Escotter20
JF-Expert Member
- Jul 20, 2020
- 505
- 960
Wewe ni shangazi mwenyye mb*roNjoo unioe mimi BICHWA KOMWE the wife material.
Najua kupika chapati na kisamvu.
Nina shahada ya kukata viuno na kukalia mboro kutoka chuo kikuu cha Oxford Uingereza.
Cc: mimiamadiwenani Poor Brain Mzee wa kupambania dronedrake fundi bishoo Extrovert The Icebreaker
Hakunaga mwanamke wako peke yako tusijidanganye majamaaa. Uoe mzuri au ng'ong'ozo wote kuchapiwa utachapiwa tuu.Huyo mwanamke ni lazima awe na upendo kwako,akuheshimu,awe anajua maana ya ndoa,ambae ukianguka atakusaidia,yupo tayari kufanya maendeleo na wewe.Kabla hujamchukua angalia historia yake,miaka yake,akili zake,kwao baba yake na mama yake wanaishi pamoja?Ukikurupuke kuoa sababu umemkuta ni mdada mzuri ana kazi ana gari na nyumba ana shepu na whatsoever kuwa makini sana unaweza kuta unaolea watu na hujui.Hapa mjini kuna wadada nawafahamu zaidi ya watatu wanatembea na waume za watu(maboss zao) muda mrefu tu na ndio waliowapa hizo kazi.Imagine unaoa huyu lazima ukubali huyo mwanamke utashare na mwanaume mwingine
Nyiieee jamaa zangu wa jf bwana. Wee uliona wai mwanamke akapendaπ€£π€£π€£π€£Ukipata Mwanamke anayekupenda lazima awe WA Maana.
TΓ bia ya Mwanamke hutokana na kiwango chake cha Upendo juu yako
Chukua kitunguu maji kikatekate usipo toa chozi ingia kwenye ndoa ila ukitoa chozi mkuu bado ujapevuka na mambo ya ndoa kausha...
Ndoa....na kifo cha mwanaume vipo karibu sana
Niwape ushauri vijana wenzangu ama niwaache muangamie? Mimi ya kwangu iliyodumu miaka kumi imevunjika juzi tuHabarini,
Niko kwenye umri wa kuoa ila kila nikiangalia sioni mke wa kuoa, binafsi sina standards kubwa ninazotarajia toka kwa mdada, na siko picky kihivyo, shida nikisema huenda huyu ni potential wife, unakuta mdada ni block 41 kikosi cha mizinga, hata kwenye mazingira ninayoishi kuna wanaume wengi tu wako kwenye umri wa kuoa, wana kazi nzuri tu, ila bado wapo single, sawa huenda mimi nina tatizo (personality problem) ndo maana sipati mke, lakini je hata wanaume mabachela naowajua nao pia wote wana tatizo?
Mdada ambaye atakuchukulia kama a friend and a life partner, muanze familia from the scratch hadi mzeeke pamoja, mwanamke ambaye sio lazma awe mzuuuri, awe tu mwenye mwonekano wa kawaida unaoridhisha na tabia inayoridhisha, wanaume wenzangu mliooa wadada wa hivyo, mliwapata wapi?
Huku mtaani all I see ni wadada ambao wanataka ku-suck life out of you wakuache empty, naishia kuona wadada ambao wanataka financial help na sio love.
Mfano imagine unamwita mdada uliezoeana nae tena mnaishi mtaa mmoja, aje barabarani uliposimama mpige tu story, anakuuliza akija utampa nini, na hujamwomba namba na hujawahi mtongoza, u can imagine jinsi wadada wengi walivyo sick kitabia huku mtaani.
