Wanawake, kama huwezi mtunza mtoto pelekeni kwa Baba zao. Msisumbue watu kwa upuuzi wenu

Wanawake, kama huwezi mtunza mtoto pelekeni kwa Baba zao. Msisumbue watu kwa upuuzi wenu

Eti mi

Usiite mtoto wake peke yake ni mtoto wenu wote na kila mmoja anawajibika katika malezi, yani garama ya wewe kulea damu yako ni kunyenyekewa na kuabudiwa kwa sababu ni mungu wa duniani yani ili utoe ela ya kusoma na kula ya mwanao basi nikuombe na kukubembeleza na kukulamba aloo nachemka damu sana kuna wanawake wanaonewa humu duniani natamani niwakusanye wooote niwatie akili njema wanaume wenye mentality ya kuabudiwa mara nyingi sana wanakua walitokea kwenye malezi duni, kuonewa na pengine kuwa abused kwa namna moja au nyingine so akipata misuli in terms of cash, education au status anakua anacompasate yale alopitia wakati yupo weak hii ni mostly sijasema wote wengine ni tabia kutokana na makuzi nk nk jamani naomba nisijibu tena maana nimepata kiwewe mnooo like waaaaaaat ulambwe miguu kuhudumia bao ulilotoa kwa kelele na madaha kama umechomwa kisu cha mgongoni no no way yani some of us tungeenda extra mile kuhakikisha tunakuja kukuajiri uwe chini yetu ingeshindikana mwana ngekufa njaa. Kwanza nikugugo
Wewe utakuwa umelelewa na singomaza. Pia na wewe ni singomaza au unaelekea kuwa singomaza.
Hujui nini maana ya mwanamme.
 
Mimi nimelelewa na mama na wadogo zangu, ila kila likizo tulikuwa tunaenda kwa baba,mama yangu ni mtata mno ukichanganya alikuwa askar ndioo balaa

Yaan hiyo likizo ilikuwa na ratiba yake siku tatu kwa baba siku zilizobak kwa bibi mzaa baba...km mzee anataka tukae kwake likizo mwezi mzima ilikuwa sharti bibi mzaa baba aje tukae nae kwa baba au ndugu upande wa baba hasa ma aunt( hapa dogo alikuwa anamiaka 3,mwingine 6 mimi 9) hilo sharti lilikuwa kipaumbele cha bmkubwa ikitokea akijua tulikaa wenyew kw dingi na maza mdogo bila ndugu kuwepo bac inaweza pita miaka hata miwili bila kwenda kwa mzee( watoa taarifa ni madogo na ma aunt coz alikuwa ana bond nao kubwa mpaka sasa. kwamba tulikaa wenyew)

Bimkubwa wangu alikuwa mtata sana ila sijawahi sikia wanagombana masuala ya matunzo wala ada,mzee alimwachia nyumba bmkubwa alafu sijawahi sikia wakipondeana.. japo bmkubwa alikuwa anajifanya nunda anakomaa kutulipia ada mwenyew na huku tukitoka likizo tunafedha za mzee...yaan mashindano yao kiukweli sisi watoto tulifaidika mno(tulikuwa tunanunuliwa makolokolo mengi)

Mzee alikuwa anatuma hela kwenye acc ya bimkubwa,uzuri bmkubwa alikuwa anasema baba yenu kawatumia hela zenu( kwetu shangwe) zikiwa nyingi alikuwa anatununulia mashamba( sasa hivi ni viwanja kisasa mbuyuni-Dodoma na ilazo dodoma kila mtu now anavyo viwili viliwi)

Ila kuanzia kidato cha tatu bmkubwa ndio aliacha kutufuatilia tukiwa kwa Mzee akawa ananiambia waongoze wadogo zako huko kwa mama yenu mdogo ushajua baya na zur hata mkiwa wenyew bila bibi yenu..

