Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Na mchumba mbona hutokei mama weeeh Nishachoka kuchoreshana nambieeee [emoji445][emoji445][emoji444]

Na mchumba mbona hutokei mama weeeh
Namchumba mbona hutokei nakusubiri Mi nshafika niko hapa Toka alfajiri[emoji445][emoji445][emoji445][emoji445]
Nimefika, nipo nje [emoji4][emoji4]
 
Nasikitika sana mwanamke kadri unavyozidi kumthamini,kumuheshimu na kuhakikisha anapata kila anacho hitaji ndivyo jinsi anavyozidi kukudharau, ukifunga vioo na ukaamua kuachana nae bado hataki uendelee na maisha yako kwa amani matokeo yake anatafuta njia na mbinu ya kukuharibia maisha yako au kukuangamiza kabisa

Hadi unashindwa kuelewa kosa lako ni nini kumpenda na kumthamini au kosa lako ni kumuacha aende kuishi maisha yake baada ya kukuona wewe huna maana kwake
Huyo mwanamke wa kuniharibia maisha hajazaliwa bado. Iwe kwa nguvu za giza au za mchana HAYUPO.
 
Wanawake wengi hatupendi kuambiwa ukweli na ndio kushindwa kwetu

Vulimia umelelewa wapi Mkuu..?? mbona wanawake type yako huku mtaani hawapo kabisa.... au na wewe ni maandishi tu...

Ki-ukweli kama unayaishi unayozungumza basi kuna Mwanaume huko amepata kitu chema sana...

Endelea kuwaangalia Wanawake wenzako huku michango yao,, utaelewa kwanini nimekuweka kundi tofauti nao.
 
Mkuu, hizi changamoto zako zinavumilika na zinafundishika ukitumia akili ndogo tu. Tatizo la mkeo ni kwamba hayuko vizuri kwenye mapishi, hivyo Unaweza hata ukamtafutia sehemu akajifunze mapishi toka kwa wale waliosomea Hotel management kisha mdanganye unataka kumfungulia Mgahawa. Halafu akimaliza kufundishwa unamuacha nyumbani, utaona anabadilika.

Kesi za uchepukaji ndio ngumu sana kwa mwanaume kuvumilia lakini haya mambo mengine yanavumilika. Sio rahisi kupata mke aliyekamilika kila eneo.
Kesi yake nyepesi sana hiyo. Mwanamke mapishi unamfundisha. Mm namwambiaga mama watoto andaa mchele na kila kitu narudi kupika mwenyewe maana sipendi kuunguziwa vitunguu mimi. Mwisho wa siku ameiga skills zangu mwenyewe.
 
Vulimia umelelewa wapi Mkuu..?? mbona wanawake type yako huku mtaani hawapo kabisa.... au na wewe ni maandishi tu...

Ki-ukweli kama unayaishi unayozungumza basi kuna Mwanaume huko amepata kitu chema sana...

Endelea kuwaangalia Wanawake wenzako huku michango yao,, utaelewa kwanini nimekuweka kundi tofauti nao.
Wapo sema hujakutana nao tu..... [emoji23][emoji23] Ila michango ya wadada wa humu ni kiboko. Labda ni maandishi tu hatuwez jua.
 
Wapo sema hujakutana nao tu.....
emoji23.png
emoji23.png
Ila michango ya wadada wa humu ni kiboko. Labda ni maandishi tu hatuwez jua.

Nakuhakikishia in real Life waliobaki hawazidi 73 hapa mjini..
 
Vulimia umelelewa wapi Mkuu..?? mbona wanawake type yako huku mtaani hawapo kabisa.... au na wewe ni maandishi tu...

Ki-ukweli kama unayaishi unayozungumza basi kuna Mwanaume huko amepata kitu chema sana...

Endelea kuwaangalia Wanawake wenzako huku michango yao,, utaelewa kwanini nimekuweka kundi tofauti nao.
Siwezi kuandika maandishi tu halafu nisiishi hayo nayoandika nitakua ni mtu niliyechanganyikiwa

Muda mwingine huwa natamani niwabadilishe mawazo wanawake wenzangu ....sema ndio vile wanaona wanachoamini ni sahihi .......


Wanawake tuache kurahisisha vitu.......na tuache uvivu
 
Siwezi kuandika maandishi tu halafu nisiishi hayo nayoandika nitakua ni mtu niliyechanganyikiwa

Muda mwingine huwa natamani niwabadilishe mawazo wanawake wenzangu ....sema ndio vile wanaona wanachoamini ni sahihi .......


Wanawake tuache kurahisisha vitu.......na tuache uvivu
Kwahiyo we binti unaona ni sawa mwanamke akifanya majukumu mengi kuliko mwanaume? Unaelewa maana ya msaidizi?
 
