yutu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2013
- 1,668
- 1,017
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo tena nakuleteeni wasanii wawili wa kimamtoni walioweka ghani zao kwa lugha adhim ya kiswahili.
Näs escoba na D. Marley katika song inayoitwa As we enter wamejibishana kwa kiswahili kinachosikika vizuri kabisa. Kuna wengine watatu wakiwemo kc-jojo
cc. Kiranga
A big lie! Mutulu Shakur is still alive, he's incarcerated in US penitentiary.moja ya influences za Pac ilikua godfather wake,mutulu shakur,aliishi Arusha til his death,so Pac aliipenda tz kitambo.
hata movie moja hivi inaitwa deadly play ama maarufu kama komando kipensi jamaa alimkamata jambazi kabla ya kumchoma kisu alimtamkia neno "jitetee "
hata jack buer kwenye 24 nimesahau ni season ya ngapi alikua ana mfukuzia habib marwan kuna sehemu jack alikua ana wasiliana na tcu akasema "hAbib marwa is more than a shetani,".
Pia kweny movie ya the A time. Kuna kiswahil kmetumika
Pia kweny movie ya the A time. Kuna kiswahil kmetumika
Asante hope nitaishusha DiCaprio huwa ana movie nzuri!
Ni shetani.Sio kama amesema satan.
Hata kwenye move ipo sana tu, nakumbuka move moja ya van damme na ---- young. Damme alimwambia ---- ntakutwanga wewe lakin kutokana na lafudhi wengi hawa kuelewa ila kwenye script iko wazi na wameainisha
hata movie moja hivi inaitwa deadly play ama maarufu kama komando kipensi jamaa alimkamata jambazi kabla ya kumchoma kisu alimtamkia neno "jitetee "