Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Waachane, anatesekea nn sasa
 
Nipo makini sana na huu Uzi naufanyia summary Kabisa maana ndio huko naelekea wakuu mniombee mm kijana mwenzenu jamani maana huko mbelen sio shwar
 
Bado kukuua tu huyo, ogopa sana mwanamke anayepandikiza chuki kwa watoto ili wasikupende...
 
Inaonekana huyo mkeo alikuzidi Elimu na kipato.! Ni hatari sana mwanamke akuzidi hivi vitu na akuheshimu kama mume.!

Ndio maisha move on.!
Kwahiyo kama amekuzidi kipato na elimu ni bora usimuoe?
 
Hatari sana,hapo kwenye kutoa kipigo ndio hunipa shida,maana,mie na maguvu yangu ya GYM Nitakapoamua kumpa kipigo,haki ya nani!ni jera moja kwa moja!!nimeamua kumpotezea tu,shida yake ni kazi zisizoeleweka!mala udalali,mala saloon!!,thank God naishi mbali,ningekuwa nimeua tayari,uzuri anaangalia watoto vzr,mie ndio mtoa pesa,Hilo linatosha,
 
Hakuna mtu anaekosea kuoa au kupatia kuoa KILA anaoa au olewa huwa ameona huyo ndie sahihi.Yanayotokea baada ya ndoa ndio kipimo chenyewe
 
Bila kukutana nae wasingezaliwa hao watoto. Uwepo wao duniani chimbuko ni kukutana nyenu
 
Sasa utelezi ungepata wapi mwanawane
 
Inatakiwa wakitoka kazini wote wasaidiane usiongee as if hayo majukumu ni mawili matatu tu! Kumbuka kuna kupika kuosha vyombo kufua kusafisha nyumba kuangalia watoto!
Hahahaha...
Dooh!!!
Majukumu ya Mume siyo hayo, bali ni mambo makubwa.
Labda utafute mariooo umfuge ili akufanyie hayo mkuu😊
Ingekuwa waume wanaweza hayo mambo uliyo orodhesha wasingekuwa wanaoa
 
Hukukosea kuoa ila ulishindwa kuenenda sawa sawa na tabia yake!
 
Very funny...kwanza nilimsomesha mwenyewe, anikamtafutia kazi alikuwa akilipwa mshahara chini ya laki 1,...nikaendelea kumpa maisha ,akaota mapembe... hajanizidi kwa chochote financially
Acha ku justify ujinga wako, kuna mwanasheria analipwa chini ya laki? Ulisema alikuwa na vipesa na connection na watu wazito, now unasema hakukuzid chochote,

Inferiority complex ilikutafuna ndugu kunakitu hilo,

She was smart than you, hustling than your, na zile maneno za mtaani kwamba jamaa anafugwa n mkewe zilitosha kukukimbiza..

Na inshort ww ni most victim kwny hiyo break up, tht why u find so hardly to move on,

That why Umekuja kutafuta relief hapa, and with doubts why keep talking her personal weakness/problems n you forget to mention yours?

Kaoe standard 7 utaenjoy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…