Kwahiyo we binti unaona ni sawa mwanamke akifanya majukumu mengi kuliko mwanaume? Unaelewa maana ya msaidizi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbinguni Kuna taji [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwahiyo we binti unaona ni sawa mwanamke akifanya majukumu mengi kuliko mwanaume? Unaelewa maana ya msaidizi?
Wewe slay queen unaonaje kati ya haya??

Mwanaume aoshe vyombo na wewe mwanamke upo umekaa tu..

Housegirl afue boxer za mumeo na wewe umekaa tu

Housegirl amuandalie mmeo maji ya kuoga sasa kukuolea nn wewe ??

Kwani kumfanyia mumeo kazi ndogo kama hizo tena kwa jioni tu ukiwa umerudi na ni kazi hazichukui masaa hata 2 utapungukiwa nn??
 
Wewe slay queen unaonaje kati ya haya??

Mwanaume aoshe vyombo na wewe mwanamke upo umekaa tu..

Housegirl afue boxer za mumeo na wewe umekaa tu

Housegirl amuandalie mmeo maji ya kuoga sasa kukuolea nn wewe ??

Kwani kumfanyia mumeo kazi ndogo kama hizo tena kwa jioni tu ukiwa umerudi na ni kazi hazichukui masaa hata 2 utapungukiwa nn??
Teh eti slay queen! Nitoe kwenye hilo kundi kwanza madam!

Okay kwahiyo mwanamke anapotoka huko kazini anakuwa hachoki? Stress anazokutana nazo mwanaume huko kazini mwanamke hakutani nazo siyo?

Kama mwanaume hataki housegirl afanye hizo kazi kwanini yeye mwenyewe asimsaidie mke wake? Na nani aliyekuambia kwamba mume akifanya basi mke anakuwa amekaa tu?

Inatakiwa wakitoka kazini wote wasaidiane usiongee as if hayo majukumu ni mawili matatu tu! Kumbuka kuna kupika kuosha vyombo kufua kusafisha nyumba kuangalia watoto!

Kwahiyo unataka kusema wakirudi kutoka kazini mwanamke afanye hayo yote huku mume amekaa tu asimsaidie? Na bado chumbani mke atoe unyumba kwa ushirikiano mkubwa?

Wengi mnatuigizia huku mitandaoni kujifanya wife materials ili msifiwe wakati ukweli tunaujua! Kwenye hizo ndoa zenu kila siku waume zenu wanalalamika kunyimwa unyumba sababu mnachoka na majukumu!

Kusema mnachoka kwa sababu majukumu yamewazidia mnashindwa kwa kuogopa mtaachika au mtatafutiwa michepuko! Utafikiri mmeambiwa mkitimiza majukumu yenu yote ndiyo hao wanaume hawachepuki!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Si ajabu hata hayapo

Unateseka duniani na huko peponi huambulii popote
Si ndiyo hapo sasa unajihangaisha ili kumfurahisha mume halafu mume mwenyewe shukurani hana kuchepuka anachepuka tena bila aibu! Haya unafika mbengone nako unapigwa na kitu kizito unaikosa mbengo kwa dhambi nyingine!
 
Si ndiyo hapo sasa unajihangaisha ili kumfurahisha mume halafu mume mwenyewe shukurani hana kuchepuka anachepuka tena bila aibu! Haya unafika mbengone nako unapigwa na kitu kizito unaikosa mbengo kwa dhambi nyingine!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hata mwanamke uwe na kipato kiasi gani housegirl hawezi kupika chakula chakula mme wangu labda kue na dharura au niwe mgonjwa

Housegirl hawezi kufua nguo ya mme wangu hata siku moja ni heri hata ninunue machine yakufulia kama nimetingwa sana lakini sio mikono yake iguse nguo za mme wangu hiyo ni big no to me

Housegirl hawezi kuingia hata chumba nacholala na mume wangu ...

Mwanamke mpumbavu huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe hata kama umesoma na una kipato kiasi gani.....mfanye mumeo ajue umuhimu wako katika maisha yake hata akisema akuache hatoacha kukumbuka mazuri yako maishani mwake...

Ndoa za leo zinafeli sababu ya sisi wanawake kujifanya tunataka usawa na wanaume ....je maandiko yanasemaje juu ya ndoa (iheshimiwe na watu wote) ....sasa itaheshimikaje kama wewe mwenyewe hutataka kuheshimu ndoa yako .....
Duh mm nishagomba mpaka nimechoka wife haingii jikon, nguo zangu anaxofua ni boxer tu tena nlikuaga nazifua mwenyewe nlifanya kumfosi, hapa najipanga nioe mke mdogo coz tuendako uzeeni atanitesa huyu
 
Back
Top Bottom