Hivi nahisi ingekuwaje au kingetokea nini kama huyu jamaa angekuwa mjeda yupo full battle in dressing?
Huna sifa ya kuwa hao watu ndio maanaTISS ni moja kati ya kazi ninayoichukia sana aisee... Mungu aniepushe nayo
Hii Tabia ya kuonea raia kisa tu ofisa wa usalama wa Taifa kakwaruzana na waendesha magari barabarani inatoka wapi?
Hii inaonyesha kuwa tuna Usalama wa Taifa incompentent, wasiojua kazi zao, ambao wanatumia nafasi zao kuonea watu.
Ni wapi katika majukumu ya usalama wa Taifa, Usalama wa Taifa unafanya kazi za Trafiki barabarani?
Leo hii ofisi na premise za usalama wa Taifa zinaenda kutumika kama parking ya kukamatia raia eti kisa raia kakwaruzana na ofisa mmoja huko barabarani ni ushamba wa hali ya juu na ni kuipaka Idara matope.
Tunataka Idara ya Usalama wa Taifa TISS imchukulie hatua za kinidhamu huyo ofisa anayeonekana kuleta kiburi kwa kutumia kazi yake kuonea watu.
Kibaya zaidi anaamrisha raia anyang'anywe simu yake bila search warrant au bila kufuata sheria za kipolisi, huu kama siyo ujambazi ni nini.
Huu utovu wa nidhamu ukomeshwe mara moja, hatutaki usalama wa Taifa unaoendeshwa kihuni.
View attachment 2182358
Kwani huyo dereva hajui kupiga picha au video majengo ya serikali ni kosa?
[emoji16]Hao usalama wa taifa hawana kazi ndo mana wanadeal na vitu vidogo sana, siku wajichanganye wadondokee kwangu niwaonyeshe mafunzo niliyoyapata kwa Putin
полное невежество
Hahaha naona umemjibu mwamba hapo ipasavyoWewe mpumbavu hapo kuna ishara, bango au kibao kinachoonyesha ni eneo laUsalama wa Taifa?
Watu wanachukua video Langley kwa CIA ndio uje kutishia watu na hapo.
Mshamba kweli wewe.
Hadi tukio limetufikia yumkini mchukua Picha kaashatolewa na mjomba wake.".....waombe msamaha yaishe"
Mambo km haya hutokea sana barabarani,ni km sheria za barabarani haziyahusu majeshi yetu au baadhi ya watendaji wa majeshi,kadhia hii hupelekea uonevu(kipigo/kusekwa ndani) kwa wananchi wanyonge.
Japo clip imeanzia kati hatuoni mwanzo nani kamkosea mwenzie,na hatujui nini kilifuata baada ya purukushani ya kunyang'anyana simu,ila si busara kwa watendaji hawa ambao tunsamini wanazijua vzur sheria na taratibu kuamua mambo kimtaani mtaani(kujichukulia sheria mkononi)
".....kaka yangu mbunge atakuja kunitoa"
Hii nchi tusio na koneksheni tunanyanyasika,lolote litakalokupa litakua jepesi km una koneksheni[emoji2][emoji2]
Humo sio jeshini, humo ni usalama wa Taifa na hapo ni parking zao za nje
Umeshakuwa shekhe Yahaya sasa, du watu banaUnajuaje kama dogo aliwatukana?
Kuna uwezekano mzozo haujaanzia kwenye kuchomekeana tu
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Hivi soldiers wa nchi za majuu wanaweza kufanya hivi kwa raia wao?
Ndiyo watanzania hao dak 3 mbeleUmeshakuwa shekhe Yahaya sasa, du watu bana
Ingiza gari, Paki palee 🤣🤣Unyanyasaji huu wa vyombo vya dola haukubaliki.
View attachment 2182373
Kwanini sheria za nchi zilizopo hazifuatwi?
Kwa hakika tuungane kuukataa ubazazi wa namna hii.
Hao ni wepesi sana taarifa zikifika ngazi za juu. Maafisa wa juu wa jeshi huwa hayapandi raia kuonewa.
Sio wanajeshi hao, hata TISS wanaona ufahari kuvaa nguo za kijeshi jeshi.Unyanyasaji huu wa vyombo vya dola haukubaliki.
View attachment 2182373
Kwanini sheria za nchi zilizopo hazifuatwi?
Kwa hakika tuungane kuukataa ubazazi wa namna hii.
Sio wanajeshi hao, hata TISS wanaona ufahari kuvaa nguo za kijeshi jeshi.