Wanaume wengi wanaamini wanawake wenye sura na maumbo mazuri hawafai kuolewa, ila wenye sura mbaya wanawatesa kwenye ndoa

Wanaume wengi wanaamini wanawake wenye sura na maumbo mazuri hawafai kuolewa, ila wenye sura mbaya wanawatesa kwenye ndoa

Kuna wanawake wa uma na kuna mke. Mke ni yule ambaye akipita anaheshimika kama mama na wanawake wa uma ni wale wanaowageuza wanaume shingo na kupigiwa miluzi.
 
Haki sawa ni mpango wa shetani. Bila kuwa na Yesu mtu wa ulimwengu huu habadiliki.
Bora we unajielewa kiasi chake. Wale wanaojiona bado wana miaka 23 ilihali wamezaliwa 1991 wacha waendelee kupuyanga. Fainali uzeeni
 
Kuoa mwanamke mrembo kupitiliza Ni hatari Sana kwa muoaji.

Mwanamke mrembo Sana huvutia attention za wanaume wengi na mwisho wa siku huishia kutongozwa na wanaume hao.Na hii itamfanya mume wake kuwa na Hali ya " insecurity" kwa mke wake na bila Shaka jamaa atakosa amani kbsa maishani mwake.

Haijalishi mwanaume Ni tajiri kiasi gani.Huo utajiri wake Hauwezi kuondoa uhalisia kwamba mkewe ambaye Ni mrembo kupita kiasi atazidi kushobokewa na wanaume mbali mbali na mwisho wa siku kutongozwa.
 
Sijawahi maishani mwangu. Kwetu nilifundishwa kufuma vitambaa na kufuga. Nilikuwa na fuma vita vya aina mbalimbali natembeza maofisini najisomesha.

Maofisini nilikuwa natembeza mayai ya kwale enzi zile na mayai ya kuku wa kienyeji. Wazazi wafundisheni binti zenu kujitegemea yangu wakiwa wadogo, itawasaidia
Well said.
 
Hapo kwenye oeni vitu vya kueleweka hapo, ndio pa kuweka wino mwekundu. Vipi we ushaolewa Mkuu?
 
Tatizo la hivyo "vitu vya kueleweka" ni kutaka kuwa juu ya mwanaume..!! Mwanamke mwenye hela kuliko mume, elimu kuliko mume na madaraka popote kuliko mume, huwezi mtuma chochote kama mume..!!! Wana tabia ya kuamini walivyonavyo vinawapa nguvu ya kutawala eneo husika..!! Kumkuta mwenye hivyo vyote and still akawa submissive kwa mumewe, ni very rare, wapo wachache sana..!! Hence uchache wao, unafanya probability ya kujua kuwa huyu ndiye mwenyewe inakuwa ndogo sana.
Mkuu wanawake wa design hii ni wachache sana infact ONE IN A MILLION.
 
Kwangu hatuongozwi kwa namna ya ulimwengu. Tunaongozwa na Roho wa Bwana.
Neno linasema Basi nasema enendeni kwa roho, maana hamtazishinda kamwe tamaa za mwili.

Mwili hutamani vingi vya ulimwengu huu, lakini kwa kuenenda kwa namna ya rohoni tunashinda vyote
You sound religious madam hongera...
 
Wanaume wengi wanaamini mwanamke msomi, mwenye kipato, sura nzuri, umbo zuri na exposure hafai kuolewa.

Wanaoa wanawake wenye sura na maumbo ya kawaida sana, lakini baada ya muda fulani huanza kulalamika mke wangu ananitesa.

Mke mwenye sura na umbo baya lazima atakuendesha sana kwa waganga sababu ana insecurity problem, huko nje wamejaa wanawake wazuri wa kila aina.

Ndugu zangu wanaume badilikeni, oeni vitu vya kueleweka, ndoa sio kitu rahisi kwa namna yoyote.
Umeongea kwa hisia sanaa. Anyway tumekuelewa

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Si kazi rahisi, shetani analeta kujiinua. Ninapogundua nimepandisha mabega, ninarudi kwenye toba, namuomba mume wangu msamaha, tena kwa magoti na machozi na kuumia kutoka ndani kabisa
Ni kweli haya usemayo lakini..!?
 
Pole sana. Pesa muhonge mama yako, hutojuta
Nimekuwa nikifanya hivyo sema sasa nimeongeza kiwango kwa maza. Ile ambayo nlikuwa nawapa manungayembe sasa nayo namtumia yeye.... Yaani msichana akisema tu "baby nina shida na 100,000 nina tatizo..hiyo laki moja haraka namtumia mama🤣"

But ikitokea nikamwona msichana ana shida genuine. Namsaidia hata kama sitopewa papuchi. Nakataa tu yale manungayembe.
 
Visanga vya Ndoa, Again.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi ipooo.
 
Back
Top Bottom