Wanamuziki wa Kimarekani walioweka mistari ya Kiswahili ndani ya nyimbo zao

Wanamuziki wa Kimarekani walioweka mistari ya Kiswahili ndani ya nyimbo zao

Leo tena nakuleteeni wasanii wawili wa kimamtoni walioweka ghani zao kwa lugha adhim ya kiswahili.
Näs escoba na D. Marley katika song inayoitwa As we enter wamejibishana kwa kiswahili kinachosikika vizuri kabisa. Kuna wengine watatu wakiwemo kc-jojo

cc. Kiranga
 
Last edited by a moderator:
Leo tena nakuleteeni wasanii wawili wa kimamtoni walioweka ghani zao kwa lugha adhim ya kiswahili.
Näs escoba na D. Marley katika song inayoitwa As we enter wamejibishana kwa kiswahili kinachosikika vizuri kabisa. Kuna wengine watatu wakiwemo kc-jojo

cc. Kiranga

K-ci & Jojo kwenye wimbo gani?
 
Last edited by a moderator:
hata movie moja hivi inaitwa deadly play ama maarufu kama komando kipensi jamaa alimkamata jambazi kabla ya kumchoma kisu alimtamkia neno "jitetee "

Deadly Prey
umenikumbusha mbali, enzi za komando kipensi.dah!
 
kanye west on im in it^Uh, I be speakin' Swaghili^


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Baby ama millionear i got a show hop up in reer in Tanzania...nadhan aliimba loyd banks _kwe any girl
 
Baby ama millionear i got a show hop up in reer in Tanzania...nadhan aliimba loyd banks _kwe any girl

yap nimeona lyrics za Llyods Bank Group[LBG]

Jay z oh my god.

"Sold out shows in Seoul Korea
Jo-berg, Dublin, Tanzania"
 
Tupac ktk Juice, kule picnic alitambulishwa mtoto anaitwa IMANI! Pia hip hop ina mtu anaitwa TALIB KWELI! Tyson alipomng'ata Evander, baadae alimwambia "bht mbaya mtu wng"
 
Hata kwenye move ipo sana tu, nakumbuka move moja ya van damme na ---- young. Damme alimwambia ---- ntakutwanga wewe lakin kutokana na lafudhi wengi hawa kuelewa ila kwenye script iko wazi na wameainisha

Ha ha ha ha huyo sio LUFUFU kweli?


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
kuna ile movie inaitwa Rob cop, kuna mahala jamaa anasema TWENDEEEEE
 
Back
Top Bottom