Wanawake, kama huwezi mtunza mtoto pelekeni kwa Baba zao. Msisumbue watu kwa upuuzi wenu

Wanawake, kama huwezi mtunza mtoto pelekeni kwa Baba zao. Msisumbue watu kwa upuuzi wenu

Kamada kamekaa kipuuzi kameelemea zaidi KWA mwanamke as if mwanaume hahusiki , kamada kakishenzi .. next time balance mzani

Mzani umeshabalansi hapo Mkuu.

Mwanamke sheria zinamlinda lakini hajilindi unafikiri nini kitatokea.

Unajua kabisa huyu ni mume WA mtu lakini bado unatoka naye kisa pesa zake, anakuambia kabisa hataki mtoto na wewe unaitikia Ka kutingisha kichwa, mimba umepata unaanza kusumbua watu upuuzi tuu.

Lazima ulipigie gharama za ujinga wako
 
WANAWAKE KAMA HUWEZI KUMTUNZA MTOTO PELEKENI KWA BABA ZAO. MSISUMBUE WATU KWA UPUUZI WENU!

Anaandika, Robert Heriel

Unang'ang'ania kuishi na mtoto alafu huna uwezo wa kumtunza huo si upuuzi.

Kama huwezi kumtunza Mtoto na unapenda kuishi naye basi kuwa na adabu, kuwa humble Kwa Baba WA mtoto, hakuna mwanaume ambaye ni mkorofi Kwa mwanamke mwenye adabu au mnyenyekevu. Sijawahi kuona mwanaume wa hivyo. Sisi wanaume tunaupendo mara elfu zaidi kuliko ninyi wanawake, tunajali na kuthamini lakini kama heshima yetu itazingatiwa. Lakini Sisi ni makatili, washenzi, wakora Kwa watu wasiotuheshimu.

Linapokuja suala la heshima kwetu tupo tayari kupoteza vyote ikiwezekana uhai. Tupo Radhi kufukuza Mke, watoto na wote ambao hawatuheshimu. Ndivyo tulivyo. Hiyo ni kanuni yetu ya Asili Aliyotupa Muumba.

Eleweni kuwa Mtoto akiishi na Mama Mkorofi asiye na adabu tunamchukulia Kama mwanampotevu, yaani yupo nje ya Mfumo hata Kama ni mtoto wetu.

Eleweni kuwa kadiri mnavyokuwa Wakorofi na wajeuri ndivyo tunavyozidi kuwapuuza ninyi na watoto wenu.
Kumbuka, Mama Mpumbavu ni mzigo mwa Mwanaye Kama ilivyo mwana Mpumbavu alivyomzigo Kwa Mamaye.

Wanaume tunafalsafa zinazotuongoza, mojawapo ni hii, Mwanamke asipotuheshimu na akitudharau tunaamini kuwa hata mitoto yake aliyoizaa Asilimia kubwa haitatuheshimu na itatudharau.

Hatuoni shida kutelekeza Mama jeuri na mitoto yake hata Kama watoto hawana kosa. Lakini kitendo cha kulelewa na Mama jeuri na korofi tunaamini hilo toto litafuata tabia za Mama yake.

Vijana, msiogope kufanya maamuzi magumu Kama Mwanamke hakuheshimu, anakudharau na ni korofi. Ninaongea nikiwa ninauhakika na kile nikisemacho. Ninaushahidi wa kutosha dhidi ya wanaume wanaoteswa na watoto wao kisa kulelewa na mimama ya hovyo.

Mwanaume wewe ndiye mungu hapa Duniani. Wewe ndiye unayeamua mtoto gani umbariki na yupi usimbariki kulingana na tabia za watoto na Mama zao. Zingatia mara nyingi tabia za watoto huendekezwa na Wamama.

Kama vile Mungu anavyotubariki bila USAWA ndivyo hivyohivyo usibariki watoto Kwa USAWA ilihali hawapo Sawa.

