Wanawake, kama huwezi mtunza mtoto pelekeni kwa Baba zao. Msisumbue watu kwa upuuzi wenu

Wanawake, kama huwezi mtunza mtoto pelekeni kwa Baba zao. Msisumbue watu kwa upuuzi wenu

Mwanaume umuinue kiuchumi apate mafanikio , hasikumbuke kizazi chake akaonge nje Akatae kusomesha na kulea watoto wake unamnyenyekea wa nini

Unampoteza karma imtafune unaendelea na Maisha yako
Wewe hauna uwezo wa kumuinua mwanaume kiuchumi wala yeye hana uwezo wa kukufanya kuwa mke na mama bora wa familia. Unakuwa hivyo toka ulipotoka ila mkikutana ndipo hapo sasa jitihada zinaanza kuwa active.

Mwanamke bora, mke bora na mama bora wa familia huwa waanajidhihirisha pale tu anapokutana na mwanaume bora, mume bora na baba bora wa familia nje ya hapo akikutana na marioo atalia maisha yake yote. Na mwanaume akikutana na wadangaji na hawa wendawazimu atalalamika na kusema kila mstari wa Bible.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I wishi i cudu be an Aigipi! Ninyi waleta watoto duniani bila mpangilio mngenyooka, wote wame kwa wake. Wame kwa wake mngejifunza nini maana ya Condom na mngefundishana kuvaa. Hii nchi tunachekeana mno!

Mt.omban. msikie raha, mmoja apate mimba alete mtoto duniani halafu muanze danadana! Aiseee!

Mngehesabiwa sensa na wote vipato vyenu vingejulikana na mngechangia malezi ya mtoto bila excuses, kama wewe unakula mtoto atakula na kama unavaa mtoto atavaa. Kwa hili tusingeelewana aisee, Mbona nchi za wazungu wameweza, Kama baba/mama ana afya na akili timamu anapaswa kuchangia malezi ya mtoto aliyeshiriki kumleta duniani.

Serikali ingeshughulika na watoto yatima tu, watoto ambao wazazi wao wapo hai mngelea hata kwa viboko, ngono mnapenda, kulea zinaanza siasa.!??

Yeyote mwenye mtoto angefanya kazi hata kwa mijeledi apate kipato cha kuhudumia mtoto wake, yaani! I wish i could be an IGP!
Ulaya huko sasa hivi wanaume unakuta mtu ana miaka 50 ana mamilioni bank, ana kampuni 10 na ni CEO wa kila kampuni ana apartment nzuri ya kisasa ana gari sita garage ila hataki kusikia kitu kinachoitwa Ndoa wala kuwa na familia ya mke na watoto sababu wanawake wao ni vichaa wanakugeuka mara mambo yakishakaa kwenye mstari ili wapate benefits.

Sasa hizo sheria ndo ziletwe bongo walahi mtawaponza wanawake wote maana hakuna mwanaume ataoa na hakuna mwanaume atataka kuzaa wala kuwa na mtoto unless muandikishiane mahakamani kuwa hatohusika kwa lolote au atakaa na mtoto yeye [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hij vita mlianzisha ninyi wanawake kwa kutotii vitabu vya MUNGU leo hii madhara yanaanza tena kuwarudia.

Miaka si mingi kutoka sasa watoto wenu wa kike watalipia madhambi ya viburi vyenu hivi maana hiki kizazi cha wanaume wa haki sawa a.k.a 50/50 mlichokizalisha kwa makelele yenu ya Beijing kimeshaanza kuota ndevu na kinatekeleza exactly ambacho tumekuwa tukiwaonya kuwa mwanaume na mwanamke si sawa na mwanaume anatakiwa kumuongoza mwanamke nyie mkasema hapana MUNGU alikosea wacha tumrekebishe.

Haya juzi kuna dada Twitter alikuwa analalamika mume wake kuna mashoga mawili yamemshika kichwa anayahudumia na kuspend nayo mahaba nayo.