Japo mzee amefariki sasa ishapita miaka mitatu ila kutengana na bmkubwa toka 1997 ila walikuwa wanaheshimiana sn,faza mtu wa stor na vituko sana..walikuwa wanapiga stor na kushauriana mambo mengi yaan mpaka tumekuwa watu wazima hatujawahi ona wakifokeana zaid ya kupewa taarifa tu nimeongea na baba yenu leo au nliongea na mama yenu..

Bimkubwa yeye baada ya kuachana aliishi mwenyew mpaka sasa..mzee alioa na kubahatika kupata watoto wawili kwa maza mdogo..

Maza mdogo tunaishi nae vizur tu,tunashirikiana mambo mengi,hata ivyo mzee alimwachia msingi mzur...ila na yeye pia ni mpganaji km bimkubwa ...(urithi haujasumbua maana mzee aligawaga urithi akiwa hai yaan kila familia ilijua vitu vyake mpaka ukoo wa mzee ulishirikishwa )

Hawa vijana wa sasa hivi wanafanya ligi na wanawake [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

[emoji706][emoji706][emoji706]
 
ni vyema ungemaliza kusoma kwanza kisha uka-comment, tabia hii ya kukurupuka kujibu kabla ya kuelewa kitu gani kinazungumzwa imepelekea kuzalisha single mother wengi sana kama ww.
Hahahaha sema kweli?
 
Mada ni nzuri na ina fact nyingi but hili swala ni pana mno na wengi wamejificha humo kwenye migogoro kutotunza watoto...Wapo wanaokwepa majukumu kisingizio heshima na wapo wanawake wanaokosesha huduma za watoto kwa kushindwa kuweka mahusiano mazuri ya baba mama na watoto....but mimi nimelelewa na mama mjane i can c jinsi baba wadogo walivyokwepa jukumu kwa kutafuta sababu....but ishu c heshima wapo watu wasioweza kubeba majukumu hata wakiabudiwa...now na mimi ni baba mlezi kwa watoto wa mtu mwingine naziona sababu ni tofauti na za kukua kwangu....tusambaze upendo dunia iwe nzuri
 
Mada ni nzuri na ina fact nyingi but hili swala ni pana mno na wengi wamejificha humo kwenye migogoro kutotunza watoto...Wapo wanaokwepa majukumu kisingizio heshima na wapo wanawake wanaokosesha huduma za watoto kwa kushindwa kuweka mahusiano mazuri ya baba mama na watoto....but mimi nimelelewa na mama mjane i can c jinsi baba wadogo walivyokwepa jukumu kwa kutafuta sababu....but ishu c heshima wapo watu wasioweza kubeba majukumu hata wakiabudiwa...now na mimi ni baba mlezi kwa watoto wa mtu mwingine naziona sababu ni tofauti na za kukua kwangu....tusambaze upendo dunia iwe nzuri
Wow!
Hongera sana wewe ni Mwanaume wa Shoka sasa uwe Mwalimu wa kuwaelekeza wakina ROBERT HERIEL waache kupiga dana dana kwenye kulea Watoto zao.
 
Mada ni nzuri na ina fact nyingi but hili swala ni pana mno na wengi wamejificha humo kwenye migogoro kutotunza watoto...Wapo wanaokwepa majukumu kisingizio heshima na wapo wanawake wanaokosesha huduma za watoto kwa kushindwa kuweka mahusiano mazuri ya baba mama na watoto....but mimi nimelelewa na mama mjane i can c jinsi baba wadogo walivyokwepa jukumu kwa kutafuta sababu....but ishu c heshima wapo watu wasioweza kubeba majukumu hata wakiabudiwa...now na mimi ni baba mlezi kwa watoto wa mtu mwingine naziona sababu ni tofauti na za kukua kwangu....tusambaze upendo dunia iwe nzuri

Upendo ni muhimu.
Ila sio kila MTU anastahili upendo
 
Safi sana, hata nishawahi kufikiri hii iingizwe kwenye katiba sijui sheria whatever..

Mama anapotaka kubaki na watoto awe na uwezi wa kumtunza la sivyo asiruhusiwe. Kuwe na minimum qualification za kipato.

