Professor mjinga
Member
- Oct 24, 2020
- 72
- 50
Unaonaje vifutwe vyama vyote kibaki kimoja kuondoa usumbufu mnao pataChama Tawala ni kipi? Ukipata jibu utawajua wapinzani ni wepi? Ila kwa kukusaidia ni wale ambao kazi zao ni kupinga pinga tuu.
Congratulations in advance President Magufuli
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Chama Tawala ni kipi? Ukipata jibu utawajua wapinzani ni wepi? Ila kwa kukusaidia ni wale ambao kazi zao ni kupinga pinga tuu.
Congratulations in advance President Magufuli
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Kwahiyo wewe unataka barabara zisijengwe?Maendeleo ya mtu mmoja mmoja ndio huleta maendeleo ya Taifa! sasa wewe kama mtu hunalo ulilolipata hayo ya Taifa yanakupa faraja gani?
Kwahiyo unashauri vituo vya afya visingejengwa? Nyie huwa hamna jema kazi ni kupinga pinga tuu.hahahaha yani nyie ma ccm kufikiri kwenu zero kabisa
so what kama kajenga vituo vya afya, kituo cha afya bila daktari bingwa,bila madawa,bila maabara,bila vyumba vya upasuaji,bila ICU hicho ni kituo cha afya au nyumba ya wageni.
kutokwenda nje labda nyie wenye akili fupi ndio mnajua hivyo ila sisi wenye uwelewa mpana tunajua hawezi kwenda safari za nje kwa sababu ya afya yake na changamoto za language barrier.
ujenzi upi wa miundo mbinu? wakati drainage system zeroooo, mungu alivyo mkubwa kawaumbua na mvua ya juzi tu hapa
mnaelewa maana ya elimu bure au ndio mlikimbia umande na nyie, elimu bure wakati shule hazina walimu,hazina vitabu,hazina maabara,hazina madarasa,hazina vyoo,hazina nyumba za walimu
ngoja niishie hapa maana hizi takataka zinatia kinyaaa eti kufufua shirika la ndege hahahaha
MNAJIDHALILISHA
thubutu leta list ya majina ya hivyo vituo, kadanganyeni huko vijijini sio mjini hahahahaha, mbona hamuajiri basi maana vijana kibao hawana ajira wakafanye kwenye hivyo kituo hewaKwahiyo unashauri vituo vya afya visingejengwa? Nyie huwa hamna jema kazi ni kupinga pinga tuu.
Development is gradual process..... haiji overnight wewe binti hiyo Marekani yenyewe bado ina changamoto zake za kimaendeleo.
Congratulations in advance President Magufuli
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
on my wayTwendeni kawe jamani
kabisa, inahitaji akili ya ziada kujua maendeleo ya mtu na ya vitu, kuna kitu wanapewa wakishaingia huko hahahahaha sio akili zao haoMaendeleo ya mtu mmoja mmoja ndio huleta maendeleo ya Taifa! sasa wewe kama mtu hunalo ulilolipata hayo ya Taifa yanakupa faraja gani?
hahahahaha wewe endelea kutetea tu ugali wako la sivyo njaa itawateketezaMwisho leo Mihemko yenu baada ya hapo tutajikita katika kuleta MAENDELEO tuu na tunaamini Jemedari wetu Magufuli atatuongoza vizuri.
Congratulations in advance President Magufuli
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Kwa kuwakomesha watumishi wa umma kwa miaka mingine mitano!Mwisho leo Mihemko yenu baada ya hapo tutajikita katika kuleta MAENDELEO tuu na tunaamini Jemedari wetu Magufuli atatuongoza vizuri.
Congratulations in advance President Magufuli
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Ndio nimeandika hapo tayari halafu unataka ujumuike nani kwenye karamu ya udhalimu? NktHizo andika wewe mjomba...Tarehe 29 October tujumuike kusheherekea USHINDI wa KIHISTORIA kwa Magufuli.
