Watanzania wawili ni miongoni mwa mateka wa Hamas, yasema Israel

Israel hamna lolote wewe kwa bato la chini,acha kuichukulia poa jwtz,hai idf mpaka Leo wanaogopa kuingia Gaza wanabomoa majumba tu kwa ndege,kila wakitia pua wananyolewa
Sawa basi inama Nikusweke'
 
Acha wateseke kwa ajili ya Allah. Alisema mvaa cobaz mmoja
 
Hivi jwtz wana craft carrier ya jeshi au uko israel watafika na matrack yao Fao, iveco nk,
Tunazo kama Aircraft Carrier 2 hivi, moja imepaki Zanzibar ukiwa pale Le Grand Bleu Sea Food ukatizama kwenye darubini utaona kuna carrier kubwa sana kwa mbaaali, pale ipo karibu na Matlai Mchanga Island.

Hii ya pili inatumia nishati ya nuclear, hii haijulikani ilipo japo ilishaonekana mara kadhaa bahari ya hindi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…