ThnkingAloud
JF-Expert Member
- Sep 13, 2017
- 546
- 564
Ujerumani wanaongea Kijerumani. Point yako ni ipi sasa!Ujerumani wanaongea Kiingereza?
Get your facts straight wacha kuongea kama zuzu, Kila mtu anasoma English as a secondary language hapa kwetu, ni sawa tu na nyingine zote ambazo English sio lugha ya kwanza!
Kwa hili Kenya wana Rais aseeView attachment 3095829
Ujerumani imekubali kuwapokea Wakenya 250,000 na kuwapa nafasi za kufanya kazi nchini humo.
Makubaliano hayo yamefikiwa kati ya Rais William Ruto na Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz.
Tayari madereva Watano toka Kenya wamefika kwenye mji wa Flensburg Ujerumani kupitia mpango huu. (Maderva hulipwa wastani wa euro 14 / shilingi elf 42 kwa saa)
Faida..
- Fursa za kujiongeza kielimu na kupata kazi zenye mishahara ya kizungu (Mwalimu analipwa milioni 8 kwa mwezi)
- Kupunguza tatizo la wahitimu wengi wasio na ajira Kenya
- Kupata connections za biashara za kimataifa, Mfano kununua maparachichi Tanzania kwa mia mbili, kuyauza ujerumani kwa elf 5.
- Diaspora inazidi kupanuka, baadhi ya sehemu kunakuwa na vijiji / mitaa iliyojaa wakenya
- Inakuwa rahisi kwa wakenya kuingia ujerumani wakiwa na ndugu, marafiki na jamaa waliojaa nchini humo.
- Wakenya kupata fursa za kutumia vipaji kupata pesa zaidi, Kuna vijana wadogo ujerumani wanacheza mpira wanakunja milioni 200 kila wiki.
- n.k.
View: https://x.com/visegrad24/status/1834677580542193790
Yote maishaView attachment 3095829
Ujerumani imekubali kuwapokea Wakenya 250,000 na kuwapa nafasi za kufanya kazi nchini humo.
Makubaliano hayo yamefikiwa kati ya Rais William Ruto na Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz.
Tayari madereva Watano toka Kenya wamefika kwenye mji wa Flensburg Ujerumani kupitia mpango huu. (Maderva hulipwa wastani wa euro 14 / shilingi elf 42 kwa saa)
Faida..
- Fursa za kujiongeza kielimu na kupata kazi zenye mishahara ya kizungu (Mwalimu analipwa milioni 8 kwa mwezi)
- Kupunguza tatizo la wahitimu wengi wasio na ajira Kenya
- Kupata connections za biashara za kimataifa, Mfano kununua maparachichi Tanzania kwa mia mbili, kuyauza ujerumani kwa elf 5.
- Diaspora inazidi kupanuka, baadhi ya sehemu kunakuwa na vijiji / mitaa iliyojaa wakenya
- Inakuwa rahisi kwa wakenya kuingia ujerumani wakiwa na ndugu, marafiki na jamaa waliojaa nchini humo.
- Wakenya kupata fursa za kutumia vipaji kupata pesa zaidi, Kuna vijana wadogo ujerumani wanacheza mpira wanakunja milioni 200 kila wiki.
- n.k.
View: https://x.com/visegrad24/status/1834677580542193790
asilimia 56 ya watu Ujerumani wanaongea kiingereza, Biashara kibao zinatumia kiingereza kama lugha kuu.Ujerumani wanaongea Kijerumani. Point yako ni ipi sasa!
Hamna kitu haoooNenda pale foreign kama muandishi wa habari unayetaka kujua tuna Watz wangapi Ujeremani kama wana takwimu sahihi na watakupa.
Sawa,ila wakata mauno wanazidiHuu ni utumwa wa mawazo.
Huu ni ukoloni/utumwa mamboleo.
========
Itoshe, huu ni ufukara wa mawazo.
