- Thread starter
- #761
huwezi kuwaadhibu colleague wako, hiyo ofisi au Kambia si watakususia?
kila kitu kinafanyika kwa kubebana, hujafika kituo cha mung'anda unataka kumtoa mtu wako hana kosa kaonewa ukawaona jinsi wanavyobadilika, husaidiwi.
kuna jamaa yenu wa Katiba Mpya alitangaza kuwa wamesimamishwa kazi nikamshangaa yule Mangi
Hiyo ofisi inatangaza nafasi za kazi leo wawasimamishe wenzao waliotumwa wakafanye ambush wakazuiwa na ki Oppa eti taa za kijani zimewaka ndio zamu yake
Hii inaitwa kumtia mtu j"mba j*mba tu mkuu. Wamelikoroga huko halafu bado hana adabu.
Wanaita a gentleman reminder - na ajue kuchutama hakuna mwenyewe.