Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daah, nisamehe mwanangu mwenyewe. Nishazoea banana. Si unajua tena rombo tumeshafunga kiwanda cha banana? Habari yenu manzese kwishaaa. Kesho tukutane hapo lambo basi kunguru..

Ila jamani tukiwapaga kadi musijionyeshe waroho hv. Kama ni safari kunyweni safari zenu polepole tu na siyo vita jaman mkikuta windhoek na heinkein.

Kuna mama wa kisambaa shughuli yangu hatapata kadi[emoji23][emoji23] alisema imported zitamtoboa utumbo hajazoea. Ila sasa hizo serengeti lite[emoji119][emoji119] alikunywa 19 jamani na bado mkavu. Na akaalika shogake mnene huyoo anakaanga chapati wa mbagala zakhem[emoji23][emoji23][emoji23] walikunyw kreti 2 wale wamama
Na hawayumbi. Wanakwambia ni ngumu kutokea sherehe za hv.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eti ni ngumu kutokea sherehe za hivi[emoji119]
Kreti 2 na hawayumbi[emoji1][emoji23][emoji119]
 
Ili tulishasema kwenye kikao msioe nakumbuka mpka mwenyekiti siku hiyo alikuwa Liverpool VPN siku hiyo alikuwa amevaa shati refu la uvurungi limefika mpka kwenye magoti la kitenge


Bado hamskii nyie endeleeni kulia tu
Kunguru ni hudhurungi wajameni.. [emoji23][emoji23] namupenda lkn kichaa wangu

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23] daah. Mkuu, situmiagi. Siziwezagi. Nina vibe leo tu.. na nimefurahi sana[emoji23][emoji23] nakupenda though. Usilale kinyonge hivi. Sema hata neno moja jamani gumu gumu ndo tulale

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Unataka maneno magumu?

"Nakupenda sana mwanamke wa ndoto zangu. Wewe ndiyo unanipa sababu ya kuishi hapa Duniani"

Nikutumie muamala kwa namba ipi maana umekuwa ni sehemu ya furaha katika maisha yangu.
 
Ili tulishasema kwenye kikao msioe nakumbuka mpka mwenyekiti siku hiyo alikuwa Liverpool VPN siku hiyo alikuwa amevaa shati refu la uvurungi limefika mpka kwenye magoti la kitenge


Bado hamskii nyie endeleeni kulia tu
Uvurungi hii ni rangi ya wapi mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daah, nisamehe mwanangu mwenyewe. Nishazoea banana. Si unajua tena rombo tumeshafunga kiwanda cha banana? Habari yenu manzese kwishaaa. Kesho tukutane hapo lambo basi kunguru..

Ila jamani tukiwapaga kadi musijionyeshe waroho hv. Kama ni safari kunyweni safari zenu polepole tu na siyo vita jaman mkikuta windhoek na heinkein.

Kuna mama wa kisambaa shughuli yangu hatapata kadi[emoji23][emoji23] alisema imported zitamtoboa utumbo hajazoea. Ila sasa hizo serengeti lite[emoji119][emoji119] alikunywa 19 jamani na bado mkavu. Na akaalika shogake mnene huyoo anakaanga chapati wa mbagala zakhem[emoji23][emoji23][emoji23] walikunyw kreti 2 wale wamama
Na hawayumbi. Wanakwambia ni ngumu kutokea sherehe za hv.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Sio uroho jamani mama Pablo tatizo ukame ukizubaa utajikuta unakunywa hata mbili halafu shughuli nyengine mwakani [emoji2][emoji2]




Usishangae ma kreti mawili wenzako wana mafuko mawili Wana fuko la uzazi na fuko la pombe
 
Unataka maneno magumu?

"Nakupenda sana mwanamke wa ndoto zangu. Wewe ndiyo unanipa sababu ya kuishi hapa Duniani"

Nikutumie muamala kwa namba ipi maana umekuwa ni sehemu ya furaha katika maisha yangu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah.wewe siyo hipapu kbs. Ila haua maneno ni ya kitapeli sana.

Asante barafu wa moyo wNgu

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Sio uroho jamani mama Pablo tatizo ukame ukizubaa utajikuta unakunywa hata mbili halafu shughuli nyengine mwakani [emoji2][emoji2]




Usishangae ma kreti mawili wenzako wana mafuko mawili Wana fuko la uzazi na fuko la pombe
[emoji23][emoji23] heeh... mademu zenu hao aisee. Wanaogopeshaa. Wanatisha ukiwaangalia. Wanaume wana roho ngumu sana haloo[emoji23][emoji23][emoji23] bulldoza zile

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom