Wanaume tuwe makini na sehemu tunazotaka kuoa

Watu huwa wanakuwa wabishi hadi yawakute. Sisi tumewashuhudia na kuona matukio yao sio tu kuhadithiwa.

Mtu unaingia nae room kupiga show ila mkavu kama mti wa dawa. Hawana spirit ya kawaida kabisa ndani ya miili yao.
 
Bora wamakonde tuu
Shida ya makabila ya Pwani ni ile "Laissez faire" personality. Hawajali kuhusu kupata, kupoteza ila wako serious na comfort zaidi.

Ukitaka kuinjoy maisha unaoa mwanamke wa pwani hawa ukishakuwa na uwezo wa kuwalisha na kuwavisha tu wanatulia tu. Wewe hata uwe pang'ang'a wao watatulia nawe tu na mapenzi tele hawawazi kukudhuru.
 
Hilo nakubaliana na wewe, wengi wako aggressive sana when it comes to posessions.
 
Ni kweli mkuu tamaa za dada zetu wa kichaga tunazijua ila mimi huwa napenda ku capitalize kwenye malezi kwanza. Mtu lazma nione personality yake ikoje. Kuna wachaga wengine hawana hio nilishakuwaga na manzi mmoja alikuwa mzungu sana wa roho japo alikuwa ni mmachame.
 
Watu huwa wanakuwa wabishi hadi yawakute. Sisi tumewashuhudia na kuona matukio yao sio tu kuhadithiwa.

Mtu unaingia nae room kupiga show ila mkavu kama mti wa dawa. Hawana spirit ya kawaida kabisa ndani ya miili yao.
Kabisa mkuu, mwanamke wa kichaga akiguna ndani ya game ujue anakuektia tu, hawana uchangamfu wa tendo, ushirikiano upo chini kwao.
 
Duh na mchumba mpare ..😊
Mwenye macho aambiwi tazama hao watu ni changamoto kubwa sana! Huna kwenu? Kwanini usitafute mchumba uko kwenu, mkaishi vizuri! Asie kujua hakuthamini!
Ndio maana wazee zamani walichaguliwa nyumba za kuoa! Ila sisi usasa unatuaribu ndio maana taraka,vifo,magonjwa na kukimbia familia kumeongezeka sana!

Endekeza nyege utanikumbuka!
Labda kama umelelewa na single mother huna kwenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…