Shangazi la mwisho kuwa nalo, ni kama lilikuwa na mapepo. Yani asione scene yoyote ya faragha kwenye movie, lazima anipigie simu "Uko wapi kijana wangu, mwenzio nimebanwa". Sasa ole wake niseme nipo mbali au sitoenda, itafata mvua ya matusi na kejeli πKifuatacho ni kiscroll contact list π
Wapi mshangaziiiiii
Ushazoea mishangazi, we pigo za vibinti hautaziweza kabisa ππππShangazi la mwisho kuwa nalo, ni kama lilikuwa na mapepo. Yani asione scene yoyote ya faragha kwenye movie, lazima anipigie simu "Uko wapi kijana wangu, mwenzio nimebanwa". Sasa ole wake niseme nipo mbali au sitoenda, itafata mvua ya matusi na kejeli π
Nawe ni kundi la mabinti?Ushazoea mishangazi, we pigo za vibinti hautaziweza kabisa ππππ
Every man deserves happiness bruhdaπ ndio maana wanaojua raha ya mishangazi wanasapoti mada. Kuna kijana namfahamu anaishi makazi yanayoeleweka jijini hapa na kashajengea familia yake mkoani huko sababu amejiattach kwa jishangazi lenye mipango na mipunga. Yeye anabadili mipira tu kwa sasa mara tako la nyani mara alphard kiufupi kajipata japo naye sio kwamba ni sifuri ni muajiriwa wa serikalini ila kwa kipato chake asinge afford hizo butters.Baadhi ya wanaume kweli tena wazima wa afya wenye mikono miwili na miguu miwili mmefikia hatua ya kutafta mishangazi ili wawahudumie kipesa, mnatoa hio mada huku wanaume wengine wengi wakisapoti, sijui tunakuja jenga jamii ya namna gani
Kundi la mishangazi, 4th floor nakula upepo......Nawe ni kundi la mabinti?
Asili ya sisi wanaume ni kufanya kazi na ku-provide for mdada/mke unaempenda, sasa kama mtu unalelewa na jimama usievutiwa nae hiyo ni feminine trait in a man, I think u-marioo ni Moja ya steji ya mwanaume kuelekea kuwa shoga ExtrovertEvery man deserves happiness bruhdaπ ndio maana wanaojua raha ya mishangazi wanasapoti mada. Kuna kijana namfahamu anaishi makazi yanayoeleweka jijini hapa na kashajengea familia yake mkoani huko sababu amejiattach kwa jishangazi lenye mipango na mipunga. Yeye anabadili mipira tu kwa sasa mara tako la nyani mara alphard kiufupi kajipata japo naye sio kwamba ni sifuri ni muajiriwa wa serikalini ila kwa kipato chake asinge afford hizo butters.
Ofcourse hii ndio key ili usipelekeshwe kama mbuzi, japo certified shangazi lazma awe na advantage ya mpunga na mipango mzee baba.Ukitafuta mishangazi utasota sana inabamba kama utakutana nayo kwenye shughul za kila siku, yy akikuelewa utakula mema ya dunia... Asiwepo kati yenu anaemtegemea mwenzake kwenye πΈπΈ mahusiano yafocus kwenye kupiga miti
Kipepeee auntKundi la mishangazi, 4th floor nakula upepo......
Salute mkufunziOfcourse hii ndio key ili usipelekeshwe kama mbuzi, japo certified shangazi lazma awe na advantage ya mpunga na mipango mzee baba.
You are risking your life and killing alot of energy sababu ya kumridhisha kimapenzi lazma kuwe na rewards. Otherwise ni heri kustick na watoto wadogo tu au agemates.
Marioo ni mtu ambaye hawezi kujitegema na hana pa kushika kabisa. He plays dumb completely while expecting favours.Asili ya sisi wanaume ni kufanya kazi na ku-provide for mdada/mke unaempenda, sasa kama mtu unalelewa na jimama usievutiwa nae hiyo ni feminine trait in a man, I think u-marioo ni Moja ya steji ya mwanaume kuelekea kuwa shoga
Shusho ni hamba wena yani hasara tu. Yule ni mdangaji kwahio huwezi kupata advantage yeyote ya kimipango maana yeye mwenyewe hatoki na makapuku.Ukipata mawili nigawie limoja mkuu, aliyempata Shusho kaokota.
Ila wanaume kiwango chenu cha ubinafsi kipo kileleni, hapo angekua ndo mdada na kibabu chake anakula maisha yangewatokaaaa mngepondaaa....kumbe nanyie mnapenda na kuinjoi.π₯ΉEvery man deserves happiness bruhdaπ ndio maana wanaojua raha ya mishangazi wanasapoti mada. Kuna kijana namfahamu anaishi makazi yanayoeleweka jijini hapa na kashajengea familia yake mkoani huko sababu amejiattach kwa jishangazi lenye mipango na mipunga. Yeye anabadili mipira tu kwa sasa mara tako la nyani mara alphard kiufupi kajipata japo naye sio kwamba ni sifuri ni muajiriwa wa serikalini ila kwa kipato chake asinge afford hizo butters.
Tatizo mashangazi sometimes yanakuwaga na utemi utemi au command... that's why mabinti nao nafasi yao ipo πUshazoea mishangazi, we pigo za vibinti hautaziweza kabisa ππππ
Tuko vizuri sana kuliko vijana wa kisasa, nasikia huwa mnatumia sana dawa za ajabu ndio maana nguvu zinawaisha mapema....Na wajomba hamchelewi kufa kwa matumizi makubwa (overdose) ya Viagra, haha
Mishangazi kwenye kikao chetu, tutalikemea hilo....Tatizo mashangazi sometimes yanakuwaga na utemi utemi au command... that's why mabinti nao nafasi yao ipo π
TEMESA=Tanzania Electrical, Mechanical and Electronics Services Agency.ndio,wanapka vyakula vya kiitalianoπ
Ila wanaume kiwango chenu cha ubinafsi kipo kileleni, hapo angekua ndo mdada na kibabu chake anakula maisha yangewatokaaaa mngepondaaa....kumbe nanyie mnapenda na kuinjoi.
Hizo ni uongoooooooKwenye hili sikupingi, tukubaliane tu kuwa butters na kijana ni vitu ambavyo haviachani. Tunaishi maisha kipindi kifupi sana ila sehemu kubwa ya maisha huwa tunasota kama sio na maradhi basi ni umaskini. Tukipata fursa ni ngumu kuacha kuitumia.
Tofauti inakuja kwamba Men tuko composed. Huwezi kumsumbua mke au mpenzi wako hata ukiwa una affairs nje. Still mke utampenda na familia yako utaijali.
Ila mke akishapata babu mwenye maokoto anaweza akakutesa balaa dharau kibao hadi utamsanukia tu.
Acha basi, kwamba unajiweka level za mashangazi wakati wewe bado ni binti?Mishangazi kwenye kikao chetu, tutalikemea hilo....