Aah aah boss huruma ninayo lkn sio kila mahala bwana [emoji23] kwanza kama itatokea lazima niwe nimemuelewa huyo mwanaume na mm siombagi helaNajua tu utatoa wewe...maana inaonekana una huruma...hadi yule rafiki ako Witty nimemtumia kisa wewe [emoji28][emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
We unaombaga nini, Ili umuelewe inatakiwa awe na features gani labda??Aah aah boss huruma ninayo lkn sio kila mahala bwana [emoji23] kwanza kama itatokea lazima niwe nimemuelewa huyo mwanaume na mm siombagi hela
Yaani nimechekaje hapa adi wife ananiuliza ni Nini.so unakuwa mgumu ili sio kila mtu aileMiye nakuambia usipokua mchoyo na mbususu yako kila mtu atakula shoo. Sitakagi ujinga kwenye hilo. Yaani umri unavyozidi kusogea na hapo ndo nakua mgumu zaidi
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Weree... mma roho mbaya nayo kweli. Kila nikiifikiria naihurumia. Kuna saa nalachungulia kanatia huruma kenyewe kametulia kanarembuaaa. Basi nakaambia tulia, nitakulinda kama last born. Basi ndo kametulia kwenye cotton huko hakana hata wasiwasi. Sikagawi bana. Ubaya ubayani tu. Usifikiri nikicheka cheka na wewe ndo nakupa. Mifupa ya babu yangu kaburiniYaani nimechekaje hapa adi wife ananiuliza ni Nini.so unakuwa mgumu ili sio kila mtu aile
Duuu natamani nimuone alivyo ndani ya cotton kwani ukimtoa atazeeka ama atakuwajeWeree... mma roho mbaya nayo kweli. Kila nikiifikiria naihurumia. Kuna saa nalachungulia kanatia huruma kenyewe kametulia kanarembuaaa. Basi nakaambia tulia, nitakulinda kama last born. Basi ndo kametulia kwenye cotton huko hakana hata wasiwasi. Sikagawi bana. Ubaya ubayani tu. Usifikiri nikicheka cheka na wewe ndo nakupa. Mifupa ya babu yangu kaburini
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Hello habari ๐Sasa hiyo ten thou anafanyia nini mrembo?
Kuhusu swala la "haiuzwi wala haitolewi bure"Lipi hilo
Mos Def....๐Wanawake waombaji pesa ni wavivu kinomaaaaa,, tafuta pisi inayojielewa ni hustler kama wewe mnatafuta mkwanja pamoja,, mnakula life
Kuna hizi modern beggars ambazo nadhani kwenye info zake akiulizwa occupation atasema " tax collection on relationship" kwao mapenzi ni trade "nipe something nikupe something" yaan kwa namna nyngne hao ni aina nyingine ya papuchi service provider, cash talks
Na hawawezi kukataa kuwa they are doin it, wazi kabisa wanasimama na kutetea hoja kwa nguvu zote,,, wanahalalisha "gold digging" kama something that is moral right
Ukitaka kula my mkwanja gimme something na sio papuchi koz hata buguruni zipo za kununua,, utofaut wake na ww ni kwamba yeye anafanya wazi wewe una polish kilichooza
Sent using Jamii Forums mobile app
Sahizi nitakuwa nasindikiza na kauli โNjoo nikumbato kwanzaโ ndio jibu zuri la nashida ya 20K au luku imeisha!PESA n sabuni ya roho. [emoji23][emoji23]
Ndio mida yake hii ๐๐๐ mjibu hivyoSasa hapo Unajidai hujaiona hiyo msg kabisaa maana ukijimix umeishaaa..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji28][emoji28]View attachment 1967108
Mi ningemjib hata sijakutmba unaomba hela kwa nguvu hivyo mshkaj wangu! Njoo geto basi uchukue!
SisterEvelyn we acha tuu!!!Lipi hilo
Hio hela inadaiwa haiombwi hapo yani ni kama hela ya vikoba๐ na kwa style hio ya baadae natoka labda nikiwahi huyo mtengee 30K tu! Tuma leo, akiomba tena kesho tuma ya mwisho omba aje ghetto mdiscuss jambo la maana kisha kamalize!Hii ni leo....sio sina hilo ten mkuu...shida ni ten linaweza enda alafu maku niisikilizie kwenye bomba View attachment 1966910
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahah itafikia stage ya robbery! Demu anakupiga sachi bila maelezo ๐๐๐SisterEvelyn we acha tuu!!!
-Zaman mke ndio alikuwa anaweza kumwomba hela Mme wake...
-Ikaja baadae mkaanza kuomba hela wakati bado mpo kweny uchumba....
-Ikaja tena baadae mkaanza kuomba hela kabla hata hamjaingia kweny uchumba...
-Na sikuiz mnaomba hela kwa kijana yeyote wa kiume anayeonesha interest kwako(this is very discouraging)
JUZI JUZI JUZI....BHANA SIKUAMINI MACHO YANGU!!!.....yaan kuna mdada simjui wala hanijui ameniomba hela tena alikuwa na wenzake wawili...upo hapo??
Mshafikia hii stage aisee๐ ๐ ๐
NAHIC ITAFIKA KIPINDI MTAKUWA MNATUPORA HELA KABISA BILA KUOMBA....
Sema wewe ni omba omba! Wanawake wanaojitambua na independent hawaombi hela hovyo๐Sisi ni omba omba by nature
Bater Trade re-definedDAh wanawake watamu sana wacha tusake pesa tuu tuwagegede. Furaha iliyoje kumpa mwanamke hela alafu akakupa mbususu ucheze nayo utakavyo.
Naona kipaji cha Sanaa cha kutunga mashairi kweny maneno yako๐Weree... mma roho mbaya nayo kweli. Kila nikiifikiria naihurumia. Kuna saa nalachungulia kanatia huruma kenyewe kametulia kanarembuaaa. Basi nakaambia tulia, nitakulinda kama last born. Basi ndo kametulia kwenye cotton huko hakana hata wasiwasi. Sikagawi bana. Ubaya ubayani tu. Usifikiri nikicheka cheka na wewe ndo nakupa. Mifupa ya babu yangu kaburini
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Ukiomba hela usisahau na kuomba mkuyenge sio unaomba omba hela tu๐Kaa na hogo lako, ikibidi ulikaange ulikule na kachumbali
Wazungu wanajitambua sana yani๐ sio siri mzungu anajua kabisa kwamba its so fuccking disgusting kuwa omba omba!Ila mbona watu tuliowahi kukutana na wazungu mbona hata kwenye dating lunch au dinner wanalipa wenyewe? Hawa wenzetu wanafanya mwanaume awe yesu na mwokozi wa matatizo yao