Mimi naona hasira za hao wananchi zimeishia tu sehemu ambayo sio sahihi. Hao wataalam wao wana kosa lipi? Wao walienda tu kupima hiyo mipaka.
Japokua pia nadhani ni muhimu kwenye ishu kama hii, wakienda next time waende na ulinzi wa polisi wenye silaha za kutosha.
Hata mwaka 2018 kule Dodoma watafiti wa sijui kilimo kwanza walipoteza maishaInategemea wataalamu waliingia na lugha gani,unaweza kuta hata mwenyekiti wa kijiji hakujulishwa,wanakijiji wana lugha zao hasa ikizingatiwa kwamba kuna mgogoro,
Kuna mwaka Fulani watafiti kama sikosei kutoka SUA walichomwa moto wote na gari lao waliingia maporini huko bila taarifa
Uchunguzi hapo uwe makini.wananchi ndiyo wenye nchi.
Akili imelala kwenye Ugaidi.Hv hii nchi siku hz haina serikali?
Maza anakula biriyani magogoni mlimba panawaka moto
Hapana, hawakuwa wa SUA bali walikuwa wa kituo cha utafiti Kilimo Selian Arusha. Hawa jamaa wa Melela ni wakorofi tu maana hata viongozi wa kijiji walikuwapo nao wamechezea mfueni!Inategemea wataalamu waliingia na lugha gani,unaweza kuta hata mwenyekiti wa kijiji hakujulishwa,wanakijiji wana lugha zao hasa ikizingatiwa kwamba kuna mgogoro,
Kuna mwaka Fulani watafiti kama sikosei kutoka SUA walichomwa moto wote na gari lao waliingia maporini huko bila taarifa
Qubbake tatizo nini mpaka kufikia hatua hiyo?Wananchi wenye hasira wamewashambulia watumishi wa Ardhi kutoka wilaya ya Mlimba na kuchoma magari, pikipiki pamoja na vifaa vyao vingine wakati wakiendelea na zoezi la uhakiki wa mipaka ya mashamba yanayogambaniwa na muwekezaji na wananchi wilaya ya Mlimba, Morogoro.
Watumishi wa ardhi waliokua kwenye hilo zoezi wamejeruhiwa vibaya, japokua hakuna kifo kilichorpotiwa hadi sasa.
View attachment 1885041View attachment 1885043View attachment 1885046View attachment 1885047
Asante kwa masahihisho mkuu,imekuwa kitambo kidogoHapana, hawakuwa wa SUA bali walikuwa wa kituo cha utafiti Kilimo Selian Arusha. Hawa jamaa wa Melela ni wakorofi tu maana hata viongozi wa kijiji walikuwapo nao wamechezea mfueni!
Kosa kubwa sana hili, inaonekana walichukulia poa au hawakuwa wanajua hali halisi.
Wanajikutaga miungu hao watu hasa ukikuta wanataka kufanya dhuluma kwa wananchi, wana majibu ya hovyo, adi wanatukana na unakuta ardhi ni ya wananchi kihalali kabisa kuna mahali nilisumbuana nao miaka 3 adi haki ikatendeka yaan hao wananchi naelewa hasira zao wangetoka na ulemavu kabisa wanakera mnooSehemu yenye mgogoro ilikuaje hao wapima ardhi kwenda bila ya kua na ulinzi?
Ardhi ya nchi nzima hii ni ya raiswananchi ndiyo wenye nchi.
Hawa jamaa watafungwa hadi yesu arudi mara ya pili na ya tatuKuna watu wenye hasira walichoma kituo cha Polisi - Bunju DSM... kama masihara sasa watumikia kifungo cha maisha
Inamaana hata angekuwa mwingine saivi angeshafika mlimba? Huyo mama amekuwa juha sasa hana watendaji wake kila kitu afanye yeyeMaza anakula biriyani magogoni mlimba panawaka moto
Sasa mkuu hilo si eneo la mgogoro? Unajua migogoro ya ardhi kati ya wawekezaji na wananchi inavyokuaga na balaa...?Waende na silaha kwa wananchi?
Halafu unajiita Dr ?