Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

[emoji23][emoji23][emoji23] uwuuoi, ni singo faza kumbe... ila amelala mapema sana. Amelog out muda kweli. Ama amepata kiposongo saa hizi. Huyu kaka ngoja nimtongoze anioe nike kumnyoosha.

Mzee Shirimaa plz marry me. Mimi ni mtraamuu[emoji23][emoji23] ila jua tukaoana hatuachani. Biashara uje nitangaza singo maza humu na nyuzi nakuua. Nanyofoa hizo kengele na sikuachi bado maana utatafuta meingine. Haikubaliki... nakutaka shirimaa... kwanza una mauno uzazi?

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Sema hii combo ni perfect combinengaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shos una nini wee?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shos una nini wee?
[emoji23][emoji23][emoji23] shirima ni mlevi sana. Nisije pata hasara mara mbili. Hela asiwe nazo ma nguvu z akiume asuwe nazo. Ni msiba huo wamama. Alisemaga mwanamke akilala kitamdani asijiguse kbs. Ni yeye tu. Kazi kazi. Asije nipa hasara mara mbili. Hataki hata ukatike. Si ndio shirima wangu?[emoji23][emoji23] ngikukundi mbe.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23] Bora Mimi nadanga kwa akili napata hela na connection muhimu huwezi nikuta nalia shida ndogo ndogo kama zenu wanaume humu JF msiojiamini, tafuteni hela Mimi mtoto wa kike nawashinda mna kwama wapi aisee?!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dea mie staki ujue? Afu kwanini huwa unitag jaman khaaah.
 
Vita ya kwanza ya mmu live, sikushauri...

Nmezungumzia combo yako na rafiki yako c
[emoji23][emoji23][emoji23] weer, tunachangamsha genge tu. Tukitulia sehem tunatuliaga wewe. Yaan hutuambii kitu... usishangae huyu fala akaniweka penyewe. Na usinisikie. Na akaunt yangu nikampa hii akawa anawachora tu

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Reactions: Lee
Naelewaaa sana
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan nimecheka km chizi, nyie mtamuua shirima wa watu.
 
Upo sahihi mkuu, kuoa ni kujiweka kwenye kifungo zaidi ya gereza la ukonga..[emoji23][emoji23] na hata kuzaa ni uaribifu wa rasilimali na fedha unazozitafuta kwa bidii...[emoji12][emoji12]
Kwikqi KVant tamu Sana hahahaha
 
Mkuu mimi naoa mwaka ujao na ninajua hakuna faida yoyote ila naoa kwa sababu ya nitaonekanaje kwa jamii yangu nisipooa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…