Wanaume, kuombwa pesa ni jambo kubwa kiasi hiki au mnakuza tu mambo?

Huyo ni kero kama nzi, mblock tu....
 
Kwahiyo tunazika au tunasafirisha???
 
Mkuu hongera Sana Tena Sana umeemfunika mleta madaa

Wallahi nimeisoma 3 times
 
kunywa pepsi nakuja kulipa
 
Miye nakuambia usipokua mchoyo na mbususu yako kila mtu atakula shoo. Sitakagi ujinga kwenye hilo. Yaani umri unavyozidi kusogea na hapo ndo nakua mgumu zaidi

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Jamani mama Pablo maanani raabani amekutunuku bure icho usifanye ajizi kukitoa kwani huo ndio ubiniadaam

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Can't wait for this πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ntakua napora sana
Eti Dada angu, unazungumziaje swala la mwanamke unamgharamikia mahela mengi alaf anakaza, meanwhile anamtunuku jamaa mwingine ambae hampi hata hamsini????
 
Sometimes hii ni mbinu ya kufukuza wakware, kushinda unatuma tuma mameseji tu kwa mtu na ukute mtu mwenyewe hajakuelewa anakukataa unajifanya king'ang'a hapo inabidi uombwe pesa ili kufukuzwa
Hapana mmezidi...Na mbona mkipewa mnatoa Puchi kama hujamuelewa unatoaje?? acheni jamen mmezidi.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…