Damu ilikuwa mfu , damu iliyoganda ndani ya mwanamke kwa siku 40!Kwanza unatakiwa kukubali kuwa andiko limesema tone la manii iligeuka kuwa damu iliyoganda na sio tone la manii iliingia na kukaa kwenye damu ilioganda kama ulivyotaka kupotosha ktk bandiko lako
Son of mutah , hakuna aliejibu mpaka sasaWakati unaikumbusha hiyo mada ambayo Isha jadiliwa embu tuletee huo upumbavu wa Mungu wako kwanza kwa mujibu wa andiko
Stage inayokupa wewe ukakasi ni hiyo tu? Na je hizo stages zinazofuata unazikubali?Damu ilikuwa mfu , damu iliyoganda ndani ya mwanamke kwa siku 40!
Son of mutah , inayofuata inasema mifupa tupu skeleton ndani ya mji wa uzazi , Yani wapiga utra sound wangezimia πππStage inayokupa wewe ukakasi ni hiyo tu? Na je hizo stages zinazofuata unazikubali?
Quran 86 β 7Kimsingi Muhammad alikopi hiyo elimu ambayo haikuwa sahihi. Huyo Hippocrates sio mkristo. Aliishi zaidi ya miaka 350 kabla ya Yesu. Hii inaonesha mambo mengi kwenye quran ni stori mbalimbali ambazo muhammad alizifahamu kupitia vyanzo vingi.
Son of mutah , inayofuata inasema mifupa tupu skeleton ndani ya mji wa uzazi , Yani wapiga utra sound wangezimia πππ
Jamaa alikuwa pimbi Sana
Du! Kumbe upo ktk hayo! Ila ningependa kuona hivi, kama unapingana na hiyo aya uungekjja na soma la utungwaji wa mimba na process zinavyokuwa ktk stages zote mpaka inapokuja kuwa kiumbe kamiliSon of mutah , inayofuata inasema mifupa tupu skeleton ndani ya mji wa uzazi , Yani wapiga utra sound wangezimia πππ
Jamaa alikuwa pimbi Sana
Kinywaji ulichotumia jana usiku usikitumie tena maana leo angalau unaongea mambo yanayoeleweka.Ningekuuliza ni Wayahudi wa aina gani hao wasio na mashaka, na ni yapi yamhusuyo Yesu ambayo hawana mashaka nayo... hata hivyo, najua huwezi kuwa na jibu la hilo swali, hivyo niseme tu 'Unachekesha sana aisee..."
Yaani Wayahudi wangeamini Yesu alikufa na kufufuka unadhani wangeacha kumwamini?!
Mara kwa mara nimekuwa nikitumia maneno "Wayahudi kwa IMANI" na "Wayahudi kwa ASILI"... inaelekea hufahamu tofauti ya hizo dhana!!
Yesu ni Myahudi kwa ASILI... hawa ni wale waliotokana na kizazi cha Yakobo!!
Hawa Wayahudi kwa ASILI wana IMANI TOFAUTI kwa sababu, kabla ya Yesu hajaja duniani kuitangaza Injili, kuna wengine walimtangulia, and the most notable one ni Mussa ambae alikuja na Torati, bila kuisahau Zaburi ya King David.
Na kizazi hiki cha Yakobo (theoritically)kilicho Israel bado wanaamini katika Tanakh ambayo ndani yake kuna Torat, Manabii, na Maandiko... AGANO LA KALE!!
Kwahiyo Yesu alikuja duniani akiwakuta ndugu zake kwa asili (Ethnic Jews) wakiwa tayari wameshatopewa na Torati ya Mussa ambayo ni moja ya vitabu vinavyopatikana kwenye Tanakh!!
Yesu alishindwa kuwashawishi ndugu zake kuikubali Injili kwa sababu Wayahudi hawa walitabiriwa na Kumbumbu la Torat 18:18-19 kwamba:-
Wayahudi walitumia vigezo gani... I don't know lakini wakaona Yesu ha-fit kwenye utabiri huo, na kwahiyo WAKAMKATAA, na Injili aliyokuwa anaihubiri, WAKAIKATAA na wakendelea na ku-stick kwenye Torat, na bado wanamsubiria huyo Messiah hadi ninapoandika haya!
Hawa wanaoamini katika Uyahudi, HAWAAMINI CHOCHOTE wanachokiamini Wakristo kuhusu Yesu!! Hawaamini kwamba Yesu alikufa na kufufuka, wala hawaamini katika Utatu Mtakatifu... HAWAAMINI CHOCHOTE!!
Ni kama ambavyo nilikuambia mwanzoni kabisa kwamba, Wayahudi (kwa imani) wanauchukulia Ukristo sawa na ambavyo Wakristo wanavyouchukulia Uislamu!
Mambo ya KIIMANI kuhusu Yesu yanaaminiwa na Wayahudi ambao ni Wakristo na sio Wayahudi wanaoamini katika Uyahudi(Judaism).
