Wanawake wananyenyekea kwa sababu hawana pesa: Wanafuata chakula

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa mkuu si bora hawa wanao kupikia na kukupa services hao ndo wife material sasa.
 
Tafuta mwanamke mtakae heshimiana mkuu tatizo mnangalia sura na maumbile lazima mteseke tu
 
Mfano hai kabisa mama yako kafuata chakula kwa baba yako au unaropoka tu mkuu muda mwingine waheshimuni hawa wanawake japo wachache wanazingua ila sio dili sana kuwananga kila saa kama vile jinsia me imekamilika wakati wapo wanaume wangese tu
 
Kama ni vicheap services mbona mkiachiwa nyumba siku moja tu mnahaha, kwanini huwa hamvipendi na mnaona uvivu kuvifanya, na mpaka leo bado mnaviregard kama majukumu ya mwanamke
Nilikua nataka nikuite hapa dada uje kuchangia.
 
ndomana wazee wanatushaur tuoe wanawake tunaowazd kpato na tuwawekee vikwazo wasije kupata kipato kikubwa kuliko sis
 
At least hapa umeongea nikakuelewa.
 
Mfano hai kabisa mama yako kafuata chakula kwa baba yako au unaropoka tu mkuu muda mwingine waheshimuni hawa wanawake japo wachache wanazingua ila sio dili sana kuwananga kila saa kama vile jinsia me imekamilika wakati wapo wanaume wangese tu
Ni mama zetu lakini huo ndio ukweli na ukitaka kujua ukweli zaidi ewe bwana mdogo muulize dingi. Mwanaume akiwa na kipato huwa anahitaji familia ila mwanamke mwenye kipato huwa anahitaji watoto tu.
 
Hao huwa kwangu wanatulia kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…