Wanawake wananyenyekea kwa sababu hawana pesa: Wanafuata chakula

Aah mkuu sijamaanisha kutotambua umuhimu wa.mume/mwanaume

Shida yenu mnapenda kuogopwa sana, mnapenda yaan kuona wenzenu watumwa nyie wamiliki akta wote ni binadamu mnatumia ile option ya kua hana kitu kumteketeza kabisa
Ungeweka neno "baadhi" ningekuelewa.Usichanganye wanaume wote.Hata hivyo,tofautisha mwanaume anapotumia mamlaka kama mume,baba na kiongozi na mwanaume anayeongozwa na ubabe wenye ukatili.Hao ni watu wawili tofauti kabisa.
 
Ukatambikie katika laki moja kama wako unapata mmoja.
Au la kama ajaacha mafundisho ya dini yake.
 
 
Provided that zimejirudia mno....

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Hamna kiumbe kisicho na heshima mkuu l, shida ya wanaume wanapenda ile kuheshimiwa beyond sijui unanipata???

Yaan wanataka.ile hali ya kuogopwa flani hivii yaani sijui nikueleezeejw kiongozi
wee mama ukweli unaishi kisimbe wee ni lisingo maza pro max... Usitake kuuliza nimejuaje haya...
 
Dah nna mke ni mtumishi wa uma yani jana nusu nimmalize kwa dharau...kakopa dinner set ya laki NNE bila kunishirikisha namuuliza kwanini ananijibu siku nyingne ntakwambia...nlijisahau
Hatari sana na wanapenda mikopo lakini huliza hela zinakwenda wapi aiseee utabaki unacheka tuu
 
Aah mkuu sijamaanisha kutotambua umuhimu wa.mume/mwanaume

Shida yenu mnapenda kuogopwa sana, mnapenda yaan kuona wenzenu watumwa nyie wamiliki akta wote ni binadamu mnatumia ile option ya kua hana kitu kumteketeza kabisa
Ni kosa kumuona mwanamke kama inferior badala ya kumuona kama partner! Ukimnyanyasa naye atatafuta wasaa wa kulipiza. Nachukia pale mtu akimtaja mkewe’huyu mwanamke’ badala ya mke wangu.
 
To both sides how???

Mwanaume nikiwa na hela mke wangu hata aniombe mara elfu sifungui kinywa kumsema vibaya lakini leo mume akose kazi akae nyumbani mke atoke kwenda kutafuta jioni amuombe hela kidogo aone moto wake.
Mwanaume ufukuzwe kazi halafu mke awe na kazi halafu umuombe hela hahahahaha yani hapo ni sawa na kujimezesha bomu 😂😂😂😂
 
Nikupe mfano. Juzi nilikuwa nchi za waarabu. Nilipokuwa airport, akinadada watatu pisi Kali zikanifuata (Kama kuna member wa JF asinitaje), mmoja akanifuata na kuniuliza mzee wewe ni Mbongo? Nikajibu, mimi ni Mtanganyika haswa. Akasema ana SIM card anataka kuituma Tanzania. Akaomba niichukue.

Nikakataa kuwa siwajui wao inawezekana ni wanted na nikiichukua wanaweza kuniingiza. Nikawaeleza kuwa wengi wa mabinti wa kitanzania pale kama akina Uwoya wanaenda kupiga umalaya! Nisije kuunganishwa kuwa pengine ni kuwadi etc. Unajua nini walisema. Walitamka ‘sisi ni wake wa watu’ wakadai ‘tumeolewa’.

Naachia hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…