Mitoto mijeuri ipe ujeuri wao.
Wamama wajeuri wape kulingana na ujeuri wao.
Watoto wema wape mambo Mema
Wamama wema walipe Mema.
Hiyo ndio maana ya kuitwa Mwanaume, Mtawala wa Dunia.

Wanawake eleweni kuwa Mwanaume hapendelei isipokuwa anafanya Kwa Haki. Na haki ya mwanaume inahesabiwa Kwa kuangalia usikivu na utii wa mtoto au wa mkewe.

Kadiri usivyomtii na kumsikiliza Mwanaume ndivyo unavyojiweka Mbali naye. Hiyo ndio kanuni ya BABA.

Sio ajabu Baba akatoa Urithi na baraka kwa Mke mdogo au watoto wa nje zaidi kuliko watoto wa ndani kutokana na vile wanavyomheshimu na kumsikiliza.

Au sio ajabu mwanaume akatoa zaidi Huduma nje ikiwezekana Kwa MICHEPUKO yake Kwa sababu ndani ya familia yake hakuna anayemsikiliza na kumtii. Hachukuliwi Kama Mwanaume.

Wanawake ukitaka uzipige pesa za mwanaume basi itakupasa uwe mwanamke halisi, umheshimu na kumtii huyo mwanaume. Hiyo ndio Siri. Hii itamfanya mwanaume awe na deni kwako.

Kumzalia mwanaume hakumfanyi awe na deni kwako. Hata CHIZI anaweza kuzaa naye. Wanaume tunajiona wenye wajibu wa kutunza wanawake na watoto wote wanaotuheshimu na kututii hata Kama sio Wake zetu au watoto wetu WA kuwazaa.

Wanaume hatuoni wajibu na hatuna msukumo kutoka ndani kutunza majitu yasiyotuheshimu na kututii hata Kama ndoa hiyo ingefungishwa na Malaika wa mbinguni.

Hakuna mzigo mzito Kwa mwanaume Kama kulitunza limwanamke lisilo na heshima au litoto lisilo Mheshimu Baba yake. Taikon anaonelea ni Bora mwanaume huyo akafungwe jela kuliko kuhudumia watoto wasiomheshimu.

Wanawake eleweni kuwa, hakuna suala la Haki Sawa baina ya mtoto wa karibu na mtoto wa Mbali. Mtoto wa Mbali atapata Haki za Mbali. Mtoto wa karibu atapata Haki za karibu.

Ni Kama vile hakuna haki Sawa Baina ya Diaspora na mtu aliyepo nchini. Kuna mambo aliyeponchini atapata Favour huku aliyembali hatazipata.

Ukitaka Mtoto wako apate HAKi Sawa Kwa Baba yake basi mpeleke Kwa Baba yake akae na watoto wenzake.

Vijana msiwe laini kiasi cha kukubali kuvunjiwa heshima yenu Kama wanaume Kwa kisingizio chochote kile.

Chagua shule Lipa Ada, mtoto asome. Mwanamke asikuendeshe na akili za kijinga. Kama anataka shule nzuri na hauna uwezo nayo mwambie wazi hutolipia hata Mia moja.

Tafuta muda uwe unaongea na mwanao kumsaili na kupiga Stori za hapa na pale. Kama mama yake anazuia Jambo Hilo kisa hujafuata mfumo wake, piga wote chini. Usiogope. Zingatia watoto wanaakili, hasa watoto wa siku hizi. Hivyo wanauwezo wa kuchambua mbivu na mbichi.

Kamwe usiseme maneno mabaya yanayomhusu Mama Kwa mtoto. Eleza mazuri tuu ya mama Kwa mtoto wako, hayo mabaya ayaone yeye mwenyewe Kwa macho yake.

