Wale ambao hatuna Mpango wa kuoa tuendelee kupeana Mbinu za Maisha

Wale ambao hatuna Mpango wa kuoa tuendelee kupeana Mbinu za Maisha

Huyu hakusema umri wake ila obviously ni chini ya 30s sasa hakuna bachela wa umri huo verified bachela ni kuanzia 40 na kibaya zaidi wanadanganyana wote watoto humu hajatokea bado aliyeonja maisha hayo akasema kitu.

Wasome katikati ya mistari utagundua they don't know nothing about life,mifano yao wanaitoa kwa Elon musk,Christiano Ronaldo na daiomond unaweza kuona jinsi walivyo weupe,waulize baba zao na mama zao wapo pamoja watakwambia ndiyo sasa hoja zao ziko wapi?
Kwani nyie si mlete hoja yenye mantikiti, siyo kusema tuoe ili tuje kusaidiwa kuchamba
 
Huzun gan bwana ww??? Acha kutulisha matango pori,,, eti relationship ndo kila ktu duuuuh yan we uwe mzee una familia afu huna raman zozote za kuingiza pesa afu eti useme relationship ndo kla ktu mtakula relationship? Bili za maji na umeme mtalila na hyo relationship??
siku ukikua utajua nilimaanisha nini. bado utoto umekutawala kichwani
 
Eti ooh Yaan unaoa kisa ukiumwa uhudumiwe utafikiri hawajui kuwa mtu ukifikisha miaka 50 magonjwa yanaanza kukunyemelea wachache sana wanakuwa hawapati magonjwa ila wengi huumwa presha,kisukari,miguu,moyo na mengine
Tukiangalia hapa tz viongozi wote wameoa vijana wenye uwezo wameoa hata maskin wengi wameoa tu,eti ooh wanawake wanapenda kuolewana matajiri jamani mbona wanawake wengi tu wameolewa na maskini
Watu wanapenda tu kukumbatia ujinga.
 
Point ni kuwa " kataa ndoa " ...

Yule mwanamke anayeishi nae Ronaldo hajafunga nae ndoa ....

Sisi tuaonasema kataa ndoa sio kwamba hatuna wanawake,ila Hao wanawake hatutaki kufunga nao ndoa kwani ndoa ukiitafakali Kwa ukaribu ni jumba la kumteketeza mwanaume na kumnufaisha mwanamke ...

Na ndio maana familia zote anayewahi kufaa ni mwanaume ,Nyerere kafaa mke yupo ,magufuli kafa mke yupo ,....

Mbaya zaidi nature haidanganyi ,binadamu wanachokana na kutafuta namna nyingine ya kuishi ,hivyo basi huwezi kusema utakuja kuishi na mtoto wa mtu mwili mmoja never ever ....
Mmejawa ubinafsi tu hamna lolote na uchoyo umewajaa
 
uzi ulihusu mwanaume kutooa. anzisha kuhusu mwanamke asiyetaka kuolewa, utajibiwa
nimehoji mkuu maana kila unachokiandika kwenye hoja kikawa na mapungufu basi ujue pia kuna ambao watahitaji ufafanuzi zaidi kutokana na maswali watakayokuwa nayo kichwani... huwezi ukamuambia mtu aoe eti kwa sababu nguvu zitamuishia uzeeni we unajuaje kama atafika uzee, okay lets say atafika kwani huyo mwanamke yeye hatoishiwa nguvu? Tukiachana na hayo hata huyo mwanamke anaweza kutangulia mbele za haki kabla yako vp utaoa au hutooa, utaoa si ndiyo na hutojali una umri gani basi this mean kwamba kama tunaoa ili uzeeni tuwe na usaidizi basi cha muhimu tutafute hela maana hata ukiwa 60+ unaweza kuoa tu maana wanawake wenyewe wanaangalia mfuko tu mzee wangu.
 
Mnaosema et ukizeeka hujiwezi unajinyea huwezi hata kwenda chooni utakuja kusaidiwa na mkeo nawaambia tu kuwa mnajitekenya na kucheka wenyewe ,Hawa wanawake wa siku hizi sio kama mama zetu ,[emoji3][emoji3][emoji848][emoji848]nakuhakikishia kuwa ukiwa katika hio hali utaiona kila rangi ya mkeo ,kwanza kabisa lazima atakukimbia .......