Hebu imagine tumefikaje hapa mwanamke anashindana na mwanaume anayejifanya mwanamke kugombania mume wake wa Ndoa ambaye amepata nae watoto?

Feminism imekuja kuwaharibia sasa endeleeni kusapoti idea zao. Huko mbele mabinti zenu watalia kwenye makaburi yenu wakiwalaani kwa kutosikiliza maagizo ya MUNGU kwenye vitabu vyake.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
WANAWAKE KAMA HUWEZI KUMTUNZA MTOTO PELEKENI KWA BABA ZAO. MSISUMBUE WATU KWA UPUUZI WENU!

Anaandika, Robert Heriel

Unang'ang'ania kuishi na mtoto alafu huna uwezo wa kumtunza huo si upuuzi.

Kama huwezi kumtunza Mtoto na unapenda kuishi naye basi kuwa na adabu, kuwa humble Kwa Baba WA mtoto, hakuna mwanaume ambaye ni mkorofi Kwa mwanamke mwenye adabu au mnyenyekevu. Sijawahi kuona mwanaume wa hivyo. Sisi wanaume tunaupendo mara elfu zaidi kuliko ninyi wanawake, tunajali na kuthamini lakini kama heshima yetu itazingatiwa. Lakini Sisi ni makatili, washenzi, wakora Kwa watu wasiotuheshimu.

Linapokuja suala la heshima kwetu tupo tayari kupoteza vyote ikiwezekana uhai. Tupo Radhi kufukuza Mke, watoto na wote ambao hawatuheshimu. Ndivyo tulivyo. Hiyo ni kanuni yetu ya Asili Aliyotupa Muumba.

Eleweni kuwa Mtoto akiishi na Mama Mkorofi asiye na adabu tunamchukulia Kama mwanampotevu, yaani yupo nje ya Mfumo hata Kama ni mtoto wetu.

Eleweni kuwa kadiri mnavyokuwa Wakorofi na wajeuri ndivyo tunavyozidi kuwapuuza ninyi na watoto wenu.
Kumbuka, Mama Mpumbavu ni mzigo mwa Mwanaye Kama ilivyo mwana Mpumbavu alivyomzigo Kwa Mamaye.

Wanaume tunafalsafa zinazotuongoza, mojawapo ni hii, Mwanamke asipotuheshimu na akitudharau tunaamini kuwa hata mitoto yake aliyoizaa Asilimia kubwa haitatuheshimu na itatudharau.

Hatuoni shida kutelekeza Mama jeuri na mitoto yake hata Kama watoto hawana kosa. Lakini kitendo cha kulelewa na Mama jeuri na korofi tunaamini hilo toto litafuata tabia za Mama yake.

Vijana, msiogope kufanya maamuzi magumu Kama Mwanamke hakuheshimu, anakudharau na ni korofi. Ninaongea nikiwa ninauhakika na kile nikisemacho. Ninaushahidi wa kutosha dhidi ya wanaume wanaoteswa na watoto wao kisa kulelewa na mimama ya hovyo.

Mwanaume wewe ndiye mungu hapa Duniani. Wewe ndiye unayeamua mtoto gani umbariki na yupi usimbariki kulingana na tabia za watoto na Mama zao. Zingatia mara nyingi tabia za watoto huendekezwa na Wamama.

Kama vile Mungu anavyotubariki bila USAWA ndivyo hivyohivyo usibariki watoto Kwa USAWA ilihali hawapo Sawa.

Mitoto mijeuri ipe ujeuri wao.
Wamama wajeuri wape kulingana na ujeuri wao.
Watoto wema wape mambo Mema
Wamama wema walipe Mema.
Hiyo ndio maana ya kuitwa Mwanaume, Mtawala wa Dunia.