Wapo wanawake wanajibebesha mimba Kwa waume za Watu makusudically ili wapate unafuu wa Maisha.
Wanawake mlio kwenye ndoa mkiona mwanamke wa hivyo anakuingilia ndoani mwako wala asikupe presha, piga Spanner za kutosha iwe fundisho Kwa wengine.

Dhibiti uchumi wa Mwanaume/mumeo mpaka akose za kutuma nje. Alafu mwambie awalete watoto hao wa nje ulee wewe. Kama hataki mwambie hutaruhusu pesa yoyote itoke nje ya Familia.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Nakuunga mkono hoja nimezaa na mwanamke huko Arusha nikapata shule nzur ya bording asome akiwa darasa la nne wakanikatalia wakasema nao pia wanaweza kuzomesha kwa dharau kubwa wakanirudishiwa na mifugo niliyopeleka kumuomba mtot huyu sasa kilichotokea hata miezi hawajakatiza wameshindwa kana kulipa ada wakaanza usumbufu mkubwa Sana nawaonea had huruma

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Nakuunga mkono hoja nimezaa na mwanamke huko Arusha nikapata shule nzur ya bording asome akiwa darasa la nne wakanikatalia wakasema nao pia wanaweza kuzomesha kwa dharau kubwa wakanirudishiwa na mifugo niliyopeleka kumuomba mtot huyu sasa kilichotokea hata miezi hawajakatiza wameshindwa kana kulipa ada wakaanza usumbufu mkubwa Sana nawaonea had huruma

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app

Usiwe na huruma na watu wapumbavu.

Ukipata nafasi mara moja moja unaenda kumtembelea mtoto, unatafuta sehemu unakaa naye unapiga naye Stori.
Mnaenda Sokoni au dukani unamnunulia mahitaji yake Kam nguo nzuri za kubwa, viatu, vitu vya kuchezea labda baiskeli ya kuendesha kulingana na uwezo wako.

Peleka na Lita tano za Mafuta, kilo 25 ya mchele, waachie angalau 50,000/= walezi wake kama ni Mama yake au Bibi yake au mlezi. Sepa. Hii ni Kwa mtoto ambaye yupo mkoani/mbali Sana na wewe.

Kila mwisho WA wiki piga simu, tafuta mtu wa kumpelekea simu mzungumze na mwanao.

Wakikuzuia wawashie Moto.
 
Umesomeka Mkuu. Mada imetulia [emoji106] Wanawake wanatutegeshia sana ili upige mzigo mimba iingie kisha usumbufu uanze. Dawa ni kuwapiga spana mwanzo mwenga! Daadeki.
 
Wanawake bwana kwakuwa jamii imeamua kuwasikiliza na kuwatetea basi kila kitu kwao wanaona sawa tu unamlea mtoto mpaka anafika mkubwa unaambiwa sio mwanao na ushatumia gharama kumuhudumia halafu jina la cheti cha kuzaliwa kaandikwa mwengine.
 
Ungetumia nafsi yako wewe kama wewe ndo hulka yako kutaka kunyenyekewa kuabudiwa ili kutimiza majukumu yako hiyo ni gear tu ya kukwepa majukumu if i may ask kuna wanawake bado wanalamba miguu ya mwanaume ili alee damu yake?!

Woi ingekua mie bora mtoto asisome asile afe kuliko kujipendekeza kwa mtu ili alee damu yake never, treat eachother fairly sio utake mtu akunyenyekee akulambelambe like who do u think u are?!! Mtaoneaga hao hao i wonder kama bado wapo nimeandika kwa hasira sana sipendi uonevu kabisa.