Baba anaruhusiwa kuwajali kwa mapenzi yake na sio kwa lazima. La si hivyo wabakie kweli chini ya himaya yake.

Ni kama, mkono wangu ukatike uache kutii mwili wangu, na usilete faida yoyote kinywani wala kichwani(ubongoni). Halafu eti bado uendelee kudai haki ya kupewa damu na chakula kutoka mwilini. Upumbaf huo.
 
Safi sana, hata nishawahi kufikiri hii iingizwe kwenye katiba sijui sheria whatever..

Mama anapotaka kubaki na watoto awe na uwezi wa kumtunza la sivyo asiruhusiwe. Kuwe na minimum qualification za kipato.

Baba anaruhusiwa kuwajali kwa mapenzi yake na sio kwa lazima. La si hivyo wabakie kweli chini ya himaya yake.

Ni kama, mkono wangu ukatike uache kutii mwili wangu, na usilete faida yoyote kinywani wala kichwani(ubongoni). Halafu eti bado uendelee kudai haki ya kupewa damu na chakula kutoka mwilini. Upumbaf huo.

Watunga Sheria watulie wanapotunga sheria
 
WANAWAKE KAMA HUWEZI KUMTUNZA MTOTO PELEKENI KWA BABA ZAO. MSISUMBUE WATU KWA UPUUZI WENU!

Anaandika, Robert Heriel

Unang'ang'ania kuishi na mtoto alafu huna uwezo wa kumtunza huo si upuuzi.

Kama huwezi kumtunza Mtoto na unapenda kuishi naye basi kuwa na adabu, kuwa humble Kwa Baba WA mtoto, hakuna mwanaume ambaye ni mkorofi Kwa mwanamke mwenye adabu au mnyenyekevu. Sijawahi kuona mwanaume wa hivyo. Sisi wanaume tunaupendo mara elfu zaidi kuliko ninyi wanawake, tunajali na kuthamini lakini kama heshima yetu itazingatiwa. Lakini Sisi ni makatili, washenzi, wakora Kwa watu wasiotuheshimu.

Linapokuja suala la heshima kwetu tupo tayari kupoteza vyote ikiwezekana uhai. Tupo Radhi kufukuza Mke, watoto na wote ambao hawatuheshimu. Ndivyo tulivyo. Hiyo ni kanuni yetu ya Asili Aliyotupa Muumba.

Eleweni kuwa Mtoto akiishi na Mama Mkorofi asiye na adabu tunamchukulia Kama mwanampotevu, yaani yupo nje ya Mfumo hata Kama ni mtoto wetu.

Eleweni kuwa kadiri mnavyokuwa Wakorofi na wajeuri ndivyo tunavyozidi kuwapuuza ninyi na watoto wenu.
Kumbuka, Mama Mpumbavu ni mzigo mwa Mwanaye Kama ilivyo mwana Mpumbavu alivyomzigo Kwa Mamaye.

Wanaume tunafalsafa zinazotuongoza, mojawapo ni hii, Mwanamke asipotuheshimu na akitudharau tunaamini kuwa hata mitoto yake aliyoizaa Asilimia kubwa haitatuheshimu na itatudharau.

Hatuoni shida kutelekeza Mama jeuri na mitoto yake hata Kama watoto hawana kosa. Lakini kitendo cha kulelewa na Mama jeuri na korofi tunaamini hilo toto litafuata tabia za Mama yake.

Vijana, msiogope kufanya maamuzi magumu Kama Mwanamke hakuheshimu, anakudharau na ni korofi. Ninaongea nikiwa ninauhakika na kile nikisemacho. Ninaushahidi wa kutosha dhidi ya wanaume wanaoteswa na watoto wao kisa kulelewa na mimama ya hovyo.

Mwanaume wewe ndiye mungu hapa Duniani. Wewe ndiye unayeamua mtoto gani umbariki na yupi usimbariki kulingana na tabia za watoto na Mama zao. Zingatia mara nyingi tabia za watoto huendekezwa na Wamama.