Wanawake eleweni kuwa Mwanaume hapendelei isipokuwa anafanya Kwa Haki. Na haki ya mwanaume inahesabiwa Kwa kuangalia usikivu na utii wa mtoto au wa mkewe.

Kadiri usivyomtii na kumsikiliza Mwanaume ndivyo unavyojiweka Mbali naye. Hiyo ndio kanuni ya BABA.

Sio ajabu Baba akatoa Urithi na baraka kwa Mke mdogo au watoto wa nje zaidi kuliko watoto wa ndani kutokana na vile wanavyomheshimu na kumsikiliza.

Au sio ajabu mwanaume akatoa zaidi Huduma nje ikiwezekana Kwa MICHEPUKO yake Kwa sababu ndani ya familia yake hakuna anayemsikiliza na kumtii. Hachukuliwi Kama Mwanaume.

Wanawake ukitaka uzipige pesa za mwanaume basi itakupasa uwe mwanamke halisi, umheshimu na kumtii huyo mwanaume. Hiyo ndio Siri. Hii itamfanya mwanaume awe na deni kwako.

Kumzalia mwanaume hakumfanyi awe na deni kwako. Hata CHIZI anaweza kuzaa naye. Wanaume tunajiona wenye wajibu wa kutunza wanawake na watoto wote wanaotuheshimu na kututii hata Kama sio Wake zetu au watoto wetu WA kuwazaa.

Wanaume hatuoni wajibu na hatuna msukumo kutoka ndani kutunza majitu yasiyotuheshimu na kututii hata Kama ndoa hiyo ingefungishwa na Malaika wa mbinguni.

Hakuna mzigo mzito Kwa mwanaume Kama kulitunza limwanamke lisilo na heshima au litoto lisilo Mheshimu Baba yake. Taikon anaonelea ni Bora mwanaume huyo akafungwe jela kuliko kuhudumia watoto wasiomheshimu.

Wanawake eleweni kuwa, hakuna suala la Haki Sawa baina ya mtoto wa karibu na mtoto wa Mbali. Mtoto wa Mbali atapata Haki za Mbali. Mtoto wa karibu atapata Haki za karibu.

Ni Kama vile hakuna haki Sawa Baina ya Diaspora na mtu aliyepo nchini. Kuna mambo aliyeponchini atapata Favour huku aliyembali hatazipata.

Ukitaka Mtoto wako apate HAKi Sawa Kwa Baba yake basi mpeleke Kwa Baba yake akae na watoto wenzake.

Vijana msiwe laini kiasi cha kukubali kuvunjiwa heshima yenu Kama wanaume Kwa kisingizio chochote kile.

Chagua shule Lipa Ada, mtoto asome. Mwanamke asikuendeshe na akili za kijinga. Kama anataka shule nzuri na hauna uwezo nayo mwambie wazi hutolipia hata Mia moja.

Tafuta muda uwe unaongea na mwanao kumsaili na kupiga Stori za hapa na pale. Kama mama yake anazuia Jambo Hilo kisa hujafuata mfumo wake, piga wote chini. Usiogope. Zingatia watoto wanaakili, hasa watoto wa siku hizi. Hivyo wanauwezo wa kuchambua mbivu na mbichi.

Kamwe usiseme maneno mabaya yanayomhusu Mama Kwa mtoto. Eleza mazuri tuu ya mama Kwa mtoto wako, hayo mabaya ayaone yeye mwenyewe Kwa macho yake.

Wapo wanawake wanajibebesha mimba Kwa waume za Watu makusudically ili wapate unafuu wa Maisha.
Wanawake mlio kwenye ndoa mkiona mwanamke wa hivyo anakuingilia ndoani mwako wala asikupe presha, piga Spanner za kutosha iwe fundisho Kwa wengine.