Kama huamin ,saizi si una mke ,pata ajari yeyote kubwa Sana ,ambayo utakuwa hujiwezi kwenda kazin wala kufanya kazi yeyote ,upo kitandan ,chooni unapelekwa ...mbaya zaidi uwe huna kipato cha Ziada kazin wakukatie mshahara ,au wakutimue ,uwe na pesa za kuungaa unga na misaada [emoji3][emoji3]" huyo mwanamke kama atabaki na wewe niite mbwa Niko hapa nimekaaa........

Mambo mengine haina haja ya kufichana , mwanamke uliyenae ni kwasababu ya kitu flani ulichonacho , mambo ya mapenzi sijui mahaba ni utapeli mtupu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mleta mada wasitkutishe. Watu wameoa still wanatukanwa na wake zao eti "Wee msenge nini"

Yaani mke wako anakutukana wewe ni msenge!!!

Waliooa Wana mazito sana vifuani mwao. Hawana amani ya nafsi 😂
Unaoaje mwanamke mwwnye mdomo kama choo mkuu? Yani mtu anakutukana tusi kubwa hivyo anafaaje kuwa mke anayelea watoto wako?
 
Mwanume huna hela,sauti ya kumkemea mwanamke unaitoa wapi [emoji3][emoji3][emoji3] yey anakuchana live wewe mi falaaa ,na huwezi mfanga kitu .....chezea wanawake wa saizi
Ni watanzania wangapi ikitangazwa wenye hela wasimame watasimama bwana? Wengi wetu ni waganga njaa tu hatuna pesa za kusimama na kujionyesha. Ndio nikasema, kama umeoa mwanamke mwenye matusi mda wotw analeaje hao watoto wenu?
 
Ni watanzania wangapi ikitangazwa wenye hela wasimame watasimama bwana? Wengi wetu ni waganga njaa tu hatuna pesa za kusimama na kujionyesha. Ndio nikasema, kama umeoa mwanamke mwenye matusi mda wotw analeaje hao watoto wenu?
Jinsi wanavyoitaja taja hiyo pesa kwa manjonjo utafikiri sio hawa hawa wanaolia lia huko mitandaoni kuhusu ukata unavyowakatilia mbali.
 
Ni watanzania wangapi ikitangazwa wenye hela wasimame watasimama bwana? Wengi wetu ni waganga njaa tu hatuna pesa za kusimama na kujionyesha. Ndio nikasema, kama umeoa mwanamke mwenye matusi mda wotw analeaje hao watoto wenu?
Sasa kama ni mganga njaa ,huwezi kuhudumia mwanamke,ni miongoni mwa watu mnaotukanwa na wake zunu " wewe ni msenge nin" .....Hilo halikwepeki
 
Kwani nyie si mlete hoja yenye mantikiti, siyo kusema tuoe ili tuje kusaidiwa kuchamba
Post #266 nimeweka sababu chache ktk nyingi za kuwa na mahusiano ya ndoa ila zaidi kama hukunielewa muulize baba yako atakuwa atakuwa na nafasi nzuri ya kukuelewesha.

NB:ktk maisha humu mitandaoni pita kwa kuchuja sana hoja za watu,mimi nipo Jamiiforums huu mwaka wa 11 wamekuwepo watu wakianzisha mada za kudhihaki vitu serious kama hivi ktk maisha kisha wanarudi humu kuomba ushauri kuhusu yale yale waliyokuwa wanayakataa,ni kusema wengi humu wana-fake life sasa wewe nenda kizembe uwe bwege.
 
Sasa kama ni mganga njaa ,huwezi kuhudumia mwanamke,ni miongoni mwa watu mnaotukanwa na wake zunu " wewe ni msenge nin" .....Hilo halikwepeki
Kwani kuwa na pesa ni shilingi ngapi mnazosemea mkuu, jf siku hizi imekuwa ya hovyo tu, ni pesa ngapi hizo mnazosemea? Nasema hivi, wengi wetu ni waganga njaa, tunaishi poa sana tu na wake zetu, wamefunzwa adabu na hawana matusi ya kipuuzi.
 
Back
Top Bottom