huwezi kuwaadhibu colleague wako, hiyo ofisi au Kambia si watakususia?
kila kitu kinafanyika kwa kubebana, hujafika kituo cha mung'anda unataka kumtoa mtu wako hana kosa kaonewa ukawaona jinsi wanavyobadilika, husaidiwi.
kuna jamaa yenu wa Katiba Mpya alitangaza kuwa wamesimamishwa kazi nikamshangaa yule Mangi
Hiyo ofisi inatangaza nafasi za kazi leo wawasimamishe wenzao waliotumwa wakafanye ambush wakazuiwa na ki Oppa eti taa za kijani zimewaka ndio zamu yake
Tukiachana na tukio hili ambalo limetokea getini kwao, wewe hao Tiss wanaokutishia umewatambuwa vipi kama ni watumishi wa idara? Maana hawana uniform wewe unawajuwa vipi?Wewe ni TISS???.Km ni TISS na una tabia za kuonea watu acha mara moja, Mwenyezi MUNGU hayupo mbali,yu karibu Sana kututetea wanae tunaoonewa na wenye nguvu na mamlaka.
Unataka Mimi niweke wazi hapa kitu ambacho hakiwezekani kwasababu nitakuwa tayari nimejiexpose kwenu.Kifupi kuna TISS mmoja alinitishia kuniharibia maisha kisa na mkasa ni Mimi kukataa maelekezo yake yaliyokuwa na mlengo wa kunikandamiza.
Elewa hivyo Mkuu,kuwa TISS walio wengi wanatumia vibaya nafasi zao.
Matola anateseka sana jamani.Tukiachana na tukio hili ambalo limetokea getini kwao, wewe hao Tiss wanaokutishia umewatambuwa vipi kama ni watumishi wa idara? Maana hawana uniform wewe unawajuwa vipi?
Anawaelimisha jamani ili mjue majukumu ya Jeshi kuwa lipo chini ya Mabeyo, maana wengine wanamfananisha na Sirro au Yule wa ZIMAMOTOMatola anateseka sana jamani.
Anawaelimisha jamani ili mjue majukumu ya Jeshi kuwa lipo chini ya Mabeyo, maana wengine wanamfananisha na Sirro au Yule wa ZIMAMOTO
JKT ingerudi kwa wote haya maswali na nidhamu visingekuwepo, si lazima Vita viwepo hata humu ni tosha kabisa.
Mwanajeshi ni yule anayepigana vita, huoni Ukraine mpaka wafungwa wameingia front kupigana vita?Warudishe wasirudishe. Polisi, TISS na Magereza sio wanajeshi. Nchi nyingine polisi wanaitwa department au service tu.