Dhibiti uchumi wa Mwanaume/mumeo mpaka akose za kutuma nje. Alafu mwambie awalete watoto hao wa nje ulee wewe. Kama hataki mwambie hutaruhusu pesa yoyote itoke nje ya Familia.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Liko limoja lishenzi kule Shinyanga niliamua niliache litunze mtoto lenyewe nione litaishia wapi, shenzi kabisa yule mwanamke... Fikiria kutoka mimba mpaka leo linatukana matusi na sasa ni miaka 7,likipata shida linanitafuta Kwa upole eti nilisaidie, nilishaapa halitalamba hata mia yangu tena, kitu nilikua nalihudumia lakini linanitusi, nikakata misaada na mawasiliano,

Wajinga sana
 
Mpumbavu mama yako mzazi na baba yako mzazi. Ulitakiwa kujikita kwenye hoja
Usitukanie wazazi sasa huko utakuwa unakosea hata kama amekukwaza au kakutukana malizana nae yeye ila kumtumkania mtu mzazi wake si jambo la hekima.

Hivi wakikuletea baba na mama yake hapo mbele yako wakwambie uwaambie kuwa wao ni wapumbavu utawatamkia hayo maneno?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sometimes ni better kunyamaza not to expose the level of ur stupidity dear na hayo sio mapovu huo ni mtazamo wangu wewe ulitakiwa kuleta wako. Balehe uzeeni zinasumbua sana mtu unakua kama una makamasi kwenye ubongo smh
Jaribu kushusha jazba. Mwanamke mwenye hekima huwa haweki hasira kifuani kwake anatumia utulivu na hekima kuongea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Liko limoja lishenzi kule Shinyanga niliamua niliache litunze mtoto lenyewe nione litaishia wapi, shenzi kabisa yule mwanamke... Fikiria kutoka mimba mpaka leo linatukana matusi na sasa ni miaka 7,likipata shida linanitafuta Kwa upole eti nilisaidie, nilishaapa halitalamba hata mia yangu tena, kitu nilikua nalihudumia lakini linanitusi, nikakata misaada na mawasiliano,

Wajinga sana


😀😀

Mkuu adhabu pia zina muda, Kama umemuadhibu vya kutosha na kanyooka unaweza endeleza Huduma.
Ila sikupangii Kaka
 
(unyenyekevu na utiii) unauhakika ivyo vitu we uko navyo? Yaan unataka unyenyekewe ndio ulee mwanao unajikuta nani? ( Mwanaume) ili neno sio lahis kihasi icho embu sikia uyo mwanamke unaemzungumzia Apo sio mke au mama wa watoto wako bali Ni mtumwa kwa bosi wake binafs siwez kunyenyekea mtu au kuvumilia upumbavu kisa kubembeleza mtu kulea mwanae

Mwanaume niyule anaetambua Nini anatakiwa kufanya mwanaume wakwel hawez kutesa damu yake kisa mwanamke pia mwanaume wa kwel hakimbilii michepuko ili kupata furaha aliyeikosa kwa mkew

Mwanaume niyule anaesimama Kama baba na mme pia kichwa Cha familia ukiwa baba
Acheni kudhan pesa ndio kila kitu kwenye malez
Unaitaj kunyenyekewa ikiwa ww ata mungu wako anaekupa pumz,afya ,na izo Mali bule bila malipo huwz kumnyenyekea na kumtii? Em naww unajiita mwanaume shwain ww wanaume wote wenyeakili timamu wapo na familia zao na wamesimama Kama kichwa na nguzo ya familia iyo

Towen ushamba na ujuwaj wa ijinga et ninyenyekee na unitii ili niwaudumie ukiwa Kama nan? Mungu au tengeneza upendo na mipaka ya ww na familia yako vizur kila mtu atakutii usitake utiifu wa lazm

Af unakuta povu lote ni niwale wavunala tuu wasiojua nn maana ya familia kuwa mwanaume af uone Kama vyote ivyo huta vipata et mwanaume unamjua mwanaume ww ungemjua ungelekebisha uyo kaul yako ya kusujudiwa
Mbona kama una ajenda yako nje ya mada? Kwasababu nunachokisema ni kile kile ambacho kinakemewa.

