubahatisha ndiyo maana wanakubokoa

Kama alikubokoa mwendazake mpaka leo unalalamika unadhani kila mtu ni hivyo??

Wape hata wengine upate kuishi,sio unabaki kulialia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…