Wapinzani wa Rais Samia waanza kutumia silaha ya Uzushi na uongo kumshambulia baada ya njia zao kushindwa.

Wapinzani wa Rais Samia waanza kutumia silaha ya Uzushi na uongo kumshambulia baada ya njia zao kushindwa.

Wakati mwingine huwa natafakari sana na akili inaniambia Huna Nia njema na huyo unayemsifia!!

Ni kweli wewe ni MPUMBAVU lakini una kitu kinatafakarisha!!

Nadhani Kwa namna mama anavyopopolewa Kila unapoleta mada zako, utakuwa umefanikiwa sana. Mpaka wakustukie utakuwa umemsaidia kumchafua sana
Nilishasema kuwa wewe akili yako ina matatizo sana
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais Samia ni mtu anayeishi mbele ya wakati na muda na kiongozi Mwenye akili na upeo wa hali ya juu sana,ni mtu Mwenye jicho la tatu nje na haya mawili ya kibinadamu.ni kiongozi aliyejaliwa macho ya Rohoni yenye uwezo wa kuona asipoweza kuona Mwenye macho ya kawaida.

Ni kiongozi mwenye ufunuo wa kiroho wa kutambua masuala mbalimbali.ndio maana huwezi ukaona akikurupuka wala kuhemuka wala kuzungumza jambo hadharani bila staha. Ni mtu mtulivu,makini na mwenye kuchunga ulimi wake kabla na wakati wa kuzungumza.huwezi ukaona akijikwaa hovyo ulimi wake na kuleta taharuki au mgawanyiko ndani ya Taifa.

Alipokuwa anaingia na kutwaa madaraka ya urais kuna watu hawakuamini mioyoni mwao kama anaweza kuongoza Taifa letu kwa hata mwezi mmoja tu.walitamani kama wangekuwa na mamlaka au uwezo basi wangemuweka pembeni na kumuacha na Umakamu wake na wao kuweka mtu wao.waliona ni kama hastahili wala hafai wala hana huo uwezo wala hakuandaliwa kwa nafasi hiyo.

Lakini Mungu katika ulimwengu wake wa kiroho tayari alikuwa amemuandikia kwa wino usiofutika kuwa Mama Samia atainuliwa na kuwa Rais wa Taifa letu.Ndio maana pamoja na watu kuleta habari za ubaguzi kwa misingi ya jinsia na ukanda. Kumzushia mambo ya uongo, uchonganishi,fitina na chuki binafsi.bado Rais wetu ameendelea kuaminika ,kuungwa mkono ,kupendwa na kukubalika sana machoni pa watanzania ,huku Taifa likiendelea kutamalaki kwa amani na utulivu mkubwa sana.

Jambo ambalo linawaumiza sana waliokuwa hawana Imani na Rais wetu na waliokuwa wakitamani kutokuona akiwa Rais wetu.Lakini kubwa na linalowapa homa ni kuona namna watanzania wanavyohitaji kwa kiu kubwa sana kuona Mama huyu mzalendo na kipenzi cha watanzania akiendelea na muhula wa pili kama Rais.

Sasa ili kumkwamisha ,kumkatisha tamaa,kumchonganisha na wananchi,kumvunja moyo,kumchafua na kumpunguza kasi .sasa wabaya na wapinzani wa Mama yetu wameona watumie silaha yao ya mwisho ambayo nayo imeonekana kutokuwa na nguvu kabisa, ya kuzusha mambo ya uongo, uchonganishi na maneno ya fitina na chuki binafsi.na ndio mwisho wao mbaya sana utakaowapoteza kabisa katika ramani ,kwa sababu watanzania wameshatambua njia hiyo ya kumchafua Rais wetu mpendwa. Hakuna silaha ya aina yoyote ile itakayoinuka na kufanikiwa mbele ya Rais wetu mpendwa.kila kitu kitashindwa na mwisho Rais wetu itaendelea kuwa shujaa wetu na jasiri Muongoza Njia.

Kazi iendelee Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wee utakua umelipwa bei gani. Yaani unasifia kitu hakina sifa. Acheni kumzuga mama wa watu. Umakamu wenyewe aliwekwa kama mpango kuwatoa akina mama kutojiamini bahati katiba ikampa urais. Hata itikadi ya ccm ameshindwa kuzingatia. Mwenyewe kaangukia kwa wahuni nchi anaiendesha kuwapa manufaa wachache tena anagawa mali asili za nchi kwa wageni kwa kuaminishwa ndio njia sahihi kuendeleza nchi. Haki na usawa nguzo za CCM kapiga teke. Mwenyewe anajua tunasubiri tu atoa mchango wake nchi tupate kiongozi bora sio bora kiongozi.
 
Kuuza Ardhi ya Tanganyika kwa waarabu ni uzishi?
Kuitwa bibi mwakotozo kwa sababu ya kodi lukuki ni uzushi?
Kuuza bandari zetu kwa waarabu ni uzushi?
 
