[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daah, nisamehe mwanangu mwenyewe. Nishazoea banana. Si unajua tena rombo tumeshafunga kiwanda cha banana? Habari yenu manzese kwishaaa. Kesho tukutane hapo lambo basi kunguru..
Ila jamani tukiwapaga kadi musijionyeshe waroho hv. Kama ni safari kunyweni safari zenu polepole tu na siyo vita jaman mkikuta windhoek na heinkein.
Kuna mama wa kisambaa shughuli yangu hatapata kadi[emoji23][emoji23] alisema imported zitamtoboa utumbo hajazoea. Ila sasa hizo serengeti lite[emoji119][emoji119] alikunywa 19 jamani na bado mkavu. Na akaalika shogake mnene huyoo anakaanga chapati wa mbagala zakhem[emoji23][emoji23][emoji23] walikunyw kreti 2 wale wamama
Na hawayumbi. Wanakwambia ni ngumu kutokea sherehe za hv.
Sent from my SM-G960U using
JamiiForums mobile app