Kama vile Mungu anavyotubariki bila USAWA ndivyo hivyohivyo usibariki watoto Kwa USAWA ilihali hawapo Sawa.

Mitoto mijeuri ipe ujeuri wao.
Wamama wajeuri wape kulingana na ujeuri wao. Watoto wema wape mambo Mema Wamama wema walipe Mema. Hiyo ndio maana ya kuitwa Mwanaume, Mtawala wa Dunia.

Wanawake eleweni kuwa Mwanaume hapendelei isipokuwa anafanya Kwa Haki. Na haki ya mwanaume inahesabiwa Kwa kuangalia usikivu na utii wa mtoto au wa mkewe.

Kadiri usivyomtii na kumsikiliza Mwanaume ndivyo unavyojiweka Mbali naye. Hiyo ndio kanuni ya BABA.

Sio ajabu Baba akatoa Urithi na baraka kwa Mke mdogo au watoto wa nje zaidi kuliko watoto wa ndani kutokana na vile wanavyomheshimu na kumsikiliza.

Au sio ajabu mwanaume akatoa zaidi Huduma nje ikiwezekana Kwa MICHEPUKO yake Kwa sababu ndani ya familia yake hakuna anayemsikiliza na kumtii. Hachukuliwi Kama Mwanaume.

Wanawake ukitaka uzipige pesa za mwanaume basi itakupasa uwe mwanamke halisi, umheshimu na kumtii huyo mwanaume. Hiyo ndio Siri. Hii itamfanya mwanaume awe na deni kwako.

Kumzalia mwanaume hakumfanyi awe na deni kwako. Hata CHIZI anaweza kuzaa naye. Wanaume tunajiona wenye wajibu wa kutunza wanawake na watoto wote wanaotuheshimu na kututii hata Kama sio Wake zetu au watoto wetu WA kuwazaa.

Wanaume hatuoni wajibu na hatuna msukumo kutoka ndani kutunza majitu yasiyotuheshimu na kututii hata Kama ndoa hiyo ingefungishwa na Malaika wa mbinguni.

Hakuna mzigo mzito Kwa mwanaume Kama kulitunza limwanamke lisilo na heshima au litoto lisilo Mheshimu Baba yake. Taikon anaonelea ni Bora mwanaume huyo akafungwe jela kuliko kuhudumia watoto wasiomheshimu.

Wanawake eleweni kuwa, hakuna suala la Haki Sawa baina ya mtoto wa karibu na mtoto wa Mbali. Mtoto wa Mbali atapata Haki za Mbali. Mtoto wa karibu atapata Haki za karibu.

Ni Kama vile hakuna haki Sawa Baina ya Diaspora na mtu aliyepo nchini. Kuna mambo aliyeponchini atapata Favour huku aliyembali hatazipata.

Ukitaka Mtoto wako apate HAKi Sawa Kwa Baba yake basi mpeleke Kwa Baba yake akae na watoto wenzake.

Vijana msiwe laini kiasi cha kukubali kuvunjiwa heshima yenu Kama wanaume Kwa kisingizio chochote kile.

Chagua shule Lipa Ada, mtoto asome. Mwanamke asikuendeshe na akili za kijinga. Kama anataka shule nzuri na hauna uwezo nayo mwambie wazi hutolipia hata Mia moja.

Tafuta muda uwe unaongea na mwanao kumsaili na kupiga Stori za hapa na pale. Kama mama yake anazuia Jambo Hilo kisa hujafuata mfumo wake, piga wote chini. Usiogope. Zingatia watoto wanaakili, hasa watoto wa siku hizi. Hivyo wanauwezo wa kuchambua mbivu na mbichi.

Kamwe usiseme maneno mabaya yanayomhusu Mama Kwa mtoto. Eleza mazuri tuu ya mama Kwa mtoto wako, hayo mabaya ayaone yeye mwenyewe Kwa macho yake.