Congratulations in advance President Magufuli
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Karibu uje wewe,yeye na yule bila kukosa na mimi nitakuwepo siku ya kumuapisha Rais Magufuli.Ndio nimeandika hapo tayari halafu unataka ujumuike nani kwenye karamu ya udhalimu? Nkt
Mkuu Mulokozijr12 , naunga mkono hoja, Tanzania upinzani hakuna kitu kabisa!.Nawasalimu wanajukwaa,
Kwanza nianze kwa kuwapongeza kwa minyukano ya hoja humu jukwaani kwa ustaarabu wa hali ya juu, hii inaonesha jukwaa bado lina watu makini sana.
Nikirudi kwenye mada yangu,ni ukweli usiopingika kuwa wapinzani hamkujipanga vyema kwa ajili ya uchaguzi yanayotokea ACT ni mfano halisi ambapo Kiongozi mkuu, mwenyekiti na mgombea uraisi wamepishana misimamo, vile vile kwa Lissu amekuwa mtu mwenye kukurupuka na mara zote kuongelea watu,kutukana viongozi, kutuhumu kila taasisi na hivyo kushindwa kueleza atawafanyia nini Watanzania.
Zoezi la siku 53 tu Jiwe na ccm mpya hoi je Chadema wangepewa mwaka? Pasco wewe siyo binadamu kabisa na huta enda MbinguniMkuu Mulokozijr12 , naunga mkono hoja, Tanzania upinzani hakuna kitu kabisa!.
CHADEMA Hamkujipanga, hamjajipanga, hamjipangi na hamtajipanga!-2015 ni CCM tena!
Wanabodi, Haya ninayoyaandika hapa, yanatoka ndani kabisa ya moyo wangu na ninaandika kwa uchungu!, kwa mtu yoyote ambaye alikuwa na matumaini ya labda 2015, tunaweza kupata mabadiliko, akiangalia hii trend ya Chadema inayokwenda nayo sasa, atakubaliana na mimi, kuwa the trend is not good at...www.jamiiforums.com Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?
Wanabodi, Kwanza sote tunalaani kwa dhati kabisa, kitendo alichofanyiwa Mhe. Tundu Lissu cha kumiminiwa risasi 38 na watu wasiojulikana, kati ya hizo risasi 16 zikampata!, kitendo ambacho kimefanywa mchana kweupe, tena akiwa kwenye eneo ambalo ni secure area!, maeneo ya waheshimiwa, ambayo...www.jamiiforums.com Ni kesho, jee wanaweza?.Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali la tathmini kuhusu upinzani kuweza kuchukua nchi uchaguzi wa 2020. Kwa upande wa huku Tanzania Bara, ulizungumzia upinzani ni unazungumzia Chadema, hivyo hili bandiko kuihusu Chadema, as a representative wa upinzani kwa huku Tanzania Bara, vipi kuhusu Chadema...www.jamiiforums.com
P
Kwamba haendi mbinguni kwasababu ya kupishana mawazo na wewe...mjiandae kisaikolojia.Zoezi la siku 53 tu Jiwe na ccm mpya hoi je Chadema wangepewa mwaka? Pasco wewe siyo binadamu kabisa na huta enda Mbinguni
Subirieni kuona jinsi mnavyoaibika leo..Magufuli anaenda kuweka HISTORIA YA USHINDI WA KISHINDO.kwamba wapinzani wangejiandaa kwa kuleta vifaru na kugawa silaha za moto kwa wanachama wao
jibu swali,kishindo hata Iddi Amini alikuwa nacho tena Magufuli anaingia mara 8Subirieni kuona jinsi mnavyoaibika leo..Magufuli anaenda kuweka HISTORIA YA USHINDI WA KISHINDO.
Congratulations in advance President Magufuli
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Hovyoooooooo, pumbvuuuuuuuuUmekufa roho kama mbwa anayemwinda fisi! umesahau rambirambi mlizodhulumiwa? kejeli zote umesahau, kweli okafa omutima nka embwa eiga engo! (waulize wahaya wenzako wakutafsilie).