Hakika, Swala la Uchungu wa kuzaa tu haliwezi kunifanya nimheshim Mwanamke kama hana jubud zingine, Mbona Wanaume wanadharaulika na Wanailisha familia kwa jasho. Hilo ni jukun lake alitende sawasawa bila kutegemea posho.Ujinga tu!
Wanawake na wao waende makazin mbele ya wanaume zao wakiwatazama namna wanavyohangaika kutafuta chochote kituNimemsikia raisi wetu SSH jana akiwa hospital ya CCBRT akisema kuna vyumba ambavyo vitatumika wakati wa mke akiwa kwenye kujifungua mume awe hapo akimtia moyo,akiona shughuli wanawake wanapitia[emoji3][emoji3] ili wapange uzazi,atoe mahitaji na vinavyofanana na hivyo.
Mimi sipingi ni jambo zuri lakini tuwe makini wajameni, haya mambo yana athari gani chanya na hasi.
Nimewahi kuwa karibu na labour siku nilimpeleka mke wa rafikiyangu hospital moja Mwanza kujifungua nikasikia kinachoendelea kule ndani, mwingine alikuwa anatukana mfululizo, anataja jina la mwanamme na kushushia na tusi, mara sikupi tena, nimekoma mimi, mara nesi nataka kunya. Jamani jamani leo ndio mwanaume uwe hapo pembeni na mke awe wale wanachukia mwanaume wake hataki hata kumuona kipindi cha ujauzito si itakuwa Ukraine ndogo?
Lakini kuna point nyingine nimewahi kuisikia kwenye dini ya ndugu zangu kuwa mume hupaswi kuutazama utupu wa mke wako[emoji3][emoji3]. Sasa tufikiri kweli mume uko hapo unaona lile tukio mwanzo mwisho kweli mh?
Nauliza kwa ambao wamewahi kuwa na wake zao kwa kipindi hicho mpaka wanajifungua,ivi baada ya hapo inatokea nini? Kumbukumbu inakuwa vizuri kabisa na hamna shida? Wanawake wa JF mnaonaje hili lilivyokaa?
Naamini ni kipindi ambacho wanaume tunapaswa sana kuombea wake kipindi choche cha ujauzito kwa kuzidi sana kipindi hiki, kuwatia moyo, kuwajali na kuonyesha upendo mara dufu na staha ya hali ya juu.
Lakini pale ndani kuwepo kwakweli usisikie sio mchezo. Mtakaokuwa mnaenda kila la kheri lakini mkumbuke kuleta mrejesho pia na wanawake mlete ushauri mapema tujue la kufanya kwa hekima.
Kitu chenyewe unaambiwa kinatanuka size ya sufuria ili mtoto apote vizuri.Mi mniuwe siendi, yani ni shuhudie kile kichwa kinapotoka aise naweza poteza hisia.
Nilimwambia nesi "huwezi kufanya namna yoyote kwa huyo mtoto ili mke wangu apone?" Aliniangalia, akatabasamu, akaendelea na kazi yake. Mtoto amezaliwa sikuwa na habari nae,wife kazimia.Ni vizuri wakajionee ambavyo kitendo cha kuleta binadamu duniani ni nusu uhai nusu kifo....
ooh pole, ndio ukashindwa kumuongezea mwenzie.... Mungu ni mwema ongeza mwingine 😃Nilimwambia nesi "huwezi kufanya namna yoyote kwa huyo mtoto ili mke wangu apone?" Aliniangalia, akatabasamu, akaendelea na kazi yake. Mtoto amezaliwa sikuwa na habari nae,wife kazimia.
Mwaka wa 12 huu sitaki kusikia kuhusu kuzaa mtoto.
Mke ni rafiki yangu, mtoto ni mama yangu wa pekee... Nawapenda sana.
Sio kwamba unakaa upande ule ili uone kila kiungo chake wakati wa kujifungua, unakaa kichwani huku, unamshika mkono na kummasaji kichwani ili qjisikie amani.Mmh mamaee hapana yaani nione kichwa kinatoka mkuma unapanuka midamu na mimaji mimaji ya uzazi
Ile picha itanata kwenye ubongo yaani unaweza kupoteza hisia nae
Hata kwa bunduki siingii
🤣🤣🤣🤣🤣Sh
Sheria bro?😀😀😀 watu watalala juu ya miti.
Why?Sitaki, Siendi, sithubutu.
100% hii ndo aina ya vijana nataka niwaache kujenga hiki kizazi.Mwanamke atazaa kwa uchungu na mwanaume atakula kwa jasho
Imeshapangwa hivyo na itakuwa ivyo hata nikiangalia haisaidii chochote siku akizingua ni makwenzi tu
UjiGA du[emoji849]Sio kwamba unakaa upande ule ili uone kila kiungo chake wakati wa kujifungua, unakaa kichwani huku, unamshika mkono na kummasaji kichwani ili qjisikie amani.
Hata yale makelele kuyasikia hapanaSio kwamba unakaa upande ule ili uone kila kiungo chake wakati wa kujifungua, unakaa kichwani huku, unamshika mkono na kummasaji kichwani ili qjisikie amani.
we acha kabisa kuna jamaa jirani alikuwa anajifanya ana mambo ya kizungu akaenda kushuhudia, alikata moto wakamlaza alika mwaka ndo akaja kumgusa mke wake. Mpaka leo amekoma.[emoji23][emoji23]Sasa wee si ndo mhusika si mnasemaga hebu tujazie jazie miguu ya mtoto[emoji1787][emoji1787]
hahahahahahaha hatari, mtoto anapita unakuja kuona gap aise siku unakula mzigo ndo utajua wanaumwe wote ni vibamiaKitu chenyewe unaambiwa kinatanuka size ya sufuria ili mtoto apote vizuri.