Kwanini wewe usimnyenyekee wakati analea mtoto wako unahisi malezi ni hizo pesa tu? Kwanza kwa pesa gani hizo laki mbili tatu kwa mwezi ungekua unatoa milioni c ndo ungetaka uwe unamnyea mdomoni em acheni uonevu, kujikuta na arrogance kila mtu akae kwenye nafas yake atimize majukumu yake bila kutaka umungu meza mfyuuu
 
🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝
 
Ungetumia nafsi yako wewe kama wewe ndo hulka yako kutaka kunyenyekewa kuabudiwa ili kutimiza majukumu yako hiyo ni gear tu ya kukwepa majukumu if i may ask kuna wanawake bado wanalamba miguu ya mwanaume ili alee damu yake?! Woi ingekua mie bora mtoto asisome asile afe kuliko kujipendekeza kwa mtu ili alee damu yake never, treat eachother fairly sio utake mtu akunyenyekee akulambelambe like who do u think u are?!! Mtaoneaga hao hao i wonder kama bado wapo nimeandika kwa hasira sana sipendi uonevu kabisa. Kwanini wewe usimnyenyekee wakati analea mtoto wako unahisi malezi ni hizo pesa tu? Kwanza kwa pesa gani hizo laki mbili tatu kwa mwezi ungekua unatoa milioni c ndo ungetaka uwe unamnyea mdomoni em acheni uonevu, kujikuta na arrogance kila mtu akae kwenye nafas yake atimize majukumu yake bila kutaka umungu meza mfyuuu


SAFI SANA!
Kuliko unyenyekee lea mtoto wako pekeako. Hivyo ndivyo inatakiwa.

Huyo sio mume wako tena Kwa nini unyenyekee na umsumbue. Lea mwanao, huwezi mpe alee mwenyewe na sio msumbuane.

Mwanaume ni mungu
 
Mbona kama umeongea kwa jazba sana mkuu 🤣 relax ! isitoshe kwanini umuadhibu mtoto kwa ujeuri wa mamaye

Sasa Kama Mamaye anang'ang'ania kumlea mtoto unafikiri Baba atanyaje?

Mama Mpumbavu ni mzigo Kwa mwanaye, na mwana Mpumbavu ni mzigo Kwa mamaye.

Nadra Sana ukute mtoto Mwerevu na mwenye hekima aliyelelewa na Mama Mpumbavu. Nadra Sana.
 
Nakiri kuwa kumekuwa na changamoto za malezi baada ya wazazi kutengana lakini utatuzi kila upande unastahili lawama, na hatuwezi kulitatua hili kwa kuangalia au kuegemea upande mmoja bali tunatakiwa kubalance kila upande ili tupate muafaka.

Wapo wanawake wanaotumia watoto kama kitega uchumi Cha kuendesha maisha, pia wapo wanaume wanaotumia gharama za matunzo kama fimbo ya kumchapia mzazi mwenzie baada ya kutengana.

Kwa vyovyote vile kama juhudi za kuwafanyia waishi pamoja wanandoa au wazazi zimeshindikana basi kwa manufaa ya watoto wazazi na walezi wakae wajadiliane namna nzuri ya kuwahudumia watoto wao na kuhakikisha wanapata mahitaji yao ya kimsingi kama watoto wngine.

Si uungwana wala ubinadamu kuwaunganisha watoto kwenye ugomvi wa wazazi au walezi.

Masuala haya yanatakiwa busara na hekima kuyatatua sio jazba.
 
Shukrani sana mkuu,neno lako limenipa faraja,Mimi mwenyewe tumezinguana na wife na amerudi kwao,kisa namuambia mara kwa mara kuwa sufuria ya kupikia chakula inabidi ioshwe pia chini uvunguni,

Lakini yeye ataki kusikiliza, anakuwa mbishi, eti masufuria hayaoshwagi chini hasa Kwa sisi tunaotumia Kuni kupikia

Anaacha masufuria yanakuwa na masizi mpaka basi..,ukimuambia anaona unampelekesha

Ukishika tu sufuria mikono inajaa masizi.., nikaona huu ni upuuzi Sasa

Mwanaume aheshimiwe,hata kama kakuambia kitu ukaona akiwezekani wewe fanya Ili tuone kama kweli haliwezekani kuliko kuleta dharau
 
Nakiri kuwa kumekuwa na changamoto za malezi baada ya wazazi kutengana lakini utatuzi kila upande unastahili lawama, na hatuwezi kulitatua hili kwa kuangalia au kuegemea upande mmoja bali tunatakiwa kubalance kila upande ili tupate muafaka.

