miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
[emoji23][emoji23][emoji23] daah. Mkuu, situmiagi. Siziwezagi. Nina vibe leo tu.. na nimefurahi sana[emoji23][emoji23] nakupenda though. Usilale kinyonge hivi. Sema hata neno moja jamani gumu gumu ndo tulaleNgoja nilale naona unazingua. Sijui unakunywa pombe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daah, nisamehe mwanangu mwenyewe. Nishazoea banana. Si unajua tena rombo tumeshafunga kiwanda cha banana? Habari yenu manzese kwishaaa. Kesho tukutane hapo lambo basi kunguru..
Ila jamani tukiwapaga kadi musijionyeshe waroho hv. Kama ni safari kunyweni safari zenu polepole tu na siyo vita jaman mkikuta windhoek na heinkein.
Kuna mama wa kisambaa shughuli yangu hatapata kadi[emoji23][emoji23] alisema imported zitamtoboa utumbo hajazoea. Ila sasa hizo serengeti lite[emoji119][emoji119] alikunywa 19 jamani na bado mkavu. Na akaalika shogake mnene huyoo anakaanga chapati wa mbagala zakhem[emoji23][emoji23][emoji23] walikunyw kreti 2 wale wamama
Na hawayumbi. Wanakwambia ni ngumu kutokea sherehe za hv.
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Kunguru ni hudhurungi wajameni.. [emoji23][emoji23] namupenda lkn kichaa wanguIli tulishasema kwenye kikao msioe nakumbuka mpka mwenyekiti siku hiyo alikuwa Liverpool VPN siku hiyo alikuwa amevaa shati refu la uvurungi limefika mpka kwenye magoti la kitenge
Bado hamskii nyie endeleeni kulia tu
Na ni wake za watu[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119] na kuna mida walikua wanagungua bia kwa meno wahudumu wakichelewa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eti ni ngumu kutokea sherehe za hivi[emoji119]
Kreti 2 na hawayumbi[emoji1][emoji23][emoji119]
Unataka maneno magumu?[emoji23][emoji23][emoji23] daah. Mkuu, situmiagi. Siziwezagi. Nina vibe leo tu.. na nimefurahi sana[emoji23][emoji23] nakupenda though. Usilale kinyonge hivi. Sema hata neno moja jamani gumu gumu ndo tulale
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji119]Na ni wake za watu[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119] na kuna mida walikua wanagungua bia kwa meno wahudumu wakichelewa
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Uvurungi hii ni rangi ya wapi mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]Ili tulishasema kwenye kikao msioe nakumbuka mpka mwenyekiti siku hiyo alikuwa Liverpool VPN siku hiyo alikuwa amevaa shati refu la uvurungi limefika mpka kwenye magoti la kitenge
Bado hamskii nyie endeleeni kulia tu
MNa alikuwa anakula ugoro kama nakumbuka vizuri .. maana hata mimi nilikuwepo
Sio uroho jamani mama Pablo tatizo ukame ukizubaa utajikuta unakunywa hata mbili halafu shughuli nyengine mwakani [emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daah, nisamehe mwanangu mwenyewe. Nishazoea banana. Si unajua tena rombo tumeshafunga kiwanda cha banana? Habari yenu manzese kwishaaa. Kesho tukutane hapo lambo basi kunguru..
Ila jamani tukiwapaga kadi musijionyeshe waroho hv. Kama ni safari kunyweni safari zenu polepole tu na siyo vita jaman mkikuta windhoek na heinkein.
Kuna mama wa kisambaa shughuli yangu hatapata kadi[emoji23][emoji23] alisema imported zitamtoboa utumbo hajazoea. Ila sasa hizo serengeti lite[emoji119][emoji119] alikunywa 19 jamani na bado mkavu. Na akaalika shogake mnene huyoo anakaanga chapati wa mbagala zakhem[emoji23][emoji23][emoji23] walikunyw kreti 2 wale wamama
Na hawayumbi. Wanakwambia ni ngumu kutokea sherehe za hv.
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Mama Pablo ushaanza tabu [emoji1787]Kunguru ni hudhurungi wajameni.. [emoji23][emoji23] namupenda lkn kichaa wangu
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Tulia basi nawe [emoji2]Uvurungi hii ni rangi ya wapi mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
Upo rafiki angu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tulia basi nawe [emoji2]
Miss you MUpo rafiki angu
Me too MtumishiMiss you M
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah.wewe siyo hipapu kbs. Ila haua maneno ni ya kitapeli sana.Unataka maneno magumu?
"Nakupenda sana mwanamke wa ndoto zangu. Wewe ndiyo unanipa sababu ya kuishi hapa Duniani"
Nikutumie muamala kwa namba ipi maana umekuwa ni sehemu ya furaha katika maisha yangu.
[emoji120]Me too Mtumishi
[emoji23][emoji23][emoji23] lala[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji119]
We dada unaweza muuwa mtu kwa kicheko[emoji1787]
Waongo waleeTwendeni twitter tukachague wanawake leo wana challenge ya the flag the face. Mimi nimewaona watatu wapole sana, twendeni
[emoji23][emoji23] heeh... mademu zenu hao aisee. Wanaogopeshaa. Wanatisha ukiwaangalia. Wanaume wana roho ngumu sana haloo[emoji23][emoji23][emoji23] bulldoza zileSio uroho jamani mama Pablo tatizo ukame ukizubaa utajikuta unakunywa hata mbili halafu shughuli nyengine mwakani [emoji2][emoji2]
Usishangae ma kreti mawili wenzako wana mafuko mawili Wana fuko la uzazi na fuko la pombe