mimimnyenyekevu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 737
- 1,002
[emoji2960][emoji2960][emoji2960]Tofauti kubwa sana na ndio maana nimekwambia usifikiri wanaume wote tunafanana akili pumbavu wewe, Huyo wako malaya, Mlevi na mwehu kama ulivyo wewe na hii yote ni wewe mwenyewe ndio umesababisha kupotea kwa huyo Mumeo....Nikuombe kitu dada jaribu kurekebisha tabia yako maana unaonekana unapenda sana mambo ya kiswahili shenzi type kabisa wewe......
Watoto wa3 kwenye nyumba ya kupanga? π na wewe ni mama wa nyumbani auNiyatoe wapi watoto watatu ndani ya miaka saba na bado anamendea wa nne, nikizaa tena nipo pale, yaani anataka Kijiji kizima kwenye nyumba za kupanga!
Na Mimi nimeuliza kuna madume sketi km mleta mada ?Nikuulize wewe uliyetaja
Mimi nimeandika dume suruali
Pole sana mama anguNimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.
Kazi kulalamika mpelekewe maji bafuni kwenye ndoo hebu jengeni maji yatiririke kutoka juu au muoge mmelala!
Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto mnaotuzalisha wataenda wapi mkifa. Hebu badilikeni vitambi na kulipa Kodi sio maendeleo.
Maendeleo yake ni kulalamika.Vipi we una maendeleo yoyote?
Ni huzuniMaendeleo yake ni kulalamika.
Aishi unamzungumzia golikipa mlinda mlangoMadhara ya kuoa mwanamke Manula.
Tatizo huna shukrani dada, hayo maisha ndio kapangiwa hivo wewe unataka ajikune mpaka wapi....hatuwezi kuwa wote matajiri na wala wote hatuwezi kuwa maskini.Sina haja ya kukimbia wanaonitukana hapa ni wanaume wasiojielewa
Yeah,inawezekana stress anazo lakini comments zinachekesha kinyama π€£
Lakini uzuri wa uzi wake hajaja kuomba ushauri...yeye ndio kaja kuwashauri madume suruali
Umepewa kifurushi cha kufanana nawe, na umekibeba for 7 good years acha kulialia kila mtu atauchua mzigo wake mwenyewe pambana.Nimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.
Kazi kulalamika mpelekewe maji bafuni kwenye ndoo hebu jengeni maji yatiririke kutoka juu au muoge mmelala!
Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto mnaotuzalisha wataenda wapi mkifa. Hebu badilikeni vitambi na kulipa Kodi sio maendeleo.
Nyumbu ni baba yako matako ya fisi weweWatakuponda mawe lakini bora umewaambia hawa nyumbu
Mume kajaTutajie hayo maendeleo mnayotaka
"YAANI unaamini yeye atatangulia KUFA kabla yako"Nimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.
Kazi kulalamika mpelekewe maji bafuni kwenye ndoo hebu jengeni maji yatiririke kutoka juu au muoge mmelala!
Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto mnaotuzalisha wataenda wapi mkifa. Hebu badilikeni vitambi na kulipa Kodi sio maendeleo.