Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

[emoji23][emoji23][emoji23] unajua tuanzishe kampeni ya kusaidia Hawa wanaume wetu hata kwa michango maana Wana vunja ndoa Kwa vitu vya kijinga kweli kweli kisa uchumi duni tu, Hali inayowapa makasiriko mengi
Tatizo tukiwasaidia wanaenda kugongea wanawake wengine. Na ujeuri juu. Yaan hawanaga shukran wala.kueleweka. hawa usiwape hela hawa. Yaan unaweza liaa kwa hela zako mwenyewe. Ni wachache sana hifadhilika. Unamhurimia, unapeana nae support ila utafurahia ya mbeleni. Akishakua financially free sasa anaogea shower utajuta[emoji23][emoji23] utasikia u aint ma typo

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Ajue hilo... kwetu njaa hakuna. Sijazoea kubeba madebe ya maji ya kuoga kama mbege kwetu leo hii uninyanyase sijakupelekea debe bafuni? Hapana. Tuwachane watafute zaidi ili wakutane na wadada wapywa baada ya kuwa inspired.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Kweli mkuu hata kijijini kwetu watu wanaogea Bomba la mvua, mambo ya kubebeana ndoo kichwani bafuni hamna, hafu niende kwa mwanaume anichoshe kiasi hicho sikunitaftia tu lawama za kijinga hizi jamani.
Lazima tupige kampeni wanaume wafanye kazi kuwe na mabomba bafuni jikoni Ili waache kutulaumu wanawake kwa sababu zisizo na msingi
 
Na hutakalia viti vya plastic. Ujue shirima huwa matukio kama ya misiba na sherehe ni anatumwa maana anajua kila boma. Kusambaza mbege kwa wajomba, kukatakata nyama ya uviri kwa wageni, kufagia mengele etc.. kuni anazipasuaga kabla ya matukio... tukimaliza sikukuu tunamwachia liten tunasepa

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] huyu shirima kazi itakuwa kutumwa tu na kazi yake itakuwa kuchinja na kuchuna mbuzi wa xmass kutengeneza mbege ya sikukuu na kuchoma nyama, Hadi kumenya ndizi
 
[emoji23][emoji23][emoji23] mke wa shirima kampiga shirima na kitu kizito mno, imagine shirima daily kumubebesha mkewe midoo ya maji bafuni, ampikie na Kuni, amsugue mgongo, bado amzalie huku shirima hatunzi mke kabisa ataacha kukimbiwa kweli na mkewe?
Kiukweli shirima atafte hela kwa bidii na uzuri mwaka unaisha had mwakani ka sahizi atakuwa vizuri kiuchumi.
Shirima anatafuta hela kwanguvu saa hizi. Akili imemkaa sawa. Hata ingekua ni wewe ungebaki hapa na michano ya jana? Na nitapambana nikazitumie hizo hela. Shirima tambua siendagi gest za kubeba madebe ya maji mimi na bafu la nje. Naendaga hotel. Hili ujue kabisa kokote uliko. Kama uko under budget plz kazana. Nakuja next week kaskazini...

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Kweli mkuu hata kijijini kwetu watu wanaogea Bomba la mvua, mambo ya kubebeana ndoo kichwani bafuni hamna, hafu niende kwa mwanaume anichoshe kiasi hicho sikunitaftia tu lawama za kijinga hizi jamani.
Lazima tupige kampeni wanaume wafanye kazi kuwe na mabomba bafuni jikoni Ili waache kutulaumu wanawake kwa sababu zisizo na msingi
Wanafikiri hatuchoki.. hawapendi kweli kazi. Wanategea wanawake walio na kipato kizuri. Ama financial status ya mwanamke. Hapo ndo kitonga chao. After hapo subiria matukio

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23] huyu shirima kazi itakuwa kutumwa tu na kazi yake itakuwa kuchinja na kuchuna mbuzi wa xmass kutengeneza mbege ya sikukuu na kuchoma nyama, Hadi kumenya ndizi
Hahaha na hiyo mbege ole wake iwe ngera. Tutamuua. Na kuosha magari yetu...

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Eeeh, wana makasiriko tu. Wakimwona mlay anakula bata na mkewe maisha mazuri, christmas kama hv shirima hana nauli basi makasiriko full... mwisho wa siki makasiriko tunapokea sisi. Na ukicheza mke unaanza itwa mlango wa nane. Maji ya kunawa mikoni ulete kwenye kibeseni kweli jaman na wakati masink yapo? Hapa a

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Na huyu shirima inabidi tumchangie nauli ya kupanda Tilisho au Dar express ya kuelekea rombo tena hyo Dar express iwe Ile VIP tumpe na hela ya nyama na mbege kabisa ya kutumia kipindi cha xmass asije enda huko akaishia tu kutumwa tumwa na watu wenye hela zao.
[emoji23][emoji23] Hafu ujue madai mengine ya kupelekwa maji ya kunywa ni uvivu tu wa wanaume why awe anapelekwa yeye tu na yeye hamupelekei maji ya kunywa, na hili la kunawishwa mikono sikuhizi kuna masink kabisa why ubebe maji kwa jagi la plus kitu ambacho ni uchafu
 
Weweee. Hapa ni michano tuu...
Cariha ndo amenileta hapa. Sisi WEUSI wa kaskazini tumekuja kikazi zaidi[emoji23][emoji23] tumemtanguliza Motra...