Weekend njema
Nyiieee jamaa zangu wa jf bwana. Wee uliona wai mwanamke akapendaπ€£π€£π€£π€£
Hawa wanaangalia huduma mwanawane
Halafu swala la kununua maafisa utamu nlianza nalo sababu nlikuwa curious, hee mwishowe ndo nimekuwa addicted kabisa, maeneo ya Kona baa, malindi, keko Dodoma, shivaz kote nshapita nao, ubungo riverside sijawahi nunua afisa utamu wa pale ingawa nshawahi pita lakini sikuwahi ona mdada anaenivutia pale riverside, sehem iliokuwa na maafisa utamu wazuri zaidi ni sinza Kona baa LamomyWewe unayejumua ma-afisa utamu wa riverside upate mke mwema?? π€£π€£π€£
Shusha point sasaNiwape ushauri vijana wenzangu ama niwaache muangamie? Mimi ya kwangu iliyodumu miaka kumi imevunjika juzi tu
So kama uko single na unahitaji kuoa nikushauri kitu cha msingi na cha maisha
Kama mpo tayari mnitag muda wowote nitarudi hapa kumwaga points.
Hujanitag bali umeniquote tu mkuu hebu fanya kunitag nataka hii point iwafikie wanaume wote wale ambao ni Sigma na sio simps..Shusha point sasa
Wewe na dronedrake walewale tuh.Mwanamke hatafutwi unakutana nae tu popote
Msimamo haujawahi badilika, maazimio ni yale yale
πππππWewe ni shangazi mwenyye mb*ro
Anajumua! πWewe unayejumua ma-afisa utamu wa riverside upate mke mwema?? π€£π€£π€£
Nikwel mkuu ila tatizo hao watu unaweza ishi nae na asikupende akaamua tu kuwa na wewe kwa sababu tofauti tofautiHapa ndio utajua haujui ila hata single mother tuoe tu jamani sometimes life halina formula
1. Oa rafiki yakoHabarini,
Niko kwenye umri wa kuoa ila kila nikiangalia sioni mke wa kuoa, binafsi sina standards kubwa ninazotarajia toka kwa mdada, na siko picky kihivyo, shida nikisema huenda huyu ni potential wife, unakuta mdada ni block 41 kikosi cha mizinga, hata kwenye mazingira ninayoishi kuna wanaume wengi tu wako kwenye umri wa kuoa, wana kazi nzuri tu, ila bado wapo single, sawa huenda mimi nina tatizo (personality problem) ndo maana sipati mke, lakini je hata wanaume mabachela naowajua nao pia wote wana tatizo?
Mdada ambaye atakuchukulia kama a friend and a life partner, muanze familia from the scratch hadi mzeeke pamoja, mwanamke ambaye sio lazma awe mzuuuri, awe tu mwenye mwonekano wa kawaida unaoridhisha na tabia inayoridhisha, wanaume wenzangu mliooa wadada wa hivyo, mliwapata wapi?
Huku mtaani all I see ni wadada ambao wanataka ku-suck life out of you wakuache empty, naishia kuona wadada ambao wanataka financial help na sio love.
Mfano imagine unamwita mdada uliezoeana nae tena mnaishi mtaa mmoja, aje barabarani uliposimama mpige tu story, anakuuliza akija utampa nini, na hujamwomba namba na hujawahi mtongoza, u can imagine jinsi wadada wengi walivyo sick kitabia huku mtaani.
Weekend njema
Dah ,ushauri mzuri.Mnachagua sana Hadi mnaboa mnasahau kuwa hakuna aliekuwa perfect
Chagua wako hayo madhaifu yake mawili matatu tafuta namna ya kusolve muweke unavotaka hata Hao wakamilifu walikutana na watu wakawaboresha ndio mnaona Leo ni wakamilifu
Msisahau Dua kumuomba Mungu sio mtu ukiamka kazini ukirudi pombe ukichoka kulewa ni kubadili wanawake chukua muda Amka usiku Sali Mungu akupe mtu sahihi
You appeared as more of a nice guy to her. It is boring to some women to act too niceπ Almost kila mwanaume ana story inayofanana na hii yangu, huyo bidada ana miaka 29 hajaolewa bado, anadai hana mtoto, kumuuliza why yupo single anasema hajapata mwanaume mwenye mapenzi ya kweli.
kwa vile nlikuwa nae serious nika play a role of a good man, weeeh
Tangu siku ile nlimkaushia, no kumuomba pussy,no kumpa hela, no kumfaham zaidi ni hi tu, sahiv naona hata nikipost status zangu za Whatsapp haziangalii kama mwanzo, sijui kosa langu ni nini π Kapeace