Na kwa taarifa yako, Wakristo nchini Israel ni WACHACHE sana...hawafiki hata 5%. Ni kwamba, Waislamu ni WENGI Israel kuliko Wakristo. Na zaidi ya 75% ya Wakristo wa Israel ni WAARABU kama ilivyo kwa Waislamu!! Simply meaning, Ukristo upo nje ya Israel na sio Israel wenyewe...
Unlike Uislamu ambao ulikuwa promoted na Waarabu wenyewe ambako ndo chimbuko la Uislamu, Ukristo ulikuwa promoted duniani na watu ambao kwa asili, sio "ndugu" wa Yesu!!
Na ndo maana HQ za Madhehebu YOTE makubwa ya Kikristo yapo nje ya Israel kwa sababu Wayahudi walimkana Yesu na Maandiko yake, na ndo maana Quran isiyoremba remba maneno inawataja wazi Wayahudi kwamba ni WAKAIDI, NA WATU WASIOAMINI! Quran inawasema vibaya sana Wayahudi na sio Wakristo!!
Haujafika secondary? Umeishia darasa la ngapi shule ya msingi?Du! Kumbe upo ktk hayo! Ila ningependa kuona hivi, kama unapingana na hiyo aya uungekjja na soma la utungwaji wa mimba na process zinavyokuwa ktk stages zote mpaka inapokuja kuwa kiumbe kamili
Nasikitika kukwambia kuwa hujajibu nikichokuuliza.Bibili mwanzo 1:26 Mungu anasema Tumfanye mtu kwa mfano wetu hiyo
Iyo bibilia hapo katungue kitabu chako uone kataa hapo alafu wewe ni mvivu sana inaonesha kasome song of Solomon cha kihalameik uone Muhammad katajwa tena kwa wingi je Muhammed nao ni wengi
Fahamu kuna wingi wa cheo na hekima na wingi wa idadi akili yako natumai umejibiwa fungua tena bibilia ya kiyahudi mwanzo 1:1 uone ilivyo andikwa kama unajua kiyahudi kama hujui subiri wachungaji wako waje kukuongopea
Naomba ushahidi wa madai yako haya mazito kabisa.No we unajua ukubwa Mungu mpaka akuachie kirahisi hivyo ngoja nikwambie rafiki aya nyingi za sayansi ndani ya bibilia zimefutwa kwa sababu haiendani na matakwa ya mnao waona nyinyi ni wakubwa wa dunia badala ya Mungu
kijamaa kiongo sana hikiAcha kudanganya na kujidanganya bwana. Inakufaidia nini? Muhammad hatambuliki kwa Wakristo. HAWAMTAMBUI na sisi wengine tumeridhika hatuoni haja ya kulazimisha maana Muhammad hawahusu Wakristo.
Usitake kujua elimu yangu ila kama wewe ni educate man kweli, na unapingana na maelezo ya quran, unatakiwa kuja na kitu mubadala kinachoonyesha usahihi wa hilo jambo na sio kupingapinga tu kibubusaHaujafika secondary? Umeishia darasa la ngapi shule ya msingi?
Wewe mfuasi wa jamaa wa mapangoni asiyejua kusoma wala kuandika ndio mtu duni..Una uelewa duni sana...
Walijibu nini baada ya kuulizwa maswali kuhusu vitu vilivyo wekwa mbele Yao ? Ila akavijibu Adamu ?Stone kisser mnachekesha , Yani Allah Kuna mda anawapa uwezo na Kuna mda anapoka uwezo πππ
Walikuwa wakweli kuliko allah , walinuaje mbele ?
Umelijibu wapi ? Nionyeshe.Swali lako nimeshajibu.
Nani amekwambia Hilo ?Hawawezi kuwa na maoni tofauti kama hawana hiari (freewill)
Sasa kitabu cha kiharameik n biblia Sisi tunakwambia hatumjui mwamed wala hatujawahi kumfikiria wanaomjua n hao waharameik cjui iv biblia unaijua vizuri, namaanisha Bible unaposema kitabu cha elmereikh n team ya kandanda huko sudanSoma yote song of Solomon sikupi aya maana nyinyi wavivu sana kitabu cha kiharameik shukran
Sasa unajua alipoinua macho yake alikuwa anaangalia kimwili au kiroho? Ili uzione mbingu unapaswa kuwa umekaa mahali penye malango ya mbinguni.Ngoja Akujibu Yesu mwenyewe maana wewe mbinguni hupajui na maana zako za Google hizo ay yesu ulifanyaje saa ilipo fika
Yohana 17:1 Maneno hayo aliyasema Yesu; akainua macho yake kuelekea mbinguni,
Asante
Rejea: uhalisia sio lazima uwe tangible.Sasa huo ndio uhalisia hivi wewe kiswahili unajua kweli
Nipe maana ya uhalisia tafadhaliRejea: uhalisia sio lazima uwe tangible.