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Mchaga na kuchamba wapi na wapi, unatutia aibu watu wa kaskazee, sisi ni hoja michambo unajua inatoka wapi! Acha hizo habari mtoto mzuri...
 
Tatizo tukiwasaidia wanaenda kugongea wanawake wengine. Na ujeuri juu. Yaan hawanaga shukran wala.kueleweka. hawa usiwape hela hawa. Yaan unaweza liaa kwa hela zako mwenyewe. Ni wachache sana hifadhilika. Unamhurimia, unapeana nae support ila utafurahia ya mbeleni. Akishakua financially free sasa anaogea shower utajuta[emoji23][emoji23] utasikia u aint ma typo

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Mwanaume usijiloge umpe hela au umsaidie majukumu atalemaa na nyingine atahonga michepuko
 
Wanafikiri hatuchoki.. hawapendi kweli kazi. Wanategea wanawake walio na kipato kizuri. Ama financial status ya mwanamke. Hapo ndo kitonga chao. After hapo subiria matukio

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Hafu wengi humu wanadaganyana wanaume wanapenda wanawake wenye kazi vile wao ni wavivu, hafu humu wanaponda wanawake wafanya kazi
 
Kwahiyo wewe jukumu lako kwa mwanaume ni kutoa hicho kitumbua tu au na yenyewe huwezi?. Yaani huu ujinga wa haki sawa ndio umetumalizia wanawake.

Kisa nina hela usifanye kazi? Yawezekana hata kupika hujui kisa unasingizia una hela.
Huna hela wewe usingekuwa unalalamika kufuliwa nguo na mkewe kwa mikono, hayo ni malalamiko ya wanaume wasio na hela, wenye hela wanapeleka kwa dry cleaners
 
Kwahiyo wewe jukumu lako kwa mwanaume ni kutoa hicho kitumbua tu au na yenyewe huwezi?. Yaani huu ujinga wa haki sawa ndio umetumalizia wanawake.

Kisa nina hela usifanye kazi? Yawezekana hata kupika hujui kisa unasingizia una hela.
Jukumu kuu langu ni Hilo kutoa kitumbua bila stress, hafu kupika ndio kazi ninayo ipenda sana
 
Unataka vita.. hataki kusikia hajui kupika.. huko kwao yamkini wanapika na hivyo vinyeo.. kuna watu wanashida sana mkuu
Mkuu, hizi changamoto zako zinavumilika na zinafundishika ukitumia akili ndogo tu. Tatizo lake ni kwamba hayuko vizuri kwenye mapishi, hivyo Unaweza hata ukamtafutia sehemu akajifunze mapishi toka kwa wale waliosomea Hotel management kisha mdanganye unataka kumfungulia Mgahawa akimaliza mafunzo. Halafu akimaliza kufundishwa unamuacha nyumbani.

Kesi za uchepukaji ndio ngumu sana kwa mwanaume kuvumilia lakini haya mambo mengine yanavumilika. Sio rahisi kupata mke aliyekamilika kila eneo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] uwuuoi, ni singo faza kumbe... ila amelala mapema sana. Amelog out muda kweli. Ama amepata kiposongo saa hizi. Huyu kaka ngoja nimtongoze anioe nike kumnyoosha.

Mzee Shirimaa plz marry me. Mimi ni mtraamuu[emoji23][emoji23] ila jua tukaoana hatuachani. Biashara uje nitangaza singo maza humu na nyuzi nakuua. Nanyofoa hizo kengele na sikuachi bado maana utatafuta meingine. Haikubaliki... nakutaka shirimaa... kwanza una mauno uzazi?

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Nakuomba Inbox Miss Pablo.
 
Wadau,

Nimekuja kugundua nilikosea kuoa baada ya kukaa kwenye ndoa miaka 15 na kupata watoto wanne. Dah nilijichanganya nikaoa a Corporate lady ambaye alikuwa mwanasheria kule Arusha, alikuwa ana vihela flani na connections za watu wazito ndani ya bongo....duh acha kabisa!!!
Na mimi nishachoka kuchangia michango ya harusi..ofisi ninayo fanyia kazi ndoa nyingi zimesha enda ali jojo.
Ndani ya ndoa ni kushindana tu kila mtu anataka kuwa juu mwanamke hataki kushuka kisa ana kazi na mshahara na mwanaume nae anataka aonekane ndiyo father house.
 
Back
Top Bottom