Wapo wanawake wanajibebesha mimba Kwa waume za Watu makusudically ili wapate unafuu wa Maisha. Wanawake mlio kwenye ndoa mkiona mwanamke wa hivyo anakuingilia ndoani mwako wala asikupe presha, piga Spanner za kutosha iwe fundisho Kwa wengine.

Dhibiti uchumi wa Mwanaume/mumeo mpaka akose za kutuma nje. Alafu mwambie awalete watoto hao wa nje ulee wewe. Kama hataki mwambie hutaruhusu pesa yoyote itoke nje ya Familia.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
PHD!!!
 
WANAWAKE KAMA HUWEZI KUMTUNZA MTOTO PELEKENI KWA BABA ZAO. MSISUMBUE WATU KWA UPUUZI WENU!

Anaandika, Robert Heriel

Unang'ang'ania kuishi na mtoto alafu huna uwezo wa kumtunza huo si upuuzi.

Kama huwezi kumtunza Mtoto na unapenda kuishi naye basi kuwa na adabu, kuwa humble Kwa Baba WA mtoto, hakuna mwanaume ambaye ni mkorofi Kwa mwanamke mwenye adabu au mnyenyekevu. Sijawahi kuona mwanaume wa hivyo. Sisi wanaume tunaupendo mara elfu zaidi kuliko ninyi wanawake, tunajali na kuthamini lakini kama heshima yetu itazingatiwa. Lakini Sisi ni makatili, washenzi, wakora Kwa watu wasiotuheshimu.

Linapokuja suala la heshima kwetu tupo tayari kupoteza vyote ikiwezekana uhai. Tupo Radhi kufukuza Mke, watoto na wote ambao hawatuheshimu. Ndivyo tulivyo. Hiyo ni kanuni yetu ya Asili Aliyotupa Muumba.

Eleweni kuwa Mtoto akiishi na Mama Mkorofi asiye na adabu tunamchukulia Kama mwanampotevu, yaani yupo nje ya Mfumo hata Kama ni mtoto wetu.

Eleweni kuwa kadiri mnavyokuwa Wakorofi na wajeuri ndivyo tunavyozidi kuwapuuza ninyi na watoto wenu.
Kumbuka, Mama Mpumbavu ni mzigo mwa Mwanaye Kama ilivyo mwana Mpumbavu alivyomzigo Kwa Mamaye.

Wanaume tunafalsafa zinazotuongoza, mojawapo ni hii, Mwanamke asipotuheshimu na akitudharau tunaamini kuwa hata mitoto yake aliyoizaa Asilimia kubwa haitatuheshimu na itatudharau.

Hatuoni shida kutelekeza Mama jeuri na mitoto yake hata Kama watoto hawana kosa. Lakini kitendo cha kulelewa na Mama jeuri na korofi tunaamini hilo toto litafuata tabia za Mama yake.

Vijana, msiogope kufanya maamuzi magumu Kama Mwanamke hakuheshimu, anakudharau na ni korofi. Ninaongea nikiwa ninauhakika na kile nikisemacho. Ninaushahidi wa kutosha dhidi ya wanaume wanaoteswa na watoto wao kisa kulelewa na mimama ya hovyo.

Mwanaume wewe ndiye mungu hapa Duniani. Wewe ndiye unayeamua mtoto gani umbariki na yupi usimbariki kulingana na tabia za watoto na Mama zao. Zingatia mara nyingi tabia za watoto huendekezwa na Wamama.

Kama vile Mungu anavyotubariki bila USAWA ndivyo hivyohivyo usibariki watoto Kwa USAWA ilihali hawapo Sawa.

Mitoto mijeuri ipe ujeuri wao.
Wamama wajeuri wape kulingana na ujeuri wao. Watoto wema wape mambo Mema Wamama wema walipe Mema. Hiyo ndio maana ya kuitwa Mwanaume, Mtawala wa Dunia.