Kuna mwanaume ambaye anakutana na mwanamke mtiifu na mnyenyekevu (submissive) halafu ampuuze na kumdharau kwa makusudi ? Huyo sio mwanaume ni mvulana aliyekuwa mtu mzima.

Ni hizi mentality za mashindano ndizo ambazo huwaletea vita katika maisha yenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani wewe unamfundisha mkeo kuosha vyombo? Huna mambo mengine? Baada ya kumuelekeza ukaona hakuelewi ungeachana nalo hilo jambo....unapoingia ndoani unatakiwa ujue kuwa mnakutana watu wawili wenye malezi tofauti na ujifunze kukubaliana na hizo tofauti
Mbona yeye mwanamke ameshindwa kukubaliana na tofauti ya mwenzake.


Kwahiyo wewe unaona swala la vyombo kuwa vichafu ni swala la kuoverlook na kupuuza?

Tumia akili ya kawaida tu, huyo mwanamke akijapata mabinti atawafundisha nini kuhusu usafi wa nyumba kama akimbiwa au kuhojiwa anakasirika?

Wanaume wapo serious sana na swala la familia sababu watoto wakiharibika lawama ni kwake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Samcezar Ndugu nisome unielewe, Mimi sina tatizo na mwanaume kutokuzaa, au mwanamke kutokuzaa nina tatizo na watu wawili kuleta mtoto duniani then wanaanza kupiga danadana katika malezi.

My point is, kama mtoto yuko kwa baba, mama achangie malezi, na kama mtoto yuko kwa mama baba achangie malezi sababu walifanyana wakampata huyo mtoto wamlee. Sheria kali za wenzetu zinaleta discipline na commitment katika malezi ili kama inawezekana watu wazae kwa adabu, ama waamue kutokuzaa kabisa.

Navutia ngoma kwa watoto sababu wao ndio victim namba moja katika hili na hawana hatia, Wenzetu wameweza ndio maana rate ya watoto wa mitaani ni ndogo sana, watoto waliopo mitaani wengi wao ni yatima, tofauti na huku kwetu ambapo watoto wa mitaani wengi tu wana wazazi ila wametelekezwa, baba amemtelekeza mama, mama anamtelekeza mtoto kwa bibi, na mtoto akiona kwa bibi maisha hayaeleweki na ye anaingia mtaani. Na ye atazaa na binti wa mtaani and the circle goes on.

hayo masuala ya wanaume kutembea na wanaume wenzao si jambo langu, Sawasawa?

Kuhusu feminism, dunia haijawahi kuwa static, inabadilika kila siku hivyo hata wanawake hawawezi kuwa submissive milele inabidi tuzoee hilo. Hakuna anayeweza kuizuia dunia kubadilika.
 
Hapana ndugu....

Kinachotazamwa hapa ni namna ambavyo vijana wa kiume au baba anapaswa kuwajibika katika suala la malezi ya mtoto wake........

Kugombana na kurushiana maneno machafu na mama wa mtoto hakumnyimi mtoto stahiki kwa baba yake.... ugomvi wa wazazi haufai kuhusishwa na watoto.......

Hata kama umegombana na mzazi mwenzako basi angalia namna ya kumtunza mtoto wako.......

NB;
Huu ni mjadala tu na kila anaweza kutoa maoni na mtazamo kwa kadri anavyotafakari.......hata wewe unaweza ukachangia na kutafautiana na wengine pasi na kutoa lugha za matusi au kuvunjiana heshima........
Kumradhi kama kuna sehemu nimeonyesha kwa namna yoyote kukosea heshima haikuwa nia yangu.

