Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Inasikitisha sanaIla hao wa mitandao ndio mnawatamani... hahaha wanaume bwana...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasikitisha sanaIla hao wa mitandao ndio mnawatamani... hahaha wanaume bwana...
Kweli kaka haw ni wakupiga show tuuMwanamke anatafuta attention always, Wanaume wengi wanapo M-DM ana feel kwamba amewin kuvuta attention zao, hii huwaongezea maringo..
That kind of Men wanaaotekwa kwa muonekano wa nje wa mwanamke ni weak Men, Wana lack purpose na selfcontroll ..
Binafsi hua siwapi attention wanawake wanaojipodoa ili wavute attention zetu, hua napishana nao bila kuwaangalia kabisa kama siwaoni...
Mtandaoni unamuona mtu kwa nje tu, kwahyo sanasana utatumia kigezo cha Sura, Umbo ambavyo sio vigezo vya mwanamke wa kudate naye....
Mtu ni yule wa ndani yaani Fikra, mtizamo, Itikadi, Imani, Uadilifu, Tabia, Tafuta mwanamke ambaye utakua na muda mwingi wa ku-observe haya .
NB: Kua makini na jambo lolote ambalo linavutia na kutamanisha kwa nje include Women .
😛ia sio kila mwanamke wa mtandaoni huenda akawa anatafuta attention .
Hao kama akijaa wewe chapa mzigo, pita hivi, ndio wanachostahili .Kweli kaka haw ni wakupiga show tuu
Kabisaa sio wakuweka ndaniHao kama akijaa wewe chapa mzigo, pita hivi, ndio wanachostahili .
Ukiona mwanamke anataka kuwa juu ya mwanaume huyoo hana malezi kaka na pia epuka kumuoa atakusumbua sna huyoo mwanamke mwanamke anatakiwa awe kimya mwanaume akiongeaa
Pamojasawa mkuu
Hit her and runHao kama akijaa wewe chapa mzigo, pita hivi, ndio wanachostahili .
Kila mtu kawa kungwi sahizi JF anatoa ushauri wa mahusiano.
Wale wanawake aliopita nao bwana Baltazar wote aliwapata online?
100% ni kweli tupu👏👏👏Huku mtandaoni wengi wanauza kama sio woteee mm sijawahi mfuata mdada nikamkosa huko fb inst x na kadhalika
Wewe uliona wapi eti WIFE MATERIAL akajipost Tako moja nje😁Ndio maana ikasemwa kuna red flags nyingi hii ya kutafuta attention za wanaume kwenye social media mi mojawapo ya hizo
Hilo ni kosa la waume zao hawakufanya vetting vizuri kabla ya kuamua kufanya nao maisha
100% Whatsup Ilitumika ! Au unabisha??Kila mtu kawa kungwi sahizi JF anatoa ushauri wa mahusiano.
Wale wanawake aliopita nao bwana Baltazar wote aliwapata online?
Huko X kuna Malaya na Makuwadi yao ya kiume - Ingia huko uone jinsi Vitoto vya kike vinavyo uzwa kama Mishikaki ya Coco beachKabisaa sio wakuweka ndani
Mbona sioni hayoo magrop kakaHuko X kuna Malaya na Makuwadi yao ya kiume - Ingia huko uone jinsi Vitoto vya kike vinavyo uzwa kama Mishikaki ya Coco beach
Post product acha kujipost wewe, utajipost tuu endapo na wewe ni product moja wapo.😂😂😂😂😂😂imebidi nicheke sasa nisipokua online nisipokua active wateja wangu wataonaje product zangu wooi
🤣🤣🤣kumbee mbona tunawaachia watoto sana simu, mfano mimi ny niece namuachia sana simu tatizo ni kukata simu na kupigia pigia watu ndo maana simu yangu nailinda.Kwamba unaweza kuacha tu simu yako ikawa huru ikashikwa na mtoto, akaingia popote mda wowote.
Na hapo ndio tunapima kama huyu mwaminifu au ameshaanza vimchezo🤣🤣 mwanamke mwaminifu simu yake inaachwa tu, watoto wanaishika anytime.
Hata huyo mwanamke unayemtumia kwa starehe na yeye anakutumia kwa starehe.Kuna wanawake ni kwa ajili ya starehe sio kila mwanamke ana sifa ya kuwa mke
Wanawake hao huwa tunawachukulia tu kama bangi inayovutwa masikani na masela
Ni mwendo wa kupokezana kila mmoja apige pafu 2 au 3 mpaka kipisi kiishe
Kwani wao ndio wanataka kuolewa na nyie?Hatuwatan kuwaoa bali nyie wa kupiga pumbu
Hata huyo mwanamke unayemtumia kwa starehe na yeye anakutumia kwa starehe.