Wapo wanawake wanaotumia watoto kama kitega uchumi Cha kuendesha maisha, pia wapo wanaume wanaotumia gharama za matunzo kama fimbo ya kumchapia mzazi mwenzie baada ya kutengana.

Kwa vyovyote vile kama juhudi za kuwafanyia waishi pamoja wanandoa au wazazi zimeshindikana basi kwa manufaa ya watoto wazazi na walezi wakae wajadiliane namna nzuri ya kuwahudumia watoto wao na kuhakikisha wanapata mahitaji yao ya kimsingi kama watoto wngine.

Si uungwana wala ubinadamu kuwaunganisha watoto kwenye ugomvi wa wazazi au walezi.

Masuala haya yanatakiwa busara na hekima kuyatatua sio jazba.

Upande wa kulaumiwa lazima uwepo.

Mwenye jukumu la kutunza familia ndiye mwenye Familia. Mwenye jukumu la kutunza watoto ndiye mwenye watoto. Sijui Kwa nini dunia ya sasa watu wake wameamua kuwa wajinga kiasi hicho.

Uliwahi sikia Duniani kuna mwanaume amepeleka kesi mahakamani kuwa Mzazi mwenzake(wakike) hatoi pesa za matumizi Kwa mtoto? Jibu ni hapana.

Kama ni hivyo ili kuondoa hizi kero turudi Kama zamani. Mtoto alelewe na Baba. Ili kuondoa haya makelele ya kijingajinga.

Na Kama Mwanamke atang'ang'ania kuchukua watoto basi atakuwa na wajibu wa kutunza watoto wake bila kumsumbua Baba wa watoto.
 
Mbona kama umeongea kwa jazba sana mkuu [emoji1787] relax ! isitoshe kwanini umuadhibu mtoto kwa ujeuri wa mamaye
Wamama ndo huumiza watoto.

Saa zingine sisi twawatakia maisha mazuri ila wamama wanaharibu, na hawataki kuwaachia watoto tukae nao
 
Eti mi
SAFI SANA!
Kuliko unyenyekee lea mtoto wako pekeako. Hivyo ndivyo inatakiwa.

Huyo sio mume wako tena Kwa nini unyenyekee na umsumbue. Lea mwanao, huwezi mpe alee mwenyewe na sio msumbuane.

Mwanaume ni mungu
Usiite mtoto wake peke yake ni mtoto wenu wote na kila mmoja anawajibika katika malezi, yani garama ya wewe kulea damu yako ni kunyenyekewa na kuabudiwa kwa sababu ni mungu wa duniani yani ili utoe ela ya kusoma na kula ya mwanao basi nikuombe na kukubembeleza na kukulamba aloo nachemka damu sana kuna wanawake wanaonewa humu duniani natamani niwakusanye wooote niwatie akili njema wanaume wenye mentality ya kuabudiwa mara nyingi sana wanakua walitokea kwenye malezi duni, kuonewa na pengine kuwa abused kwa namna moja au nyingine so akipata misuli in terms of cash, education au status anakua anacompasate yale alopitia wakati yupo weak hii ni mostly sijasema wote wengine ni tabia kutokana na makuzi nk nk jamani naomba nisijibu tena maana nimepata kiwewe mnooo like waaaaaaat ulambwe miguu kuhudumia bao ulilotoa kwa kelele na madaha kama umechomwa kisu cha mgongoni no no way yani some of us tungeenda extra mile kuhakikisha tunakuja kukuajiri uwe chini yetu ingeshindikana mwana ngekufa njaa. Kwanza nikugugo
 
Back
Top Bottom