Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Basi msipige kelele,
Coz hiyo katiba mpya haiji Leo wala kesho na hamna nguvu ya kuleta shinikizo lolote so no need ya kuwa kwenye siasa
Ije leo isije hilo hatujali wajibu wetu ni kudai katiba mpya. Hizo chaguzi za kishenzi shirikini nyie na familia zenu na wasiojitambua.