Wanawake eleweni kuwa Mwanaume hapendelei isipokuwa anafanya Kwa Haki. Na haki ya mwanaume inahesabiwa Kwa kuangalia usikivu na utii wa mtoto au wa mkewe.

Kadiri usivyomtii na kumsikiliza Mwanaume ndivyo unavyojiweka Mbali naye. Hiyo ndio kanuni ya BABA.

Sio ajabu Baba akatoa Urithi na baraka kwa Mke mdogo au watoto wa nje zaidi kuliko watoto wa ndani kutokana na vile wanavyomheshimu na kumsikiliza.

Au sio ajabu mwanaume akatoa zaidi Huduma nje ikiwezekana Kwa MICHEPUKO yake Kwa sababu ndani ya familia yake hakuna anayemsikiliza na kumtii. Hachukuliwi Kama Mwanaume.

Wanawake ukitaka uzipige pesa za mwanaume basi itakupasa uwe mwanamke halisi, umheshimu na kumtii huyo mwanaume. Hiyo ndio Siri. Hii itamfanya mwanaume awe na deni kwako.

Kumzalia mwanaume hakumfanyi awe na deni kwako. Hata CHIZI anaweza kuzaa naye. Wanaume tunajiona wenye wajibu wa kutunza wanawake na watoto wote wanaotuheshimu na kututii hata Kama sio Wake zetu au watoto wetu WA kuwazaa.

Wanaume hatuoni wajibu na hatuna msukumo kutoka ndani kutunza majitu yasiyotuheshimu na kututii hata Kama ndoa hiyo ingefungishwa na Malaika wa mbinguni.

Hakuna mzigo mzito Kwa mwanaume Kama kulitunza limwanamke lisilo na heshima au litoto lisilo Mheshimu Baba yake. Taikon anaonelea ni Bora mwanaume huyo akafungwe jela kuliko kuhudumia watoto wasiomheshimu.

Wanawake eleweni kuwa, hakuna suala la Haki Sawa baina ya mtoto wa karibu na mtoto wa Mbali. Mtoto wa Mbali atapata Haki za Mbali. Mtoto wa karibu atapata Haki za karibu.

Ni Kama vile hakuna haki Sawa Baina ya Diaspora na mtu aliyepo nchini. Kuna mambo aliyeponchini atapata Favour huku aliyembali hatazipata.

Ukitaka Mtoto wako apate HAKi Sawa Kwa Baba yake basi mpeleke Kwa Baba yake akae na watoto wenzake.

Vijana msiwe laini kiasi cha kukubali kuvunjiwa heshima yenu Kama wanaume Kwa kisingizio chochote kile.

Chagua shule Lipa Ada, mtoto asome. Mwanamke asikuendeshe na akili za kijinga. Kama anataka shule nzuri na hauna uwezo nayo mwambie wazi hutolipia hata Mia moja.

Tafuta muda uwe unaongea na mwanao kumsaili na kupiga Stori za hapa na pale. Kama mama yake anazuia Jambo Hilo kisa hujafuata mfumo wake, piga wote chini. Usiogope. Zingatia watoto wanaakili, hasa watoto wa siku hizi. Hivyo wanauwezo wa kuchambua mbivu na mbichi.

Kamwe usiseme maneno mabaya yanayomhusu Mama Kwa mtoto. Eleza mazuri tuu ya mama Kwa mtoto wako, hayo mabaya ayaone yeye mwenyewe Kwa macho yake.

Wapo wanawake wanajibebesha mimba Kwa waume za Watu makusudically ili wapate unafuu wa Maisha. Wanawake mlio kwenye ndoa mkiona mwanamke wa hivyo anakuingilia ndoani mwako wala asikupe presha, piga Spanner za kutosha iwe fundisho Kwa wengine.

Dhibiti uchumi wa Mwanaume/mumeo mpaka akose za kutuma nje. Alafu mwambie awalete watoto hao wa nje ulee wewe. Kama hataki mwambie hutaruhusu pesa yoyote itoke nje ya Familia.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
point sana
 
Back
Top Bottom