National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Wanawake wana badirika haraka sana.. mwanamke anaendeshwa mno na mazingira , ndani ya miaka mingi anaweza akawa poa sana.. ila akibadirishwa na mazingira ndio utajua hujui.. tuishi nao kwa akili.. na Hakim kaonesha namna ga kuishi nao kwa akiliHapana mkuuu. Mtu WA namna hiyo kwanini umuoe??? Kwann uishi nae???
Duh
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh!Ili watoto uwatawale!!?
Miye kama Sina mama,Bora niandike orphanages au old people homes wazirithi baada ya kifo changu
Ulinikuta na ndugu zanguHii wkend umepigia simu ndugu zako wangapi??
Ukisha oa, acha kufananisha mke na ndugu zako.
Mama mzazi ndio binadamu pekee duniani ambae hawez kukusaliti... OvaNi maisha ya kutokuaminiana....na ubinafsi
Wengi wameoa Ila hawawaamini walio waoa.
Kwann Mali ziandikwe jina la Mama?? Akifa hizo Mali zikigawanywa Kwa wanafamilia wengine utalalamika??
Bora hata muandike majina ya watoto wenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaandikiwa na demu wake.. ila anajua fike nyie watu hatari
Balaaa π€Kama kawaida na vile huwa tunasahau mapema
Wewe humpendi Mkeo.Ili watoto uwatawale!!?
Miye kama Sina mama,Bora niandike orphanages au old people homes wazirithi baada ya kifo changu
issue ni kwamba, mtu anabadilika katikatiHapana mkuuu. Mtu WA namna hiyo kwanini umuoe??? Kwann uishi nae???
Duh
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mama yangu alinifuliaRoho mbaya saaana hii[emoji23][emoji23][emoji23]
Imagine mke anakutunza aannakufulia anakupikiaaa then umnyime urithi??
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ndo mwanaume sasaMnafki tu huyo
Nampenda ila nazipenda zaidi Mali zangu
Wife ni kama msela, sio damu moja anytime tuna mwagana.. ila familia haiwezi kukumwaga hata ukiwa chizi.. ila mke ataolewa.. fungwa miaka 20.. kama utamkuta mke wako single.. ila famili yako utaikuta na upendo ule ule.. ishini nao kwa akili..Mke amenikuta na ndugu zangu,wife second home family first
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanawake wana badirika haraka sana.. mwanamke anaendeshwa mno na mazingira , ndani ya miaka mingi anaweza akawa poa sana.. ila akibadirishwa na mazingira ndio utajua hujui.. tuishi nao kwa akili.. na Hakim kaonesha namna ga kuishi nao kwa akili
Nawapa pole watoto wako.Ili watoto uwatawale!!?
Miye kama Sina mama,Bora niandike orphanages au old people homes wazirithi baada ya kifo changu
Mama mzazi yupo na anko shamteMama mzazi ndio binadamu pekee duniani ambae hawez kukusaliti... Ova
Huyu jamaa nae ngoja aje afanyiwe ya nikki wa pili, sababu hadi migogoro ya psquare huwa ni sababu ya mke wake anamuendesha sana jamaa.
I will suffer kwa stress π
π anajichetua tu apate attentionHuyo ndo mwanaume sasa