Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,822
Japo sio wote ila wana ndoa wengi siku hizi wanaishi kama maadui tatizo ni nini lakini yaani. Kuna watu wapo ndani ya ndoa lakini wakiwa ndani hawaongeleshani
Kuna watu wapo ndani ya ndoa kila siku ugomvi vikao vya kifamilia vya usuluhishi haviiishi. Kuna watu wapo ndani ya ndoa wanaona bora kuchelewa kurudi nyumbani ili akose tuu muda wa kuongea na mwenzie
Kuna watu wapo ndani ya ndoa wameshafika hatua hadi kupelekana mahakamani. Wengine wapo ndani ya ndoa kila siku ligi hakuna anayekubali kushidwa kila mmoja anajiona sahihi kuliko mwenzie
Wengine wapo ndani ya ndoa hata kushare kitu chake na mwenzake hataki kama ni gali hataki kabisa mwenza wake akitumia gali lake. Wengine wapo ndani ya ndoa hata tendo la ndoa hawashiriki tena usishangae wanalala vyumba tofauti tofauti ili mradi amnyime mwenzie
Je, katika haya yote shida ni nini lakini?
Kuna watu wapo ndani ya ndoa kila siku ugomvi vikao vya kifamilia vya usuluhishi haviiishi. Kuna watu wapo ndani ya ndoa wanaona bora kuchelewa kurudi nyumbani ili akose tuu muda wa kuongea na mwenzie
Kuna watu wapo ndani ya ndoa wameshafika hatua hadi kupelekana mahakamani. Wengine wapo ndani ya ndoa kila siku ligi hakuna anayekubali kushidwa kila mmoja anajiona sahihi kuliko mwenzie
Wengine wapo ndani ya ndoa hata kushare kitu chake na mwenzake hataki kama ni gali hataki kabisa mwenza wake akitumia gali lake. Wengine wapo ndani ya ndoa hata tendo la ndoa hawashiriki tena usishangae wanalala vyumba tofauti tofauti ili mradi amnyime mwenzie
Je, katika haya yote shida ni nini lakini?