Nafasi iliyowazi ni ya spika,hiyo anayotaka ya sipika labda kuna taasisi nyingine anayoijua yeye ndio anataka kugombea huko.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Mashimo hizi habari njema mbona hajatupasha leo pale Mbezi kwenye foleni ya mwendokasi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]



Pep mambo ni mengi baba huku mjini[emoji2960][emoji23][emoji119][emoji23][emoji119]
 
Spika wa Bunge Nabii komandoo mashimo. Hahahah
 
Mussa Hassan Zungu ambaye ni Mbunge wa Ilala amechukua fomu ya kuwania nafasi ya Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika ofisi za makuu ya CCM Dodoma leo.

"Kiti cha Spika kipo wazi na nafasi hii ina utaratibu wake wa kujazwa na kuombwa na kuombwa kwake ni kujaza fomu na Viongozi wa Chama watapitia maombi yangu na kutazama kama ninatosha basi watatoa majibu, kikubwa ni kumshukuru Mungu, kikubwa ni kuiombea Nchi yetu kuendelea na amani na kikubwa ni Tanzania tuwe wamoja kuweka maslahi mapana ya Taifa letu"- Zungu

Your browser is not able to display this video.
 
Zungu huwa simwelewagi kabisa akikalia kiti. Kuna muda hoja ya mbunge ikitolewa, huwa anasimama kama serikali kuitetea. Ana jazba, hana subra na ana majibu ya hovyo sana kwa mbungr kama hapendezwi na hoja..

Bora tulia wangu apende cheo..
 
Zungu huwa simwelewagi kabisa akikalia kiti. Kuna muda hoja ya mbunge ikitolewa, huwa anasimama kama serikali kuitetea. Ana jazba, hana subra na ana majibu ya hovyo sana kwa mbungr kama hapendezwi na hoja..

Bora tulia wangu apende cheo..
Itakuwa amekuwa hivi kuanzia awamu ya 5, ila Zungu alikuwa fair sana wakati wa bunge la Mama Makinda. Unajua
 
Mussa Hassan Zungu ambaye ni Mbunge wa Ilala amechukua fomu ya kuwania nafasi ya Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika ofisi za makuu ya CCM Dodoma leo...
Anafaa kwenye nafasi hiyo na ana uzoefu mzuri katika mambo ya Bunge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…