Tukirejea kwenye mada ni kwamba kuna swala la mahusiano ambayo msingi wake ni malengo ya kuishi pamoja na kujenga familia ya kukuza watoto ambao baadae watakuja kuwa raia bora wa kujenga taifa. Kinyume chake ni kujenga taifa la watu wenye traumatized experience, akili zisizozingatia utu kwanza, tamaa mbele, ubinafsi, dharau kwa mamlaka kuu na zinginezo.

Kimisingi hapa mada inalenga kuibua changamoto ya aina ya wanawake ambao huona mahusiano kama kilinge au eneo la kushindana na mwanaume na kumtumia mtoto kama silaha ya kumcontrol huyu baba mtoto ila ndani ya nafsi zao wanajua wanamapepo yao ambayo wamebebelea kutoka miaka ya shule na chuo ambayo yanawazuia kutulia na kulea familia, kuolewa na kuwa mke wa mtu kwa heshima.

Hawa ndio tunawazungumzia na tunategemea wanaume wawajue na kuwakalia mbali wasithubu kupata nao watoto waishi kishetani wafe na DNA zao zipotee zigeuke mbolea ili watoto wetu wawe salama hawa mashetani wasijekuwa mama zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumradhi kama kuna sehemu nimeonyesha kwa namna yoyote kukosea heshima haikuwa nia yangu.

Tukirejea kwenye mada ni kwamba kuna swala la mahusiano ambayo msingi wake ni malengo ya kuishi pamoja na kujenga familia ya kukuza watoto ambao baadae watakuja kuwa raia bora wa kujenga taifa. Kinyume chake ni kujenga taifa la watu wenye traumatized experience, akili zisizozingatia utu kwanza, tamaa mbele, ubinafsi, dharau kwa mamlaka kuu na zinginezo.

Kimisingi hapa mada inalenga kuibua changamoto ya aina ya wanawake ambao huona mahusiano kama kilinge au eneo la kushindana na mwanaume na kumtumia mtoto kama silaha ya kumcontrol huyu baba mtoto ila ndani ya nafsi zao wanajua wanamapepo yao ambayo wamebebelea kutoka miaka ya shule na chuo ambayo yanawazuia kutulia na kulea familia, kuolewa na kuwa mke wa mtu kwa heshima.

Hawa ndio tunawazungumzia na tunategemea wanaume wawajue na kuwakalia mbali wasithubu kupata nao watoto waishi kishetani wafe na DNA zao zipotee zigeuke mbolea ili watoto wetu wawe salama hawa mashetani wasijekuwa mama zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika ndugu......

Lakini makosa uliyokosea wewe hayapaswi kumkabili mtoto kwa namna moja au nyingine......iwe mmemzaa kwa bahati mbaya au makusudi lakini nyinyi kama wazazi mnapaswa kuwajibika kwa matokeo ya kitendo chenu........
 
[emoji3][emoji3]

Mkuu adhabu pia zina muda, Kama umemuadhibu vya kutosha na kanyooka unaweza endeleza Huduma.
Ila sikupangii Kaka
Halijanyooka, lijinga kabisa lina matusi kama linaishi mitaani
 
Ulaya huko sasa hivi wanaume unakuta mtu ana miaka 50 ana mamilioni bank, ana kampuni 10 na ni CEO wa kila kampuni ana apartment nzuri ya kisasa ana gari sita garage ila hataki kusikia kitu kinachoitwa Ndoa wala kuwa na familia ya mke na watoto sababu wanawake wao ni vichaa wanakugeuka mara mambo yakishakaa kwenye mstari ili wapate benefits.

Sasa hizo sheria ndo ziletwe bongo walahi mtawaponza wanawake wote maana hakuna mwanaume ataoa na hakuna mwanaume atataka kuzaa wala kuwa na mtoto unless muandikishiane mahakamani kuwa hatohusika kwa lolote au atakaa na mtoto yeye [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hij vita mlianzisha ninyi wanawake kwa kutotii vitabu vya MUNGU leo hii madhara yanaanza tena kuwarudia.

