Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

Muhammad anaendela kutema mashudu , Allah embryology

Allah anasema maji ya mwanaume ni mazito na meupe (hapa kapatia) maji ya mwanamke ni membamba na ya njano (apa Muhammad alipiga demu mwenye ugonjwa wa zinaa) , anasema atakae pizi wa kwanza mtoto abafanan nae jinsia ,

"The Messenger of Allah (ﷺ) said: 'The man's water is thick and white, and the woman's water is thin and yellow. Whichever of them comes first, the child will resemble (that parent).'"Sunan an-Nasa'i 200
 
Kwa mujibu wa Allah uumbaji uko hivi

Sperm - damu iliyoganda - nyama - mifupa - mifupa inavalishwa nyama - kiumbe kingine.

Sasa wewe kama una akili timamu unaona hiyo trend ni sahihi?
 
Muhammad alikuwa anafanya guessing lakini watu leo wanasema alikuwa mtume.
 
Kwa mujibu wa Allah uumbaji uko hivi

Sperm - damu iliyoganda - nyama - mifupa - mifupa inavalishwa nyama - kiumbe kingine.

Sasa wewe kama una akili timamu unaona hiyo trend ni sahihi?
Weka hayo makosa maana wewe ambaye unaona sio sahihi ndio jukumu lako ..
 
Kisai mziki mzito huu , Allah katema pumba sayansi inamuumbua , usijifiche kwenye kiaarabu
 
Jibu hoja Kwanza Acha kukimbia,,,,,najua hata nikupe mwaka mzima hautapata jibu ng'o.

Jiandaeni kujibu siku ya Malipo.
Pale hakuna hoja umejenga zaidi ya kuleta hearsay. Lete verse unazoziongelea tutakujibu.
 
Weka hayo makosa maana wewe ambaye unaona sio sahihi ndio jukumu lako ..
Mifupa tupu , skeleton ipo ndani ya mji wa uzazi , huyu ni mwanamke Allah anamzungumzia au ni kiumbe gani?
 
Aaah, kumbe malaika ni kama vile maroboti...Yani wao ni Yess boss tu hawajiulizi mara mbili...Hawana free will na Mungu anawatumia kama midoli yake..Yani mungu kwao ni dikteta la madikteta ila kwasababu hawana akili hawawezi kuhoji.

Sasa kwanini Mungunasingetuumba na sisi tukawa maroboti hivo hivo ili tusijishughulishe na kumuasi kabisa?
 
Mimi sihitaji dini maana niko ndani ya Kristo.
Sasa mtu unaishi bila ya DINI iweje uwatafute na kuwasumbua wenye DINI zao kwa upuuzi alafu embu zitazame zile video mbili huyu alafu ndio urudie tena hoja yako maana hapo ulipo hata ao wenzio washakuona ueleweki maana huna DINI
 
Umeandika kwa uzuni kubwa na msononeko wa moyo

Nimeuliza tu mifupa tupu Yani skeleton inawezaje kukaa ndani ya mji wa uzazi ?

Damu iliyoganda inawezaje kukaa siku 40 Muhammad kasema Kwenye Hadith ?
 
bado nayo ni amani ambayo wengine inawasaidia na kuwafaa lakini wengine wengine wasione hayo kama ilivyo katika dini
Hapana, science, proved by peers, haina maoni mara mbili. 1+1=2. Asiyeona hivyo huyo usiandamane naye!
 
Weka hayo makosa maana wewe ambaye unaona sio sahihi ndio jukumu lako ..
Huoni makosa hapo kwenye hiyo trend? Hatua za mtoto tumboni ndio ziko kwenye mpangilio huo?

Naurudia tena hapa chini:

Kutoka sperm - kuwa damu iliyoganda - halafu nyama - kisha mifupa - baadae mifupa inavalishwa nyama - ndipo anatokea kiumbe mwingine..
 
nimelipenda andiko lako, BRAVO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…