Wanaume wanaokataa ndoa wana matatizo yafuatayo...

Wanaume wanaokataa ndoa wana matatizo yafuatayo...

Iwekwe AGENDA KWA WANAUME KATAA NDOA!

Ni mwendo WA kuchapa ilale na kuzaa Tu. Tena hakikisha Mali zote unaandika Kwa majina yako na uwe umeandaa urithi.

Wanawake ndio wanufaika WAKUBWA WA ndoa kuanzia mwanzo Hadi kwenye mchakato WA talaka.

Kama huamini jiulize ni mwanamke Gabi umewahi kusikia amefirisika Kwasababu ya talaka ! Ila kuna mamia ya wanaume wamejiua, kufirika na kuchanganyikiwa Kwasababu ya talaka.


Mwanaume kataa ndoa.
 
Nikiona wanetu waliooa wakilalamika hapa jf jinsi wanapewa mbususu kama mgawo wa maji nakata tamaa kabisa kuoa

Kabla ya kuolewa mnatoa mbususu safi kabisa mkiingia kwenye ndoa mnaifanya kama silaha ya kuwaadhibu waume zenu 🤔😅
😂😂Raha ya ngoma uingie ucheze achana na masimuliz ya jf mm mwenyew wanavokataa ndoa jf nawashangaa wakat huku mtaani vijana wanatufata wanatak watupe nusra
 
[emoji23][emoji23]Raha ya ngoma uingie ucheze achana na masimuliz ya jf mm mwenyew wanavokataa ndoa jf nawashangaa wakat huku mtaani vijana wanatufata wanatak watupe nusra
Kwahiyo ukifuatwa unadhani mambo ni mserereko ...


Kwani wale wanaouawa kwenye ndoa hawakuwahi kufuatwa kama wewe ?
 
Tabu tupu huku Afrika, bado tuna hitaji kuendelea kupambana na hawa maadui wakubwa watatu UJINGA, MARADHI, UMASIKINI hasa hasa UJINGA tuna safari ndefu sana ya kumshinda.
Hiki kizazi inabidi kichomwe moto, kije kipya. 😀

Ukitaka ujue kamwe hakihitajiki, kaa kwenye kikundi fulani ama hata vijiwe fulani tu uzungumze habari kama hizo, watakugeuzia! 😁
 
Kama wew umemaliza wadada wote mtaani kwetu nafikir had mitaa ya jirani 😂😂😂Utaoa ugundue Nini ndoa ni za wanaume waliotulia
🤣🤣🤣 Umeona raha ya kuwa singo unakitembeza tu muda wowote hata ukirudi saa 8 usiku hakuna wa kukuuliza.

Hakuna wanaume waliotulia hao wanawaigizia tu ni vile wako kifungoni
 
Kwahiyo ukifuatwa unadhani mambo ni mserereko ...


Kwani wale wanaouawa kwenye ndoa hawakuwahi kufuatwa kama wewe ?
Kwaiyo km watu waliuawa wengine tusiolewe kilamtu anaandika story ya maishayake mwenyew Na ukijiwazia mabaya yatakufuata
 
Hiki kizazi inabidi kichomwe moto, kije kipya. 😀

Ukitaka ujue kamwe hakihitajiki, kaa kwenye kikundi fulani ama hata vijiwe fulani tu uzungumze habari kama hizo, watakugeuzia! 😁
Hatari kabisa, bara letu kwa asilimia kubwa tunakosa wingi wa watu wenye mawazo chanya katika mambo mbalimbali mfano ni hapa nchini.

Ukijaribu kukaa katika makundi mbalimbali ya watu utaona ni kwa namna gani watu wanawaza ujinga muda wote.

Mada za kijinga kijinga zimetamalaki humu jf, wattsapp groups, mitaani vitu vya msingi hatutaki kujua wala kujishughulisha navyo.
 
Au nyie wenzetu mnaweza kuvumilia kusuguliwa na de libolo ileile kila siku? 🤔😅😅
Inawezekana sabbu tunanafsi za kuridhika nyie ndo maumbile yenu mwanamkewengi had asex na mwanaume huwa wameanzia mbali ila nyie mudawowote sehemu yoyote
 
Inawezekana sabbu tunanafsi za kuridhika nyie ndo maumbile yenu mwanamkewengi had asex na mwanaume huwa wameanzia mbali ila nyie mudawowote sehemu yoyote
Tatizo lenu kitonga sana na tamaa za kutaka kupata vitu vizuri ndo zinawafanya mnyanduliwe sana. Mwanamke yupo tayari kuuza mwili wake kwa ajili tu ya iPhone macho 3
 
Ndoa ni kwa wanamume tena waliokamilika kiakili sio kwa wanaume au wavulana..
Jamani oeni wanawake ambao ni wa hadhi zenu watakaowatii na kuwaheshimu na kuheshimu ndoa mbona bado wapo
Hao unaoeasifu,ulizia bodaboda au madereva bajaji,tabia za hao wanawake.
Mi nawasihi msiwasifu wake zenu,mitaa inawajua kuliko nyie mnagongewa hovyohovyo.
Wake zenu ni warahisi kuliko wale ambao hawajaolewa.
 
Back
Top Bottom