Miaka si mingi kutoka sasa watoto wenu wa kike watalipia madhambi ya viburi vyenu hivi maana hiki kizazi cha wanaume wa haki sawa a.k.a 50/50 mlichokizalisha kwa makelele yenu ya Beijing kimeshaanza kuota ndevu na kinatekeleza exactly ambacho tumekuwa tukiwaonya kuwa mwanaume na mwanamke si sawa na mwanaume anatakiwa kumuongoza mwanamke nyie mkasema hapana MUNGU alikosea wacha tumrekebishe.

Haya juzi kuna dada Twitter alikuwa analalamika mume wake kuna mashoga mawili yamemshika kichwa anayahudumia na kuspend nayo mahaba nayo.

Hebu imagine tumefikaje hapa mwanamke anashindana na mwanaume anayejifanya mwanamke kugombania mume wake wa Ndoa ambaye amepata nae watoto?

Feminism imekuja kuwaharibia sasa endeleeni kusapoti idea zao. Huko mbele mabinti zenu watalia kwenye makaburi yenu wakiwalaani kwa kutosikiliza maagizo ya MUNGU kwenye vitabu vyake.



Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona umeandika kama vile ndoa zisipokuwepo atakayepata hasara ni mwanamke tu?
 
Kwahiyo kwa maneno yako unakiri kabisa tena wazi wazi kuwa wanawake wanakauzembe wanakofanya na kanasababisha kubemenda mahusiano. Ila unachagua kupuuza negligence ya mwanamke halafu unataka mwanaume awajibishwe kwa negligence za mwanamke?!

Hii inaelezea ni kwann sasa kunaongezeko la watoto wasio na maadili, ushoga, watoto wanaopata watoto katika umri mdogo huko uswazi, ongezeko la single mothers kwenye jamii, uvivu, ubadhirifu na aina zingine za ukosefu wa maadili.

Sababu mwanamke kaamua kulanduka kwa masilahi yake binafsi yasiyo ya kijamii. Na hii haipo Tanzania tu bali afrika na Duniani kote. WANAWAKE wa kiafrika ndio main character wa hii movie ya uharibifu. Fuatilia utakuja nambie usije sema mimi naongea kwa chuki ndugu. Mimi nafuatilia sana haya mambo nilikiwa namba one advocate wa mahusiano nikitetea mwanamke kwa kumpa benefit ya doubt bila kutazama faults zao.

Ila miaka ya karibuni nikatenga muda na kuchunguza wanawake wengine wanaopitia manyanyaso, kuvunjika mahusiano au kuwa na watoto bila ndoa au mume huwa nyuma yao kuna story ambayo inawahusu na hawapo tayari mtu yoyote ajue au iletwe public. Na jamii imewakuza ikiwaaminisha kuwa wao ni sahihi kukosea na kufukia madhambi yao na mwanaume atakaejitokeza kubeba misalaba yao basi ni wakutukuzwa kama mwanaume bora na shujaa wa jamii jambo ambalo si sahihi na jamii imeliendekeza na kuwapa sababu hawa wanawake kuendelea kukosea na wanaume waharibifu kupata ulimwengu wa kuiachia na kusababisha wanaume wachache wenye discipline ya maisha kukosa wanawake wa kujenga nao hii dunia na kuimarisha jamii ili na sisi jamii ya mtu mweusi tupige hatua kama wenzetu wachina, waarabu na wazungu.

Acheni kutetea mambo ya kishetani msiyojua hatima yake huko baadae. Hapa sisi tunapikemea hapa ili kuokoa kizazi kijacho na ushoga, umalaya, udangaji, ujambazi, usaliti, ufisadi, viongozi takataka kama Hawa wa Tozo, na aina zinginezo za ufala katika maisha ya jamii ya mtu mweusi.