Wee utakua umelipwa bei gani. Yaani unasifia kitu hakina sifa. Acheni kumzuga mama wa watu. Umakamu wenyewe aliwekwa kama mpango kuwatoa akina mama kutojiamini bahati katiba ikampa urais. Hata itikadi ya ccm ameshindwa kuzingatia. Mwenyewe kaangukia kwa wahuni nchi anaiendesha kuwapa manufaa wachache tena anagawa mali asili za nchi kwa wageni kwa kuaminishwa ndio njia sahihi kuendeleza nchi. Haki na usawa nguzo za CCM kapiga teke. Mwenyewe anajua tunasubiri tu atoa mchango wake nchi tupate kiongozi bora sio bora kiongozi.
Naona umeishia kupiga porojo zako na kuonyesha kile nilichokizungumza kwenye andiko langu. Wewe ndio lile kundi nililolizungumzia hapa
 
Kuuza Ardhi ya Tanganyika kwa waarabu ni uzishi?
Kuitwa bibi mwakotozo kwa sababu ya kodi lukuki ni uzushi?
Kuuza bandari zetu kwa waarabu ni uzushi?
Weka ushahidi wa huo ujinga unaozungumza
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais Samia ni mtu anayeishi mbele ya wakati na muda na kiongozi Mwenye akili na upeo wa hali ya juu sana,ni mtu Mwenye jicho la tatu nje na haya mawili ya kibinadamu.ni kiongozi aliyejaliwa macho ya Rohoni yenye uwezo wa kuona asipoweza kuona Mwenye macho ya kawaida.

Ni kiongozi mwenye ufunuo wa kiroho wa kutambua masuala mbalimbali.ndio maana huwezi ukaona akikurupuka wala kuhemuka wala kuzungumza jambo hadharani bila staha. Ni mtu mtulivu,makini na mwenye kuchunga ulimi wake kabla na wakati wa kuzungumza.huwezi ukaona akijikwaa hovyo ulimi wake na kuleta taharuki au mgawanyiko ndani ya Taifa.

Alipokuwa anaingia na kutwaa madaraka ya urais kuna watu hawakuamini mioyoni mwao kama anaweza kuongoza Taifa letu kwa hata mwezi mmoja tu.walitamani kama wangekuwa na mamlaka au uwezo basi wangemuweka pembeni na kumuacha na Umakamu wake na wao kuweka mtu wao.waliona ni kama hastahili wala hafai wala hana huo uwezo wala hakuandaliwa kwa nafasi hiyo.

Lakini Mungu katika ulimwengu wake wa kiroho tayari alikuwa amemuandikia kwa wino usiofutika kuwa Mama Samia atainuliwa na kuwa Rais wa Taifa letu.Ndio maana pamoja na watu kuleta habari za ubaguzi kwa misingi ya jinsia na ukanda. Kumzushia mambo ya uongo, uchonganishi,fitina na chuki binafsi.bado Rais wetu ameendelea kuaminika ,kuungwa mkono ,kupendwa na kukubalika sana machoni pa watanzania ,huku Taifa likiendelea kutamalaki kwa amani na utulivu mkubwa sana.

Jambo ambalo linawaumiza sana waliokuwa hawana Imani na Rais wetu na waliokuwa wakitamani kutokuona akiwa Rais wetu.Lakini kubwa na linalowapa homa ni kuona namna watanzania wanavyohitaji kwa kiu kubwa sana kuona Mama huyu mzalendo na kipenzi cha watanzania akiendelea na muhula wa pili kama Rais.

Sasa ili kumkwamisha ,kumkatisha tamaa,kumchonganisha na wananchi,kumvunja moyo,kumchafua na kumpunguza kasi .sasa wabaya na wapinzani wa Mama yetu wameona watumie silaha yao ya mwisho ambayo nayo imeonekana kutokuwa na nguvu kabisa, ya kuzusha mambo ya uongo, uchonganishi na maneno ya fitina na chuki binafsi.na ndio mwisho wao mbaya sana utakaowapoteza kabisa katika ramani ,kwa sababu watanzania wameshatambua njia hiyo ya kumchafua Rais wetu mpendwa. Hakuna silaha ya aina yoyote ile itakayoinuka na kufanikiwa mbele ya Rais wetu mpendwa.kila kitu kitashindwa na mwisho Rais wetu itaendelea kuwa shujaa wetu na jasiri Muongoza Njia.

Kazi iendelee Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Jifunze history ya mzee Mabom aliekua agent wa manamba kutoka ukada mwanza mpaka kigoma , alikufa kifo gani ,kama sio cha haibu mtu unaoza uku umelala , alikua chawa mkubwa enzi za mkololoni kuliko nyie machawa wa sasa ,then utakuja nishukuru badae , mjinga sana we ndugu
 
Jifunze history ya mzee Mabom aliekua agent wa manamba kutoka ukada mwanza mpaka kigoma , alikufa kifo gani ,kama sio cha haibu mtu unaoza uku umelala , alikua chawa mkubwa enzi za mkololoni kuliko nyie machawa wa sasa ,then utakuja nishukuru badae , mjinga sana we ndugu
Mtaendelea kuumia na kuteseka sana na mafanikio makubwa yanayoendelea kuletwa na Mheshimiwa Daktari Samia Suluhu Hasssan.
 
Mtaendelea kuumia na kuteseka sana na mafanikio makubwa yanayoendelea kuletwa na Mheshimiwa Daktari Samia Suluhu Hasssan.
Wewe mwenyewe umefanya maendeleo yapi katika viunga vinavyo kuzunguka, mie naamini wazazi ambao pia ni wazazi wangu wangu wamefanya makubwa ikowa ni pamoja mzaa mtoto ambae ni wewe na wengine ,ila sasa kwa nini unakengeuka.

Wazazi wetu hawakua machawa ,na mbaya zaidi watu wa Mbeya wanajulikana katika taifa hili na wapo na upekee wa ujasili na kujisimamia , wewe ni mzaliwa wa Mbeya au wakufika?

Nikwambie ipo siku utakufa mdomo wazi asema Bwana
 
CCM mkiamua kwenda na mama Samia uchaguzi mkuu 2025 kazi mnayo.

Mtaipa kazi kubwa tume ya uchaguzi na JWTZ. ni kwa ushauri tu.
 
Back
Top Bottom