Nimefika, nipo nje [emoji4][emoji4]Na mchumba mbona hutokei mama weeeh Nishachoka kuchoreshana nambieeee [emoji445][emoji445][emoji444]
Na mchumba mbona hutokei mama weeeh
Namchumba mbona hutokei nakusubiri Mi nshafika niko hapa Toka alfajiri[emoji445][emoji445][emoji445][emoji445]
Huyo mwanamke wa kuniharibia maisha hajazaliwa bado. Iwe kwa nguvu za giza au za mchana HAYUPO.Nasikitika sana mwanamke kadri unavyozidi kumthamini,kumuheshimu na kuhakikisha anapata kila anacho hitaji ndivyo jinsi anavyozidi kukudharau, ukifunga vioo na ukaamua kuachana nae bado hataki uendelee na maisha yako kwa amani matokeo yake anatafuta njia na mbinu ya kukuharibia maisha yako au kukuangamiza kabisa
Hadi unashindwa kuelewa kosa lako ni nini kumpenda na kumthamini au kosa lako ni kumuacha aende kuishi maisha yake baada ya kukuona wewe huna maana kwake
Huyo mwanamke wa kuniharibia maisha hajazaliwa bado. Iwe kwa nguvu za giza au za mchana HAYUPO.
Wanawake wengi hatupendi kuambiwa ukweli na ndio kushindwa kwetu
Kesi yake nyepesi sana hiyo. Mwanamke mapishi unamfundisha. Mm namwambiaga mama watoto andaa mchele na kila kitu narudi kupika mwenyewe maana sipendi kuunguziwa vitunguu mimi. Mwisho wa siku ameiga skills zangu mwenyewe.Mkuu, hizi changamoto zako zinavumilika na zinafundishika ukitumia akili ndogo tu. Tatizo la mkeo ni kwamba hayuko vizuri kwenye mapishi, hivyo Unaweza hata ukamtafutia sehemu akajifunze mapishi toka kwa wale waliosomea Hotel management kisha mdanganye unataka kumfungulia Mgahawa. Halafu akimaliza kufundishwa unamuacha nyumbani, utaona anabadilika.
Kesi za uchepukaji ndio ngumu sana kwa mwanaume kuvumilia lakini haya mambo mengine yanavumilika. Sio rahisi kupata mke aliyekamilika kila eneo.
Wapo sema hujakutana nao tu..... [emoji23][emoji23] Ila michango ya wadada wa humu ni kiboko. Labda ni maandishi tu hatuwez jua.Vulimia umelelewa wapi Mkuu..?? mbona wanawake type yako huku mtaani hawapo kabisa.... au na wewe ni maandishi tu...
Ki-ukweli kama unayaishi unayozungumza basi kuna Mwanaume huko amepata kitu chema sana...
Endelea kuwaangalia Wanawake wenzako huku michango yao,, utaelewa kwanini nimekuweka kundi tofauti nao.
Wapo sema hujakutana nao tu.....Ila michango ya wadada wa humu ni kiboko. Labda ni maandishi tu hatuwez jua.
Siwezi kuandika maandishi tu halafu nisiishi hayo nayoandika nitakua ni mtu niliyechanganyikiwaVulimia umelelewa wapi Mkuu..?? mbona wanawake type yako huku mtaani hawapo kabisa.... au na wewe ni maandishi tu...
Ki-ukweli kama unayaishi unayozungumza basi kuna Mwanaume huko amepata kitu chema sana...
Endelea kuwaangalia Wanawake wenzako huku michango yao,, utaelewa kwanini nimekuweka kundi tofauti nao.
Yupo ila bado mdogoHauna mdogo wa kike nije niweke kambi hapo.. inaonekana umekuzwa vyema..[emoji4][emoji39]
Kwahiyo we binti unaona ni sawa mwanamke akifanya majukumu mengi kuliko mwanaume? Unaelewa maana ya msaidizi?Siwezi kuandika maandishi tu halafu nisiishi hayo nayoandika nitakua ni mtu niliyechanganyikiwa
Muda mwingine huwa natamani niwabadilishe mawazo wanawake wenzangu ....sema ndio vile wanaona wanachoamini ni sahihi .......
Wanawake tuache kurahisisha vitu.......na tuache uvivu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo we binti unaona ni sawa mwanamke akifanya majukumu mengi kuliko mwanaume? Unaelewa maana ya msaidizi?
We dada una nywele nzuri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbinguni Kuna taji [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilishazikata bossWe dada una nywele nzuri
Wewe slay queen unaonaje kati ya haya??Kwahiyo we binti unaona ni sawa mwanamke akifanya majukumu mengi kuliko mwanaume? Unaelewa maana ya msaidizi?
Teh eti slay queen! Nitoe kwenye hilo kundi kwanza madam!Wewe slay queen unaonaje kati ya haya??
Mwanaume aoshe vyombo na wewe mwanamke upo umekaa tu..
Housegirl afue boxer za mumeo na wewe umekaa tu
Housegirl amuandalie mmeo maji ya kuoga sasa kukuolea nn wewe ??
Kwani kumfanyia mumeo kazi ndogo kama hizo tena kwa jioni tu ukiwa umerudi na ni kazi hazichukui masaa hata 2 utapungukiwa nn??
Aahh wacha tukose hayo mataji ya mchongo [emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbinguni Kuna taji [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aahh wacha tukose hayo mataji ya mchongo [emoji1][emoji1]
Si ndiyo hapo sasa unajihangaisha ili kumfurahisha mume halafu mume mwenyewe shukurani hana kuchepuka anachepuka tena bila aibu! Haya unafika mbengone nako unapigwa na kitu kizito unaikosa mbengo kwa dhambi nyingine![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Si ajabu hata hayapo
Unateseka duniani na huko peponi huambulii popote
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Si ndiyo hapo sasa unajihangaisha ili kumfurahisha mume halafu mume mwenyewe shukurani hana kuchepuka anachepuka tena bila aibu! Haya unafika mbengone nako unapigwa na kitu kizito unaikosa mbengo kwa dhambi nyingine!
Duh mm nishagomba mpaka nimechoka wife haingii jikon, nguo zangu anaxofua ni boxer tu tena nlikuaga nazifua mwenyewe nlifanya kumfosi, hapa najipanga nioe mke mdogo coz tuendako uzeeni atanitesa huyuHata mwanamke uwe na kipato kiasi gani housegirl hawezi kupika chakula chakula mme wangu labda kue na dharura au niwe mgonjwa
Housegirl hawezi kufua nguo ya mme wangu hata siku moja ni heri hata ninunue machine yakufulia kama nimetingwa sana lakini sio mikono yake iguse nguo za mme wangu hiyo ni big no to me
Housegirl hawezi kuingia hata chumba nacholala na mume wangu ...
Mwanamke mpumbavu huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe hata kama umesoma na una kipato kiasi gani.....mfanye mumeo ajue umuhimu wako katika maisha yake hata akisema akuache hatoacha kukumbuka mazuri yako maishani mwake...
Ndoa za leo zinafeli sababu ya sisi wanawake kujifanya tunataka usawa na wanaume ....je maandiko yanasemaje juu ya ndoa (iheshimiwe na watu wote) ....sasa itaheshimikaje kama wewe mwenyewe hutataka kuheshimu ndoa yako .....