Kaeni kimya kama hamna la kuchangia badala ya kuja hapa kuzima moto wa kuchoma huu uharibifu as if jamii inafaidika nao.



Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo pamoja na wewe lakini hutakiwi ku give up kwa mtoto wako kama baba ukikata tamaa na mwanao apo ndo utatengeneza vizazi vya ajabu kama hao mashoga inatakiwa upambane na mwanao kibishi itafika time ataelewa tu na ukikaa pembeni kumbuka hata kama umemnawa mtoto ila aibu itarudi tu kwenye jina lako

Me nimemuelewa mzee wangu badae sana na nakubali sana maamuzi yake ya kutokata tamaa na watoto zake japo kua kuna vitu alikua anatumezesha bimkubwa vilikua poison ya maana lait kama mzee ange give up kuhusu sisi watoto zake mpaka leo hii ningekua namchukia mzee ila ni mtu ambaye naishi nae poa sana sahiz

Kiukweli wanawake wanazingua [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Wewe hauna uwezo wa kumuinua mwanaume kiuchumi wala yeye hana uwezo wa kukufanya kuwa mke na mama bora wa familia. Unakuwa hivyo toka ulipotoka ila mkikutana ndipo hapo sasa jitihada zinaanza kuwa active.

Mwanamke bora, mke bora na mama bora wa familia huwa waanajidhihirisha pale tu anapokutana na mwanaume bora, mume bora na baba bora wa familia nje ya hapo akikutana na marioo atalia maisha yake yote. Na mwanaume akikutana na wadangaji na hawa wendawazimu atalalamika na kusema kila mstari wa Bible.

Sent using Jamii Forums mobile app


Pumba
 
Ulaya huko sasa hivi wanaume unakuta mtu ana miaka 50 ana mamilioni bank, ana kampuni 10 na ni CEO wa kila kampuni ana apartment nzuri ya kisasa ana gari sita garage ila hataki kusikia kitu kinachoitwa Ndoa wala kuwa na familia ya mke na watoto sababu wanawake wao ni vichaa wanakugeuka mara mambo yakishakaa kwenye mstari ili wapate benefits.

Sasa hizo sheria ndo ziletwe bongo walahi mtawaponza wanawake wote maana hakuna mwanaume ataoa na hakuna mwanaume atataka kuzaa wala kuwa na mtoto unless muandikishiane mahakamani kuwa hatohusika kwa lolote au atakaa na mtoto yeye [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hij vita mlianzisha ninyi wanawake kwa kutotii vitabu vya MUNGU leo hii madhara yanaanza tena kuwarudia.

Miaka si mingi kutoka sasa watoto wenu wa kike watalipia madhambi ya viburi vyenu hivi maana hiki kizazi cha wanaume wa haki sawa a.k.a 50/50 mlichokizalisha kwa makelele yenu ya Beijing kimeshaanza kuota ndevu na kinatekeleza exactly ambacho tumekuwa tukiwaonya kuwa mwanaume na mwanamke si sawa na mwanaume anatakiwa kumuongoza mwanamke nyie mkasema hapana MUNGU alikosea wacha tumrekebishe.

Haya juzi kuna dada Twitter alikuwa analalamika mume wake kuna mashoga mawili yamemshika kichwa anayahudumia na kuspend nayo mahaba nayo.

Hebu imagine tumefikaje hapa mwanamke anashindana na mwanaume anayejifanya mwanamke kugombania mume wake wa Ndoa ambaye amepata nae watoto?

Feminism imekuja kuwaharibia sasa endeleeni kusapoti idea zao. Huko mbele mabinti zenu watalia kwenye makaburi yenu wakiwalaani kwa kutosikiliza maagizo ya MUNGU kwenye vitabu vyake.



Sent using Jamii Forums mobile app
Wagonjwa wa Akili mpo wengiiii,
Nyie sasa mkamatwe kwa nguvu mmezeshwe dawa.
 
Back
Top Bottom