========
Uzuri Watanzania hawafikirii na mafuvu tupu. Sio watumwa wa mawazo na ni wakemeaji wakubwa, tena namba moja wa ukoloni mamboleo
Huku kwetu Mama ananunua magoli ya Yanga na Simba kwa bei ghali. Ndio maana hamruhusiwi hata kuandamana bila ruhusa ya mama.View attachment 3095829
Natumaini mu wazima humu, ni siku nyingine tukiwa bado tunasubiri muafaka wa mchezaji Kagoma kama atabaki Simba au atarudi Yanga, Mzee wetu magoma na yeye ni mpaka kieleweke !!,
Anyway tukirudi kwenye kichwa cha habari, Ujerumani imekubali kuwapokea Wakenya 250,000 na kuwapa nafasi za kufanya kazi nchini humo.
Makubaliano hayo yamefikiwa kati ya Rais William Ruto na Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz.
Tayari madereva Watano toka Kenya wamefika kwenye mji wa Flensburg Ujerumani kupitia mpango huu. (Maderva hulipwa wastani wa euro 14 / shilingi elf 42 kwa saa)
Faida..
- Fursa za kujiongeza kielimu na kupata kazi zenye mishahara ya kizungu (Mwalimu analipwa milioni 8 kwa mwezi)
- Kupunguza tatizo la wahitimu wengi wasio na ajira Kenya
- Kupata connections za biashara za kimataifa, Mfano kununua maparachichi Tanzania kwa mia mbili, kuyauza ujerumani kwa elf 5.
- Diaspora inazidi kupanuka, baadhi ya sehemu kunakuwa na vijiji / mitaa iliyojaa wakenya
- Inakuwa rahisi kwa wakenya kuingia ujerumani wakiwa na ndugu, marafiki na jamaa waliojaa nchini humo.
- Wakenya kupata fursa za kutumia vipaji kupata pesa zaidi, Kuna vijana wadogo ujerumani wanacheza mpira wanakunja milioni 200 kila wiki.
- n.k.
View: https://x.com/visegrad24/status/1834677580542193790
Kwa hiyo hawa ni mbadala wa watakao ondolewa?Ujerumani pia imepanga kuwafukuza Wanaijeria elfu kumi na tano na kuwarudisha nyumbani Wasiria Wairaq na Waafghanistan.
Nilipokuwa nasoma shahada ya Kiswahili nilitumia vitabu vingi vilivyoandikwa na Wakenya.Sasa huko Ujerumani utapeleka waongea Kiswahili tu! Wakenya wanaongea Kiswahili na English kwa hiyo soko lao ni kubwa. Siyo wale wa "Ene Kwesheni!"
Hakuna cha New Slave Trade. Hii ni fursa kwa Vijana wa Kenya na hapa Ruto apewe Maua yake. Tatizo la kwetu Bongo tuko busy na Ziara zisizo na Tija na kuandaa matamasha bila kufilikila namna ya kuwasaidia vijana wa Kitanzania. Pamoja na mapungufu ya vijana wetu kukosa sifa za kushindana kwenye Labour Market na kutokuwa agressive kama wenzao wa Kenya na hata Uganda wapo waGanda na Wakenya wengi huko UK wakifanya kazi za Professional ambazo wa Tanzania wanaweza kuzifanya pia kama za Nursing , Teaching, Air Traffic Control Technicians etc but Language nayo ni Kikwazo ila pia Viongozi wetu hawasaidii kuwatafutia Fursa kwenye hizo ziara nyingi wanazofanya huko Nje. Hata kufundisha Kiswahili huko Rwanda wako wa Kenya wengi ni Walimu. Hata watangazi wengi wa Idhaa za Kiswahili kama BBC , DW even CCTN wapo wa Kenya wengi than Tanzanians ambako tunajinasibu kuwa Chimbuko la Kiswahili. Problem ni uwezo mdogo wa Kuchambua mambo mengi na makubwa ya Kimataifa na siyo kuongea Kiswahili au kujua Lugha tu, bali pia uwezo Kichwani wa kujua na kujadili mada kubwa za masuala ya Kimataifa. Sisi siasa uchwala na Simba na Yanga zimedumaza Vijana wetu kichwani. Bravo Dr Ruto for being a Leader with Vision for your People.new slave trade mode
Vipaumbele vya kwanza ni vile vinavyoleta ustawi wa watu wa Taifa husika.
Hakika
Huko mnapofanya ulinganishi wa Maendeleo, wanaendelea kwa sababu wana embrace mawazo mapya na mbadala.Sawa,ila wakata mauno wanazidi
Ova