Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

Umesoma hizo AYA?? We una akili kweli humo kichwani??

SOMA TENA, SOMA TENA, SOMA TENA KWA MARA YA TATU NA UACHE UJINGA.

13. Kisha tukamjaalia awe tone ya mbegu ya uzazi katika kalio madhubuti.


14. Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyo ganda, na tukaiumba damu kuwa pande la nyama, kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama. Kisha tukamfanya kiumbe mwengine. Basi ametukuka Mwenyezi Mungu Mbora wa waumbaji.
Huyu jamaa Champion naye ni mpuuzi Sana, hapo umemuwekea Aya iko wazi lkn kila komenti anarudia ujinga wake.

Waislamu humu kuna watu wawili inabidi tuwapuuze katika mijadala kwasababu ni WAPUUZI WAKUBWA!

1) MOKITI

2) CHAMPION

Hawajadili kuelimishana Bali kuweka ligi za kipumbavu.

Binafsi naachana nao kabisa!
 
Mkuu shida yako ni moja tu,unasoma Quran ili utafute kosa lilipo...Hebu msikilize huyu sheikh hapa kisha urudi tena hapa na hiyo mijadala yako mfu.

Sperm inabadilika na kuwa damu iliyoganda?
 
Hyo picha imepigwa lini?
Mnapika mambo mpk mnasahau viungo mlivyotumia kupikia.....Tuambie hyo picha ya huyo "mzee" imepigwa karne ipi?
Hiyo elimu ya Hippocrates wa ugiriki na Gillan wa uturuki ilikuwepo sana. Nenda wikipedia ujielimishe. Hao wote concept zao zilikuwa wrong na ndizo muhammad alizikopi na kuwaletea.
 
Kipindi Hicho kuna sayansi ambayo ili advance kama Leo? Kumbuka huyo Muhammad hajui kusoma wala kuandika je aliwezaje kukopi hata kama hiyo sayansi ingekuwa ime advance? Hivi Kaka ubongo wako upo Sawa kweli?
Acha kupotosha raia. Kama alikuwa hajui kusoma na kuandika ni kwanini jibreel alimkaba koo kule mapangoni akimlazimisha asome?
 
Ebu tulia tukufahamishe mkuu,, waarabu mara nyingi wale wenye hadhi katika jamii na matajiri walikuwa wanapoongea wanapenda kutumia neno Sisi, na wakitumia neno Sisi kuonyesha ukubwa wao au utukufu wao,,,,na ndio maana Allah akaamua atumie wingi ili aende Sawa na tamaduni zao,,kama wao wanajiona wakubwa basi Allah ni Mkubwa zaidi na anastahili heshima zaidi.

Hiyo ndio maana halisi,,,,Uislamu umeepukana na miungu mitatu mnayo iyabudu,na ushirikina sio sehemu ya Dini ya Mwenyezi Mungu.
Kwahiyo Allah akaamua awaige waarabu?🤣🤣 Kweli madrasa imefanya kazi nzuri kwenye ubongo wako.
 
Kusoma tunajua hamuwezi, video pia mnashindwa kuitazama,
Huyu Sheikh maswali yenu yote ameyajibu .....Fungua hii video ili mjadala uishe na kuanzia hapa kama kweli akili iko salama utagundua
1:Quran siyo maneno ya kawaida
2Quran Siyo maneno ya Mtume Muhammad s.a.w
3:Quran ni maneno halisi ya Allah muumbaji
Check hii video

Sperm inabadilika na kuwa damu iliyoganda?
 
Mkuu si alikua hajui kusoma Sasa amendikaje
Wakristo ndio walikuwa wasomi , walikuwa wanamuandia , Kuna jamaa mkristo alivyomstukia akasema Muhammad hajui chochote nachomuandikia

Muhammad akamumtoa uhai akasingizia Allah ndie kamuua
 
Kiarabu ni lugha Tu kama lugha nyingine, ingawa Qur'an imeshuka Kwa kiarabu lkn imetafsiriwa katika lugha mbali mbali,kwahiyo Acha upuuzi wako
Hakuna muislamu anayejua kiarabu zaidi ya kukariri aya za quran.
 
Yaani unakomalia kitu ambacho unataka kiwe hivyo Kwa matakwa yako mwenyewe,ni upumbavu ulioje?

Baada ya mbegu ya kiume kukutana na Yai,inakuwa tone la manii, ambalo linaenda sehemu maalumu katika mji WA mimba,hlf katika ukuaji ndo linakuwa pande la damu,then kiumbe kinaanza ukuaji ktk pande la nyama na kadhalika, unachobisha ni nini hasa?

Yaani unashikilia kitu kana kwamba upo sahihi? Acha upuuzi
Kwahiyo manii ni muunganiko wa sperm na ovum? Wewe jamaa sidhani kama una ubongo katika kichwa chako.

Quran inasema tone ndio sperm na hiyo ndio inabadilika na kuwa damu iliyoganda.
 
Je hawa pichani ni wavuta bangi ama sio wavuta bangi.

Je wanavyofunga ndoa na watoto wadogo quran, hadithi na sunnah zinaruhusu ama haziruhusu
Jibu hoja Kwa hoja,,,,unaleta mambo mengine ambayo sijakuuliza
 
Kwahiyo manii ni muunganiko wa sperm na ovum? Wewe jamaa sidhani kama una ubongo katika kichwa chako.

Quran inasema tone ndio sperm na hiyo ndio inabadilika na kuwa damu iliyoganda.
Sina Mda wa kujadili na wapuuzi
 
Muhamaad alikua bingwa wa copy and paste jamaa head yake ilikuwa na uwezo wa kucite sana...na ikumbukwe alikuwa na misafara mingi sana na kukutana na watu wa jamii tofauti ikiwemo wagirik, wayahud nk
Wapumbavu mpo wengi Sana!
 
Kuna watu wajinga ambao badala ya kujiongezea maarifa na ujuzi wanabeza bila facts mradi mihemko ya kutukana na kutafuta sifa tu

Mjadala ungekuwa mzuri kama mtu angekuwa kasoma mawili matatu kutoka vyuo mbali mbali na kuelewa maana halisi

Hebu someni Harvard wameliongelea hili na sidhani kama wataalamu wetu wanaweza kuwazidi ma professor wa Harvard University

Na nyingine ni National Institute of Health View attachment 2373668View attachment 2373669
Muhammad alikopi mawazo ya mwanasayansi anayeitwa Gillan wa uturuki kwenye uandishi wake. Wengi miaka hiyo walikuwa wanakisia tu bila microscopic investigation. Ndio maana quran imeandika kitu ambacho sio sahihi.
 
Back
Top Bottom